Hongera Nape Nnauye kwa kurudi kwenye nafasi ya Uwaziri

Kulipa kisasi ni haki ya Bw. Nape. Kama unabisha uliza mashekh.
 
Binafsi iliniuma sana Namna Nape alivyofanyiwa. Pia alivyokwenda kwa JPM kuomba Msamaha niliona huruma sababu nilidhani yeye ndiye ilistahili KUOMBWA MSAMAHA.

Kibinadaam tunasema Mama kamrejesha tena lakini Kiimani wengine tunaamini ni MUNGU kamuinua tena. Pia waliomnyanyasa ni funzo kwako.
 
Nafikiri amepewa nafasi ajisafishe kwa mambo mawili, moja ni bunge live, pili ni bao la mkono.
Hahahahaaa!!! Atakumbuka basi? Wakishakalia zile ofisi unashindwa kuelewa wanakula maharage ya wapi. Mkapa alijuta kwamba kwa miaka 10 akiwa enzini, alisahau kabisa masuala ya kilimo (ambacho kimeajiri zaidi ya 75% ya watz)!
 
Haki iko mbinguni tu
 
Na sherehe juu
 

Attachments

  • IMG_4721.MP4
    8.8 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…