Hongera Rais Samia, matendo huongea kwa sauti kuliko maneno

Hongera Rais Samia, matendo huongea kwa sauti kuliko maneno

Hata suala la increments na nyongeza ya mishahara kwa watumishi angelikaa kimya siku ya Mei Mosi, ingelikuwa poa sana!!!
Kwanini?

Wanaochelewesha ni wakiritimba wa mawizarani huko, kama zimechelewa usijqli zitaingia kwa pamoja.

Tena hili suala litaondowa watu mawizarani.

Utanambia.
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
Utukome, kwa kazi zipi?
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
Ww ndo samia sio kwa mipashi hiyo
 
Huyu analilia hii nchi iwe kama Afghanistan.
Yaani ifuate Sharia za Kiislamu.

Kitu cha kwanza Wanawake wote watafunikwa Vigunia vyeusi toka nyayoni hadi utosini.

Kitu cha pili hakuna kutoka nje bila ruhusa ya Mwanamume. Na ukitoka lazima uambayane na mtoto wa kiume.

Hairuhusiwi mwanamke na mwanamme kuongozana.

Wanawake ni Marufuku
1. Kwenda Saluni
2. Kwenda Sokoni
3. Kwenda Shule
4. Hakuna kwenda kutembea na kupinga upepo nje ya uzio wa nyumba.
Hakuna kujitegemea lazima wamtegemee mwanaume.
5. Kuangalia video wa muziki kwenye Radio ay TV.
6. Kuongea Mbele ya Wanamume.
7. Kurithi mali ya familia yake
8. Kuendesha gari
9. Kustarehe popote nje ya nyumbani kwake
10. Kufanya kazi

NAKADHARIKA.

Halafu akisha fanikisha haya anakimbilia Msumbiji kuwafuata wenzake.
Mpuuzeni.[emoji848]
 
Huyu analilia hii nchi iwe kama Afghanistan.
Yaani ifuate Sharia za Kiislamu.

Kitu cha kwanza Wanawake wote watafunikwa Vigunia vyeusi toka nyayoni hadi utosini.

Kitu cha pili hakuna kutoka nje bila ruhusa ya Mwanamume. Na ukitoka lazima uambayane na mtoto wa kiume.

Hairuhusiwi mwanamke na mwanamme kuongozana.

Wanawake ni Marufuku
1. Kwenda Saluni
2. Kwenda Sokoni
3. Kwenda Shule
4. Hakuna kwenda kutembea na kupinga upepo nje ya uzio wa nyumba.
Hakuna kujitegemea lazima wamtegemee mwanaume.
5. Kuangalia video wa muziki kwenye Radio ay TV.
6. Kuongea Mbele ya Wanamume.
7. Kurithi mali ya familia yake
8. Kuendesha gari
9. Kustarehe popote nje ya nyumbani kwake
10. Kufanya kazi

NAKADHARIKA.

Halafu akisha fanikisha haya anakimbilia Msumbiji kuwafuata wenzake.
Mpuuzeni.[emoji848]
Raha ya Tanzania ya leo ndiyo hiyo, na mama katuwachia huru kubwabwaja na kuhororoja tupendavyo. Yeye kimyaa, anachapa kazi tu.

Ada ya mja kunena, Muungwana ni vitendo.

Vipi kesi Mbeya huko?
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".

Usipendege kujitoa akili kujifanya mwehu wakati we ni timamu, wewe ni mtu mzima Mwenye kuweza kupambanua mambo. Tatzo unaletaga mada za kihuni kupima wanajukwaa acha huo upuuzi wako.
 
Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Hapo ulikuwa ukimaanisha nini?
 
Raha ya Tanzania ndiyoi hiyo, na mama katuwachia huru kubwabwaja na kuhorororja tupendavyo. Yeye kimyaa, anachapa kazi tu.

Ada ya mja kunena, Muungwana ni vitendo.

Vipi kesi Mbeya huko?
Kwani hiyo taasisi haitaki watu waongee wanavyojisikia?

Nauliza tena
Kwani tasisi ya Dini inayoitwa FaizaFoxy, haitaki watu waongee wanavyojisikia kuongea?

Kwani kuna mtu ana mamlaka ya kuruhusu au kukataza watu kuongea?

Tasisi ya Dini ya Faizafoxy, ina maoni gani kuhusu jambo hili?
 
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).

Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana tena sana mama Samia, tumeona uchapaji kazi wako na tumeona jinsi unavyotutakia mema Waanzania bila kukurupuka.

Wanaotaka maandamano wanafanya, wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya, wanaotaka kwenda mahakamani wanakwenda, wanaosema hovyo wanasema. Wewe tuliiii, mama unawatia watu "presha" hivyo. Tulidhani unatufanyia tashtiti, kumbe la hasha, wewe unachapa kazi. Sasa nimeamini, kiongozi wa kweli hutenda, Wengine bila maneno maneno.

Kweli umetufundisha somo kbwa sana sote, umetufundisha tuwe watendaji zaidi ya waongeaji. Binafsi naamini na umezidi kuniyakinishia hilo, kuwa wasemaji sana hutaka yaaminiwe maneno yao siyo vitendo vyao na uhalisia uliopo.

Tulitaka na tunatamani sana mama ukurupuke, kama tulivyozoeshwa, lakini kwa hekima zako, unatuwachia tuwe huru kwa maoni yetu. wewe unachapa kazi tu.

Mama tuliyozowea maneno maneno na umbeya unatutia "plesha". Tunaona kama unatufanyia tashtiti.

Mama nakupongeza kwa hilo, tulishazowea siasa za kufokafoka na kuaminishwa maneno ya kuliko uhalisia.

Mama ahsante kwa kutufundisha kwa vitendo, inabidi tubadili mbinu. Twende kama unavyokwenda wewe "boss wetu" kisheria, kidemokrasia, kiusalama na amani, siyo kimihemko.

Kweli nimeamini "Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno".
Hasa matendo ya kuuza mali
 
Back
Top Bottom