Ikulu ni mahali sensitive hauwezi kupafanya Zoo bila mipango. Usalama wa Mweshimiwa lazima uimarishwe, eneo la Ikulu ni dogo, kuruhusu watu kuingia na kutoka ni hatari kwa Raisi na uongozi mzima wa nchiItaingiza pesa nyingi kuliko hifadhi ya Burigi-Chato.
Anzisha uzi wako uandike hayo maujinga ujinga yako.Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;
1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Ungeyaweka wazi na kutoa mtazamo wako siyo kusema niliyoyaona mimi...mimi nimechulua tafsiri nzima ya andiko wewe kama umeona mengine ambayo kwa jicho la kawaida hayaonekani hongera yako. Bashite ndio nani? kwenye andiko sijaona neno Bashite...Basi upeo wako umeishia hapo, sikulaumu.
Ungejitahidi kwenda mbele zaidi ungeona niliyoyaona mimi. Basi hata hapo kwa Bashite hujaelewa kitu!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada angu ushaga nitukana kisa CCM leo umehama au upepo wa kisurisuri tu?Ikulu bado ipo Dar?kuna kuhama kweli ? Kama ndo na Zebra,swala wameletwa Dar. Hii serikali ina vituko sijawahi ona. Ikulu imekuwa Zoo sasa.
Nimepitia comments nyingi nikagundua wengi humu JF hawajawahi kumuelewa Mayala. Kuna haja ya kunoa bongo zenu na mrudi kupitia upya nyuzi zake.
Mayala ana akili kubwa kuliko wengi wenu, anang'ata mara tatu na kupuliza mara moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifanya kutumia Allegory. ( kitu kama rehtorical tropes sijui na rehtorical schemes umo umo)Mkuu pasco hata kama ni sarcasm, hii watakushtukia na watakuchukia unawafanya wajinga na unaqadharau kupitiliza.
Unachezea CCM wewe, ni wepesi mdomoni kuliko kwenye miguu na mikonojamani si tuliambiwa mzee kaamia Dodoma
Huyo wa kwanza ndiye alisababisha wanyama na ndege tausi kutoweka ikulu.
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;
1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Bandiko lako halistahili kabisa kuwepo. Jibu hoja iliyotolewa kwa kutoa maoni tofauti. Mchangiaji ametoa mawazo yake. Wewe, kwa kuwa tu hukubaliani na mawazo hayo, unaishia kusema anajipendekeza bila hata ya kukosoa hoja iliyotolewa kwa kutoa hoja tofauti. Hicho ni kiburi kisichokuwa na tija.JPM humuoni huyu mtu tu anayeitwa Mayalla umpe hata ukuu wa mkoa kwa jinsi anavyoleta kipele kwako mara kwa mara ukikune?
Kipele kinawasha sana!
Umesoma alichoandika Mzee?Bandiko lako halistahili kabisa kuwepo. Jibu hoja iliyotolewa kwa kutoa maoni tofauti. Mchangiaji ametoa mawazo yake. Wewe, kwa kuwa tu hukubaliani na mawazo hayo, unaishia kusema anajipendekeza bila hata ya kukosoa hoja iliyotolewa kwa kutoa hoja tofauti. Hicho ni kiburi kisichokuwa na tija.