Hongera Rais Samia kwa kuliponya Taifa dhidi ya siasa za chuki na roho mbaya

Hongera Rais Samia kwa kuliponya Taifa dhidi ya siasa za chuki na roho mbaya

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Alitumbuliwa Marehemu Mwele Malechela kwa kusimamia tu profession yake ikapelekea kutumbuliwa eti ateseke

Akatumbuliwa Rawrence Mafuru kwa kusema tu serikali kujiondoa kwenye mfumo wa benki binafsi kungeweka sekta ya fedha matatani. Ingawa aliondolewa Ila maneno yake yalitimia. Kwa miaka 3, 2016-2018 sekta ya mabenki ilitikisika sana.

Alitumbuliwa Mataragio wa TPDC kwa maneno tu ili Serikali ijiondoe kwenye sekta ya Gesi. Miradi mingi ikasimama kumbe tungewekeza kipindi kile leo tungekuwa tunaenda kuuza Gesi nje na kupata faida nyingi. Baadae akarudishwa na sekta ya Gesi ikawekwa kapuni.

Alitumbuliwa Nehemia Mchechu aliyekuwa na rekodi Nzuri ya utendaji kwenye sekta ya mabenki, akachafuliwa bila hata kupelekwa mahakamani kwa chuki tu kutokana na kuwa fundraiser mzuri wa kanisa la KKKT lililokuwa tofauti sana na mtawala yule.

Alitumbuliwa dada wa watu Kairuki pale NIC aliyekuwa akifanya vizuri kwenye uwekezaji kisa tu anaongea kiingereza na hakijui kiswahili kuvile matokeo yake uwekezaji ukashuka sana.

Akatumbuliwa Dk Ramadhani Dau kisa tu anaipenda dini yake na ameweka mpaka sehemu ya kuswali ofisini kwake jambo ambalo halina shida. Matokeo yake NSSF ikaanguka na sasa haieleweki imesimama au inakwenda!

Akatumbuliwa CAG Assad kisa tu naye anaipenda dini yake! Akadhalilishwa hadi kuitwa bungeni na puppet wa yule jamaa.

Akatumbuliwa DAS mmoja Kisarawe pale, kisa tu taarifa zilimfikia mzee kuwa anakula chakula ya Mzee aliyeiweka pale Kisarawe kimkakati.

Walipigwa risasi kina Lissu, walifungwa kina Sugu. Walishtakiwa kina Mchungaji msigwa na wakauwawa kina Ben Saanane.

Asante Samia maana naona unaliponya Taifa dhidi ya siasa hizi za chuki na roho mbaya!

Natarajia kuwaona Big Brains Charles Kimei, Ramadhani Dau wakiendesha taasis nyeti hivi Karibuni wakishirikiana na Big brains Wengine Kama Prof Luoga, Nehemia Kyando Mchechu katika kupeleka uchumi wetu mbele zaidi kwa kasi Kubwa na kutengeneza ajira nyingi na maisha mazuri kwa Watanzania.
 
.......

Natarajia kuwaona Big Brains Charles Kimei, Ramadhani Dau wakiendesha taasis nyeti hivi Karibuni wakishirikiana na Big brains Wengine Kama Prof Luoga, Nehemia Kyando Mchechu katika kupeleka uchumi wetu mbele zaidi kwa kasi Kubwa na kutengeneza ajira nyingi na maisha mazuri kwa watanzania
Hivi hapa nani ni big brain ni hawa uliowaorodhesha hapa au ni aliewateua?

Nchi zetu siasa zitatuponza sana

Nadhani hapa ilitakiwa kusema hongera Big Brain Madam (BBM) kwa kuwachagua hawa
 
Hivi hapa nani ni big brain ni hawa uliowaorodhesha hapa au ni aliewateua?

Nchi zetu siasa zitatuponza sana

Nadhani hapa ilitakiwa kusema hongera Big Brain Madam (BBM) kwa kuwachagua hawa
Nani kati ya niliowataja hapo sio big brain?
 
