Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,856
- 814
atatafutwa baba wa huyo mtoto ili amlee na kumtunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la ukoo ataitwa nani..!!??
Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division ZeroUmofia Kwenu wana JF,
Ndugu Daudi Albert Bashite Alias Paul Makonda amepata mtoto wa kiume leo.Habari za kuvuja mke wake ana mimba ya kupandikizwa kutoka china zilivuja kwa mara ya kwanza kwenye page ya dada wa taifa.
Hongera sana Paul Makonda.
Bora awe mchina jibu litapatikana, mbaya akimfanana kijakazi wa RC.....Miye natoa jina amwite BASHITE ila nawaza tu uyo mtoto akiwa mchina itakuwaje maana wachina si watu wazuri.
Kumbe ndo hii aliyosema CAG kwenye report?Huyu mtoto amechoma pesa nyingi sana za walipa kodi mpaka kifika kwake Keagan
mtoto wa kwenye chupa ya chaiHuyu ndio alisemwa alitumia gharama za serikali kwenda kupandikiza mtoto India
mbona unattea sana kaka mkubwa au ww ndio ulikuwa sperm donorkitanda hakizai haramu
Sasa hapa anapaswa kushukuriwa Mungu ama Wachina?Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza kwa dhati Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda kwa zawadi ya mtoto wa kiume.
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akukuzie na akuongoze umpe malezi bora ya kumpendeza yeye.
Hongera sana P Makonda.
====
View attachment 811757
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amebahatika kupata mtoto wa kwanza na kupitia instagramu yake ameonyesha furaha yake aliyopewa na mungu kwa kupata mtoto wa kiume. Kupitia ukurasa wake wa Istagram Rc Makonda amethibitisha hilo.
Na hela za walipa kodiSasa hapa anapaswa kushukuriwa Mungu ama Wachina?