Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Wewe hujui? KalaghabaoKumbe Nehemia aliondolewa kwa sababu alikuwa ana saidia fundrise KKKT? Duuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujui? KalaghabaoKumbe Nehemia aliondolewa kwa sababu alikuwa ana saidia fundrise KKKT? Duuuu
Hahaaaa unaumia nini? NduguHakuna roho mbaya iliyo kubwa kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.
Hakuna siasa za chuki kwa wananchi zilizo mbaya kuliko kuhamasisha ufisadi katika Taifa.
Samia ni fisadi anaehamasisha ufisadi katika Taifa,anapaswa kulaaniwa na kukataliwa na kila mwenye pumzi.
View attachment 2151190
Sizungumzii asili hapa, nazungumzia uwezo wa SHH kiakili.Kama una asili ya Burundi lazima umuone Rais Samia sio
Ila waTz bwana, hizi akili za kijinga huwa mnazitoa wapi?Hahaaaa unaumia nini? Ndugu
1)Hela zenyewe tumepewa kwa masharti nafuu haijawahi tokea tangu tupate uhuru hata zikiliwa kuna shida gani? Tushafanya mambo mengi kwa muda mfupi na tutamaliza kero kabla ya 2025
2)Rasimali kama madini na vinginevyo hata vikibebwa wewe unaumia nini hata wanyama tu hawawezi kula wewe unaving'ang'ania vya nini?
Huu si ufisadi watu wale kutokana na urefu wa kamba zao ila tu wasivimbiwe
Uwezo wake Mbona Uko vizuri sana! Akili yake ipo vizuri sanaSizungumzii asili hapa, nazungumzia uwezo wa SHH kiakili.
Alitumbuliwa Marehemu Mwele Malechela kwa kusimamia tu profession yake ikapelekea kutumbuliwa eti ateseke
Akatumbuliwa Rawrence Mafuru kwa kusema tu serikali kujiondoa kwenye mfumo wa benki binafsi kungeweka sekta ya fedha matatani. Ingawa aliondolewa Ila maneno yake yalitimia. Kwa miaka 3, 2016-2018 sekta ya mabenki ilitikisika sana.
Alitumbuliwa Mataragio wa TPDC kwa maneno tu ili Serikali ijiondoe kwenye sekta ya Gesi. Miradi mingi ikasimama kumbe tungewekeza kipindi kile leo tungekuwa tunaenda kuuza Gesi nje na kupata faida nyingi. Baadae akarudishwa na sekta ya Gesi ikawekwa kapuni.
Alitumbuliwa Nehemia Mchechu aliyekuwa na rekodi Nzuri ya utendaji kwenye sekta ya mabenki, akachafuliwa bila hata kupelekwa mahakamani kwa chuki tu kutokana na kuwa fundraiser mzuri wa kanisa la KKKT lililokuwa tofauti sana na mtawala yule.
Alitumbuliwa dada wa watu Kairuki pale NIC aliyekuwa akifanya vizuri kwenye uwekezaji kisa tu anaongea kiingereza na hakijui kiswahili kuvile matokeo yake uwekezaji ukashuka sana.
Akatumbuliwa Dk Ramadhani Dau kisa tu anaipenda dini yake na ameweka mpaka sehemu ya kuswali ofisini kwake jambo ambalo halina shida. Matokeo yake NSSF ikaanguka na sasa haieleweki imesimama au inakwenda!
Akatumbuliwa CAG Assad kisa tu naye anaipenda dini yake! Akadhalilishwa hadi kuitwa bungeni na puppet wa yule jamaa.
Akatumbuliwa DAS mmoja Kisarawe pale, kisa tu taarifa zilimfikia mzee kuwa anakula chakula ya Mzee aliyeiweka pale Kisarawe kimkakati.
Walipigwa risasi kina Lissu, walifungwa kina Sugu. Walishtakiwa kina Mchungaji msigwa na wakauwawa kina Ben Saanane.
Asante Samia maana naona unaliponya Taifa dhidi ya siasa hizi za chuki na roho mbaya!
Natarajia kuwaona Big Brains Charles Kimei, Ramadhani Dau wakiendesha taasis nyeti hivi Karibuni wakishirikiana na Big brains Wengine Kama Prof Luoga, Nehemia Kyando Mchechu katika kupeleka uchumi wetu mbele zaidi kwa kasi Kubwa na kutengeneza ajira nyingi na maisha mazuri kwa Watanzania.