YOTE KWA YOTE SIJUI KWANINI HUWA NAONA HUYU MAMA HATOSHI KABISA KULIONGOZA TAIFA.

Huwezi kuona kama anatosha kwa sababu ulishazoea kufokewa kama mtoto kila siku,ulishazoea kusikia kila siku mtu katumbuliwa na ndio furaha ya mtanzania hiyo kupenda mtu mwingine apate matatizo.mkuu hakuna raisi duniani ambae hataki nchi yake ipate maendeleo.achana na magufuli ideologie.hayupo huyo na hatorudi tena na hamtoonana tena milele.kifupi habari yake ilishakwisha na kilichobaki nakushauri msaport maza tu.
 
Kweki kabisa mama rudisha watu waliotumbuliwa na siasa za chuki maana yule jamaa

1) Alikuwa mshamba alitokea chato hakupenda watu wa mjini akawa anatumbua watu kwa chuki

2)Alitokea familia masikini hakupenda watu waliotokea familia tajiri na akawa anawatumbua watu kwa chuki binafsi

3) yule jamaa alikuwa na Phd feki hakupenda great thinkers kama akina Dau au Asad wawe madarakani akawa anawatumbua ovyo
Na mwisho mama tunaomba utuondolee wale walioletwa ccm na kupewa vyeo na kuwaacha wenye chama bila vyeo kwa siasa za chuki za bwana yule.Mama songa mbele tupo nyuma yako unaupiga mwingi sanaa kwanza tumechelewa sanaa na siasa za chuki
 
Kweki kabisa mama rudisha watu waliotumbuliwa na siasa za chuki maana yule jamaa
1) Alikuwa mshamba alitokea chato hakupenda watu wa mjini akawa anatumbua watu kwa chuki
2)Alitokea familia masikini hakupenda watu waliotokea familia tajiri na akawa anawatumbua watu kwa chuki binafsi
3) yule jamaa alikuwa na Phd feki hakupenda great thinkers kama akina Dau au Asad wawe madarakani akawa anawatumbua ovyo
Na mwisho mama tunaomba utuondolee wale walioletwa ccm na kupewa vyeo na kuwaacha wenye chama bila vyeo kwa siasa za chuki za bwana yule.Mama songa mbele tupo nyuma yako unaupiga mwingi sanaa kwanza tumechelewa sanaa na siasa za chuki
Umesema ya kweli kabisa
 
Mapato yalikusanywa mbeya na kupelekwa chato. Kisa eti mbeya ilichagua mbunge Sugu ambae ni kutoka upinzani.

Miaka mitano hakuna mradi wowote wa maendeleo mkoa was mbeya.

Lilikuwa na roho mbaya kama sura lake.
 
Mapato yalikusanywa mbeya na kupelekwa chato. Kisa eti mbeya ilichagua mbunge Sugu ambae ni kutoka upinzani.

Miaka mitano hakuna mradi wowote wa maendeleo mkoa was mbeya.

Lilikuwa na roho mbaya kama sura lake.
Aisee kweli yule jamaa alikuwa mtu mbaya sanaa ndo Mungu akamchukua akatuletea mtu mzuri kuazia sura hadi utendaji wake.kwasasa mbeya imepona tumepata spika kutoka mbeya na maendeleo yatakuwa kama Dubai.viva mbeya
 
Aisee kweli yule jamaa alikuwa mtu mbaya sanaa ndo Mungu akamchukua akatuletea mtu mzuri kuazia sura hadi utendaji wake.kwasasa mbeya imepona tumepata spika kutoka mbeya na maendeleo yatakuwa kama Dubai.viva mbeya
hahaha Mbeya yenyewe kijiji kikubwa kile hakina mpangilio na kimejaa nyumba za tope.
 
Mapato yalikusanywa mbeya na kupelekwa chato. Kisa eti mbeya ilichagua mbunge Sugu ambae ni kutoka upinzani.

Miaka mitano hakuna mradi wowote wa maendeleo mkoa was mbeya.

