Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

Ikulu ni mahali sensitive hauwez kupafanya Zoo bila mipango..usalama wa Mweshiwa lazima uimarishwe...eneo la ikulu ni dogo..kuruhusu watu kuingia na kutoka ni hatar kwa Raisi na uongozi mzima wa ichi...

Wenzetu marekani eneo la ikulu ni kubwa na kwenye usalama wapo vizur..kuliko sisi kwa asilimia kubwa

Kama kuna umuhimu wa kuifanya ikulu iwe na Zoo ya kutembelewa na wageni basi coverage ya ikulu iongezwe ili kuziya watu kuingia maeneo nyeti
Mkuu you are quoting the wrong person.

Mimi nimesadia kufafanua tu kauli ya mleta mada "tuta make zaidi"

Sija shauri Zoo ya Ikulu itumike kibiashara, alie shauri hivyo ni mleta mada.
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Mke wa Mkapa katika KLM, fafanua kidogo mkuu.
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Naona unamjaza.

Acha kumfanya mwenzio hajui kabisa fasihi kisa tu kasomea laboratory basic rules to the titration organic chemistry eboo..
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Huyo namba 1 huyo si ndiye aliwagawa wote hapo magogoni, mie tu ndiye sikupata hiyo bahati mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani Kaka naomba niwe Radhi sna nakuheshim sna ila kwa ili hpn acha kufikiria kupitia tumbo lako wakt ukifika utapata tu uraji ila sio kwa kujitoa Akili uku tna kwa msomi km ww tna wa sheria...
"uraji" ndiyo kitu gani hicho?
 

Mkuu Pascal, umeingiliwa na nini siku hizi lakini? Unajua tunakuheshimu sana humu ndani na hatutegemei mtu mwenye namna yako kuandika kichwa "Hongera kuipendezesha Ikulu kuliko enzi za Nyerere".

UKiwa na background ya uandishi wa habari, umeshindwa nini kuandika thread yenye titke "Hongera kwa kuipendezesha Ikulu"

Why does it have to be "kuliko enzi za Nyerere"?

Au umefanya hivyo kwa makusudi maalum? Is this a manifestation of fanaticism the like of which was promoted by Adolf Hitler during the time of Nazi Germany?
 
Pongezi ni nzuri lkn ukakasi unakuja pale unasema kuliko enzi za fulani. Kila enzi huwa na maboresho yake ,hata enzi za mawe hazikufanana, kulikuwa na early stone age, middle na baadaye late stone age.
Katika zote hizo kila moja ilikuwa bora zaidi ya iliyotangulia.

Huu ukakasi una implications za biasness, that's not good at all.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila zama na mambo yake.
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Mimi napendekeza atawala tuu hata akifa basi maiti yake iwekwe pale ikulu ionekane wazi na akiwepo Rais mwingine baada ya Magufuli kuaga dunia basi aitwe "KAIMU Rais" kwa kweli itapendeza sana sana na nitakuwa na furaha kama hilo litafanikiwa.

Kwa sasa acha nikale chakula kizuriii kwenye hoteli isiyojulikana nikisubiri wazo langu lifanyiwe kazi.
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
unajua sana kumnanga MEKO ila anajifanya hakuoni huku anakusoma kwa jicho la😜
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Hakuna Rais aliyejenga uchumi wa Tanzania kama mkapa.
Wewe jamaa hivi ulikuwa wapi kipindi ya Mwinyi waalimu walikuwa wanasota mtaani.

Mkapa alivyoingia akawaajiri wote.

Mtu ambaye kauharibu Uchumi kuliko marais wote ni Magufuli.
 
Mkuu leo umeamka vizuri. Naona humu kuna dawa na sumu au ile "kula ufe (trojan horse). Napendekeza waweke pia simba, chui na chatu ili watalii wafurike. Sio wazo baya hata kule Sauz ikulu ni moja ya tourist attractions.
 
Back
Top Bottom