Hongera Rais Samia kwa kuliponya Taifa dhidi ya siasa za chuki na roho mbaya

Hahaaaa unaumia nini? Ndugu
1)Hela zenyewe tumepewa kwa masharti nafuu haijawahi tokea tangu tupate uhuru hata zikiliwa kuna shida gani? Tushafanya mambo mengi kwa muda mfupi na tutamaliza kero kabla ya 2025
2)Rasimali kama madini na vinginevyo hata vikibebwa wewe unaumia nini hata wanyama tu hawawezi kula wewe unaving'ang'ania vya nini?
Huu si ufisadi watu wale kutokana na urefu wa kamba zao ila tu wasivimbiwe
 
Alipigwa Mipasho Ndugai baada ya Kusema ambayo wengine hawakutaka kuyasikia...

Aliwekwa kando Lukuvi kwa kupewa kazi maalumu

Wengine walitupwa Malawi kwa kusema ndivyo sivyo...

Same Script, Different Cast....
 
Ila waTz bwana, hizi akili za kijinga huwa mnazitoa wapi?
 
Mkifikia hatua ya Katiba Mpya unishtue
 
Hivi hapa nani ni big brain ni hawa uliowaorodhesha hapa au ni aliewateua?

Nchi zetu siasa zitatuponza sana

Nadhani hapa ilitakiwa kusema hongera Big Brain Madam (BBM) kwa kuwachagua hawa
Nchi haiendeshwi na big brain mmoja isipokuwa kama ni Mungu.
 
Just to let you know, huo ushetani wa Magufuli haukufanyi wewe uwe mtakatifu.
 
Bado na wewe kutumbuliwa. Huna mazuri yeyote na Mtanzania yeyote Kafiri tu ww
 
Wafuasi wa Magufuli wamefura kwa hasira...

Wanatamani siasa za kikabila na roho mbaya za kuuana, kufungana, kujitenga na dunia kama Wahutu, Tanzania iwe kama Burundi sijui ni kweli mungu wao alikuwa na asili ya huko
Wamechukia sana
 
Hivi huyo mchechu unamjua vizuri kweli na hasara aliyosababisha kipindi chake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…