Baba sio maneno yangu mimi nimecopy na kupaste mlalamikie aliyeyatoa hayo maneno sio mimiIla waTz bwana, hizi akili za kijinga huwa mnazitoa wapi?
Nchi haiendeshwi na big brain mmoja isipokuwa kama ni Mungu.Hivi hapa nani ni big brain ni hawa uliowaorodhesha hapa au ni aliewateua?
Nchi zetu siasa zitatuponza sana
Nadhani hapa ilitakiwa kusema hongera Big Brain Madam (BBM) kwa kuwachagua hawa
Bado na wewe kutumbuliwa. Huna mazuri yeyote na Mtanzania yeyote Kafiri tu wwAlitumbuliwa Marehemu Mwele Malechela kwa kusimamia tu profession yake ikapelekea kutumbuliwa eti ateseke
Akatumbuliwa Rawrence Mafuru kwa kusema tu serikali kujiondoa kwenye mfumo wa benki binafsi kungeweka sekta ya fedha matatani. Ingawa aliondolewa Ila maneno yake yalitimia. Kwa miaka 3, 2016-2018 sekta ya mabenki ilitikisika sana.
Alitumbuliwa Mataragio wa TPDC kwa maneno tu ili Serikali ijiondoe kwenye sekta ya Gesi. Miradi mingi ikasimama kumbe tungewekeza kipindi kile leo tungekuwa tunaenda kuuza Gesi nje na kupata faida nyingi. Baadae akarudishwa na sekta ya Gesi ikawekwa kapuni.
Alitumbuliwa Nehemia Mchechu aliyekuwa na rekodi Nzuri ya utendaji kwenye sekta ya mabenki, akachafuliwa bila hata kupelekwa mahakamani kwa chuki tu kutokana na kuwa fundraiser mzuri wa kanisa la KKKT lililokuwa tofauti sana na mtawala yule.
Alitumbuliwa dada wa watu Kairuki pale NIC aliyekuwa akifanya vizuri kwenye uwekezaji kisa tu anaongea kiingereza na hakijui kiswahili kuvile matokeo yake uwekezaji ukashuka sana.
Akatumbuliwa Dk Ramadhani Dau kisa tu anaipenda dini yake na ameweka mpaka sehemu ya kuswali ofisini kwake jambo ambalo halina shida. Matokeo yake NSSF ikaanguka na sasa haieleweki imesimama au inakwenda!
Akatumbuliwa CAG Assad kisa tu naye anaipenda dini yake! Akadhalilishwa hadi kuitwa bungeni na puppet wa yule jamaa.
Akatumbuliwa DAS mmoja Kisarawe pale, kisa tu taarifa zilimfikia mzee kuwa anakula chakula ya Mzee aliyeiweka pale Kisarawe kimkakati.
Walipigwa risasi kina Lissu, walifungwa kina Sugu. Walishtakiwa kina Mchungaji msigwa na wakauwawa kina Ben Saanane.
Asante Samia maana naona unaliponya Taifa dhidi ya siasa hizi za chuki na roho mbaya!
Natarajia kuwaona Big Brains Charles Kimei, Ramadhani Dau wakiendesha taasis nyeti hivi Karibuni wakishirikiana na Big brains Wengine Kama Prof Luoga, Nehemia Kyando Mchechu katika kupeleka uchumi wetu mbele zaidi kwa kasi Kubwa na kutengeneza ajira nyingi na maisha mazuri kwa Watanzania.
Unaelewa kuwa kuhamasisha ufisadi katika Taifa ni kufanya ufisadi?Nitajie ufisadi mmoja tu wa Samia tena kwa ushahidi
Nitumbuliwe kwani nipo kwenye utumishi wa umma? Mie mkulima na mfanyabiasharaBado na wewe kutumbuliwa. Huna mazuri yeyote na Mtanzania yeyote Kafiri tu ww
Shetani ni Shetani tu! Full stopJust to let you know, huo ushetani wa Magufuli haukufanyi wewe uwe mtakatifu.
Wamechukia sanaWafuasi wa Magufuli wamefura kwa hasira...
Wanatamani siasa za kikabila na roho mbaya za kuuana, kufungana, kujitenga na dunia kama Wahutu, Tanzania iwe kama Burundi sijui ni kweli mungu wao alikuwa na asili ya huko
Una chuki tu binafsi lakini mama anatosha sanaYote kwa yote sijui kwanini huwa naona huyu mama hatoshi kabisa kuliongoza taifa.
Yote kwa yote sijui kwanini huwa naona huyu mama hatoshi kabisa kuliongoza taifa.