Lilikuwa na roho mbaya kama sura lake.
Mbeya mlitia huruma sana kwa kweli
 
Wakati mwingine huwa nafikiri hata Samia mwenyewe huwa anawashangaa, na ndo maana labda hata anawadharau, mtu mzima unaandika ujinga no substance, jaribu kuwa objective hata kidogo, kazi ya raisi siyo kusifiwa bali ni kukosolewa, kusifiwa ni rahisi!
 
Alitumbuliwa Marehemu Mwele Malechela kwa kusimamia tu profession yake ikapelekea kutumbuliwa eti ateseke

Akatumbuliwa Rawrence Mafuru kwa kusema tu serikali kujiondoa kwenye mfumo wa benki binafsi kungeweka sekta ya fedha matatani. Ingawa aliondolewa Ila maneno yake yalitimia. Kwa miaka 3, 2016-2018 sekta ya mabenki ilitikisika sana.

Alitumbuliwa Mataragio wa TPDC kwa maneno tu ili Serikali ijiondoe kwenye sekta ya Gesi. Miradi mingi ikasimama kumbe tungewekeza kipindi kile leo tungekuwa tunaenda kuuza Gesi nje na kupata faida nyingi. Baadae akarudishwa na sekta ya Gesi ikawekwa kapuni.

Alitumbuliwa Nehemia Mchechu aliyekuwa na rekodi Nzuri ya utendaji kwenye sekta ya mabenki, akachafuliwa bila hata kupelekwa mahakamani kwa chuki tu kutokana na kuwa fundraiser mzuri wa kanisa la KKKT lililokuwa tofauti sana na mtawala yule.

Alitumbuliwa dada wa watu Kairuki pale NIC aliyekuwa akifanya vizuri kwenye uwekezaji kisa tu anaongea kiingereza na hakijui kiswahili kuvile matokeo yake uwekezaji ukashuka sana.

Akatumbuliwa Dk Ramadhani Dau kisa tu anaipenda dini yake na ameweka mpaka sehemu ya kuswali ofisini kwake jambo ambalo halina shida. Matokeo yake NSSF ikaanguka na sasa haieleweki imesimama au inakwenda!

Akatumbuliwa CAG Assad kisa tu naye anaipenda dini yake! Akadhalilishwa hadi kuitwa bungeni na puppet wa yule jamaa.

Akatumbuliwa DAS mmoja Kisarawe pale, kisa tu taarifa zilimfikia mzee kuwa anakula chakula ya Mzee aliyeiweka pale Kisarawe kimkakati.

Walipigwa risasi kina Lissu, walifungwa kina Sugu. Walishtakiwa kina Mchungaji msigwa na wakauwawa kina Ben Saanane.

Asante Samia maana naona unaliponya Taifa dhidi ya siasa hizi za chuki na roho mbaya!

Natarajia kuwaona Big Brains Charles Kimei, Ramadhani Dau wakiendesha taasis nyeti hivi Karibuni wakishirikiana na Big brains Wengine Kama Prof Luoga, Nehemia Kyando Mchechu katika kupeleka uchumi wetu mbele zaidi kwa kasi Kubwa na kutengeneza ajira nyingi na maisha mazuri kwa Watanzania.

Kumbe Nehemia aliondolewa kwa sababu alikuwa ana saidia fundrise KKKT? Duuuu
 
Hakuna roho mbaya iliyo kubwa kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.

Hakuna siasa za chuki kwa wananchi zilizo mbaya kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.

Samia ni fisadi anaehamasisha ufisadi katika Taifa,anapaswa kulaaniwa na kukataliwa na kila mwenye pumzi.
 
Hakuna roho mbaya iliyo kubwa kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.

Hakuna siasa za chuki kwa wananchi zilizo mbaya kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.

Samia ni fisadi anaehamasisha ufisadi katika Taifa,anapaswa kulaaniwa na kukataliwa na kila mwenye pumzi.
View attachment 2151190
Nitajie ufisadi mmoja tu wa Samia tena kwa ushahidi
 
Back
Top Bottom