Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Ww unanufaika nn na maisha yakeBashite huko aliko anapitia wakati mgum Sana,kweli heshimu watu sponsor hudanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unanufaika nn na maisha yakeBashite huko aliko anapitia wakati mgum Sana,kweli heshimu watu sponsor hudanja
Unamaanisha huyu?Yule waziri anatoa macho macho anaitwaje?
Hahahahaaa!!! Atakumbuka basi? Wakishakalia zile ofisi unashindwa kuelewa wanakula maharage ya wapi. Mkapa alijuta kwamba kwa miaka 10 akiwa enzini, alisahau kabisa masuala ya kilimo (ambacho kimeajiri zaidi ya 75% ya watz)!Nafikiri amepewa nafasi ajisafishe kwa mambo mawili, moja ni bunge live, pili ni bao la mkono.
Haki iko mbinguni tuNinapenda kutumia jukwaa hili kumpongeza waziri wa michezo Nape Nauye.
Hizi pongezi ni mahususi kwa Nape kwa sababu ni moja ya viongozi walioweza kusimamia haki na ukweli kwa kulipa gharama kubwa ya kupoteza nafasi yake ya Uwaziri.
Funzo: Viongozi mnaoteuliwa simamieni haki bila kujali kama nafasi zenu zitakuwa hatarini. Mungu pekee ndo mpaji.
Using'ang'ane kulinda nafasi yako kwa kuumizawengine. Haki itakuinua. Dhuluma itakushusha.
Nadhani unaweza kuona kuna aliepoteza nafasi na kuna aliepata nafasi. Wawili hawa tofauti yao mmoja alijaribu sana kulinda nafasi yake hata kama anayotenda ni chukizo kwa Mungu na kwa wanadamu.
Wa pili alilipa gharama na leo amelipwa. Tuwe watu wa haki.
Na sherehe juuNinapenda kutumia jukwaa hili kumpongeza waziri wa michezo Nape Nauye.
Hizi pongezi ni mahususi kwa Nape kwa sababu ni moja ya viongozi walioweza kusimamia haki na ukweli kwa kulipa gharama kubwa ya kupoteza nafasi yake ya Uwaziri.
Funzo: Viongozi mnaoteuliwa simamieni haki bila kujali kama nafasi zenu zitakuwa hatarini. Mungu pekee ndo mpaji.
Using'ang'ane kulinda nafasi yako kwa kuumizawengine. Haki itakuinua. Dhuluma itakushusha.
Nadhani unaweza kuona kuna aliepoteza nafasi na kuna aliepata nafasi. Wawili hawa tofauti yao mmoja alijaribu sana kulinda nafasi yake hata kama anayotenda ni chukizo kwa Mungu na kwa wanadamu.
Wa pili alilipa gharama na leo amelipwa. Tuwe watu wa haki.
dah anatisha ndo mwenyewe huyu alikunywa zile dawa toka madascarUnamaanisha huyu?View attachment 2074648