Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Hongera Paul Makonda kwa kupata mtoto wa kiume

Duhh...tumpe ukoo wa D'salaam basi
Haya mambo yana changanya sana wallah
tapatalk_1531769133585.jpeg
 
Nmesikia kutoka kwa Dada mkuu kuwa hizo mbegu zimetoka China sasa cjajua Kama mtoto atadumu
 
Ndo raha ya uzazi wa mpango.
Una kuwa na mtoto unapojisikia wewe[emoji3]
 
Kwani ameshazaliwa huyo mtoto a
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza kwa dhati Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda kwa zawadi ya mtoto wa kiume.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema akukuzie na akuongoze umpe malezi bora ya kumpendeza yeye.

Hongera sana P Makonda.
Hongera kwa jemedari kiongozi wa Mkoa wa Dar Es Salaam
 
Umofia Kwenu wana JF,

Ndugu Daudi Albert Bashite Alias Paul Makonda amepata mtoto wa kiume leo.Habari za kuvuja mke wake ana mimba ya kupandikizwa kutoka china zilivuja kwa mara ya kwanza kwenye page ya dada wa taifa.

Hongera sana Paul Makonda.
 
36682540_174192589964303_3231663840257114112_n.jpg

Click video for sound
Video
paulmakondaMungu wewe ni waajabu tena unatenda Kwa wakati wako. Asante Kwa ZAWADI YA MTOTO WA KIUME @ KEAGAN P MAKONDA
  • mtolelagHongera sana Mheshimiwa..Mungu anatenda kwa wakati wake,,akukuzie,,
  • sangumarieAwwwwwww Hongera saaaaanaaaaa Mheshimiwa God has his timing!He's neither slow nor fast! Glory to
Maskini....kwahiyo mtoto ataendeleza jina la Makonda na sio Bashite

Dah
 
Hongera sana kwenu Mkuu wetu wa Mkoa

Baba Keagan (nice name)

Mola azidi kuwa nanyi
 
Back
Top Bottom