Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Wabongo washafungua akaunt yake huko Instagram. Yani mtoto ana masaa mawili tu
Screenshot_2018-07-17-15-02-07-035_com.instagram.android.jpg
 
wivu ni kitu kibaya sana na cha kuepukwa.

povu la nini sasa kama unashindwa kupongeza pita kimya kimya.
Kupongeza kwa lipi? acha unafiki wewe! kama unahitaji kupongeza nenda Mwananyamala hospital kawapongeze wale walio bahatika kujifungua katika mazingira hatarishi.
Kwani kumsisitiza amsomeshe mwanae kwa bidii asije badili jina kiujanja ujanja baadae ni wivu?
 
Kupongeza kwa lipi? acha unafiki wewe! kama unahitaji kupongeza nenda Mwananyamala hospital kawapongeze wale walio bahatika kujifungua katika mazingira hatarishi.
Kwani kumsisitiza amsomeshe mwanae kwa bidii asije badili jina kiujanja ujanja baadae ni wivu?
kwa kupata zawadi kutoka kwa Mungu kwa wakati muafaka....poleni mtakaokuwa mmepata tabu kwa habari hii.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza kwa dhati Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda kwa zawadi ya mtoto wa kiume.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akukuzie na akuongoze umpe malezi bora ya kumpendeza yeye.

Hongera sana P Makonda.
ampe jina la babu yake BASHITTE
 
Mtoto wa Taifa kazaliwa!
Hongera Makonda.
Kama masimango tu uliyakoga.
Labda utapunguza kihede mswede!
 
Back
Top Bottom