Hongera Rais Samia, matendo huongea kwa sauti kuliko maneno

Hongera Rais Samia, matendo huongea kwa sauti kuliko maneno

Huyo Samia atakuwa mpuuzi sana kama anafurahia kila siku kusifiwa na mjinga yule yule, hajiulizi hamna wajinga wapya wamsifie?
Inabidi umsifie tu, anachapa kazi, hana muda wa kukufanya mjinga kukuaminisha maneno matupu.


Au una macho lakini hayaoni?


Tuliaminishwa maneno hapa na kina Kabududi, alipoulizwa matrillioni tuliyosema watulipe hawa barick yako wapi mbona wamerudi tena kwa kishindo? Unakumbuka akajibu nini? Nakukumbusha "zile zilikuwa mbinu tu". Khaa! sasa kama zilikuwa mbinu tu anamaana zimeshindwa?


Matokeo yake, kesi kibao mahakamani wao walifikiri kukubaliana na barick ndiyo imekwisha kwa kuwa abricka na wao walikuwa wamiliki wa Acacia, hawakujuwa kuwa sheria kampuni ni mtu wa kipekee, wewe ukikubalina na Barick acacia hawakuingilii, uememalizana nao wameshaanza kazi, sasa acacia na vikampuni vyao vinhine vingine wameingia mahakama za kimataifa. Tunajambajamba hovyo.


Hiyo ndiyo ujinga wa kuamini maneno badala ya vitendo.
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
Laiti kama Rais Samia angejaaliwa mdomo mdomo kama Watanganyika wengi sidhani kama angekamatika maana anafanya wonders nyingi sana Sasa hapo angeingiza na propaganda ndio kabisaa wangekuwa wanambeba mabegank Kila siku..

Naongea haya with confidence kabisa kwamba Kwa mda mfupi alioongoza Nchi ameleta mapinduzi makubwa across sectors Kuwahi kufanywa na Rais mwingine yeyote.
 
Inabidi umsifie tu, anachapa kazi, hana muda wa kukufanya mjinga kukuaminisha maneno matupu.


Au una macho lakini hayaoni?


Tuliaminishwa maneno hapa na kina Kabududi, alipoulizwa matrillioni tuliyosema watulipe hawa barick yako wapi mbona wamerudi tena kwa kishindo? Unakumbuka akajibu nini? Nakukumbusha "zile zilikuwa mbinu tu". Khaa! sasa kama zilikuwa mbinu tu anamaana zimeshindwa?


Matokeo yake, kesi kibao mahakamani wao walifikiri kukubaliana na barick ndiyo imekwisha kwa kuwa abricka na wao walikuwa wamiliki wa Acacia, hawakujuwa kuwa sheria kampuni ni mtu wa kipekee, wewe ukikubalina na Barick acacia hawakuingilii, uememalizana nao wameshaanza kazi, sasa acacia na vikampuni vyao vinhine vingine wameingia mahakama za kimataifa. Tunajambajamba hovyo.


Hiyo ndiyo ujinga wa kuamini maneno badala ya vitendo.
Naona una hororoja..
 
Angefuata Ushauri huo wala kungekuwa hakuna sababu ya Kupiga Propaganda wala kuwasihi watu waeleze huku na kule yanayaofanyika.., Wala wale Chawa wa Mama wangekuwa hawana sababu wala kazi ya Kufanya...; Lakini sababu uhalisia ni tofauti ndio maana badala ya kujiuza, kujitembeza kunakuwa kwingi....

 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".



Hivi wewe mbona huweki namba ya Simu? Nafikiri wewe watakuwa wamakufaham kwa jina la Jamii forum.

Haya, jitahidi kwa shughuli zako zakujipatia kipato Mama.
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
kwa kweli kwa kuuza bandari, kaongea tumemwelewa kuliko hata ukimya wake
 
Hivi wewe mbona huweki namba ya Simu? Nafikiri wewe watakuwa wamakufaham kwa jina la Jamii forum.

Haya, jitahidi kwa shughuli zako zakujipatia kipato Mama.
Hijazitaka tu, unataka namba zangu za simu?
 
Hijazitaka tu, unataka namba zangu za simu?

Nina Mke mzuri na ndoa ya miaka 17 kwa mke ambaye sijawahi mbadili, msikivu, mwema, ana akili na mtiifu.

Namba peleka huko kwenye teuzi....
 
Umesahau kuweka Namba zako za simu,,
Unaweza kulamba uteuzi..
Pengine yumo humu kwenye NGO ya upigaji.
IMG-20230726-WA0012.jpg
 
Wapingaji na waongeaji wameangukia pua huko Temeke. Sasa ndo wajifunze kwamba watanzania wa 2023 sio watanzania wa 2013.

Maneno mengi mitandaoni na ID zao kumi kumi, kumbe tukienda kiuhalisia hamna kitu mkutano wa kupinga bandari ulidoda, japo waandaji hawana cha kupoteza baada ya kulipwa chao na wakwepa kodi na ushuru wa bandarini.
Mna propaganda za kitoto sana kama watu wajinga. Unapiga picha awali halafu unaifanya ya tukio zima? Hawa ni nani?
Acheni ujinga na upuuzi!
20230727_103313.jpg
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".

Mama ni mwalimu wa siasa na muda ni hakimu mzuri
 
Nafahamu kuwa umeaminishwa ujinga na ulivyo poyoyo umekubali. Kuna kesi mahakamani au siyo? Mama kimyaaa. Kuna waliofanya maandamano au siyo? Mama kimyaaa. Kuna wanaofanya mikutani, au siyo? Mama kimyaa.


Yeye anachapa kai zake na wengine mnachapa kazi zenu.

Sasa si umpopoe mawe, wenye kazi zao watafanya. Mambo kwa vitendo siyo kwa maneno.
Hakuna cha kuamianishwa wala nini mambo ya hovyo yako mubashara, hata mwenye makengeza anaona
 
Hii picha yako ni ya mkutano wa chadema katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Sasa sijui umeiweka hapa ya kazi gani. Watu tunazungumzia mkutano uliododa wa kupinga kila kinachofanywa na serikali.
Mna propaganda za kitoto sana kama watu wajinga. Unapiga picha awali halafu unaifanya ya tukio zima? Hawa ni nani?
Acheni ujinga na upuuzi!View attachment 2700351
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
Hata suala la increments na nyongeza ya mishahara kwa watumishi angelikaa kimya siku ya Mei Mosi, ingelikuwa poa sana!!!
 
Back
Top Bottom