Hongera Rais wa JMT. Nimeona nyumba wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro huku Handeni. Kusema kweli unastahili kuwa Rais wa JMT

Hongera Rais wa JMT. Nimeona nyumba wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro huku Handeni. Kusema kweli unastahili kuwa Rais wa JMT

Unapiga picha kwa kujificha na kuuficha muonekano wa hizo unazoziita nyumba, sasa hapo umepiga ukuta au nyumba.?

Acheni kuhadaa jamii ya kimasai hili mnalolifanya hamtafanikiwa kamwe.
Katafute juisi ya ndimu tu unywe. Chokochoko zenu zote zimeshindwa. Nani atakataa kujengewa nyumba na kupewa hati bure?

Samia kawazidi ujanja na akili
 
Huna akili kabisa? Una uthibitisho wowote wa hayo unayosema? Ukiombwa utupe ushahidi wa mwarabu kuuziwa Ngorongoro utautoa?

Au roho mbaya na chuki zako zinakuendesha?
Waziri mkuu anatumia kiongozi fake wa Masai kupotosha suala la kuamisha wakati wa Ngorongoro Kwa nini serikali inatafuta viongozi fake ili kuhalilisha suala la kuwaamisha Masai Ngorongoro?
 
Katafute juisi ya ndimu tu unywe. Chokochoko zenu zote zimeshindwa. Nani atakataa kujengewa nyumba na kupewa hati bure?

Samia kawazidi ujanja na akili
Usifikiri tamaa zako za kumiliki nyumba kila mtu anazo, urithi wa mmasai siyo nyumba za block na hayo makaratasi unayoyaita hati.!

Huyu mama yako unampigia propaganda ujue hilo ni jumba bovu litamuangukie siku za mbeleni.
 
Waziri mkuu anatumia kiongozi fake wa Masai kupotosha suala la kuamisha wakati wa Ngorongoro Kwa nini serikali inatafuta viongozi fake ili kuhalilisha suala la kuwaamisha Masai Ngorongoro?
Unajua mkishaambiwa mhame ni vema kuwa waelewa maana mwisho wa siku mtaambulia kuondoka bila hata fidia.

Whether mwarabu anapewa au hapewi ishu ni kuhama Sasa endeleeni kujifanya na nyie ni pundamilia mnavyojiita eti kivutio Cha utalii.
 
Unajua mkishaambiwa mhame ni vema kuwa waelewa maana mwisho wa siku mtaambulia kuondoka bila hata fidia.

Whether mwarabu anapewa au hapewi ishu ni kuhama Sasa endeleeni kujifanya na nyie ni pundamilia mnavyojiita eti kivutio Cha utalii.
Whatever ,an animal game reserve is never complete without Maasai / human habitation. ...

Hii kasumba ya kutenga wamaasai ni potovu. Maasai wameishi hivyo kwa karne nyingi, isitoshe utalii wa tamaduni (cultural tourism) is more popular than wildlife.

PM ana maslahi na baadhi ya gvnnt officials, hili lipo blinded na watu kama nyie.

Mtastuka kumekucha.!
 
Kivutio cha utalii
JamiiForums1199019735.jpg
 
Mama anaupiga mwingi na anaijua kazi yake vzuri kweli kweli. Tuna bahati kuwa na Rais kipenzi cha watanzania wote na mzalendo.
 
Kusema ukweli Huyu mama sio wa kawaida!

Nimeona nyumba za kudumu na kisasa wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro wanaohamishiwa Mkoani Tanga maeneo ya Handeni na Kilindi.

Ni nyumba za kisasa zinazoakisi akili ya Serikali yako katika kupanga na kutekeleza mipango thabiti kwa maslahi ya Tanzania

Mtu ambaye amehamisha hakuwa hata na makazi wala hati ya eneo Leo hii anajengewa nyumba ya kisasa na kupewa hati kabisa!

Kwangu Mimi so far Naona Serikali ya Awamu ya 6 ndo serikali Bora zaidi katika kufanyia kazi mawazo chanya wanayotoa wananchi.

Tulitoa mawazo humu kuwa hela zinazotumika kuwanunulia chakula Wakazi wa Ngorongoro takribani Bil 4-6 kwa mwaka zipelekwe kuwajengea makazi ya kisasa na kudumu wakazi hawa eneo lingine, na Naona leo wazo hili limefanyiwa Kazi na Serikali ya Awamu ya sita.

Hongera sana Rais Samia. Tutazidi kuleta mawazo zaidi kwako kupitia jukwaa hili.
Asee ziko poa, nimeona ile ya pale kwenye kilima kama ulaya, nadhani masaai wengi watagombea kujaza majina ahahahaaaa.


NOTE: Naongelea nyumba siyo sifa kwa mtu.
 
Whatever ,an animal game reserve is never complete without Maasai / human habitation. ...

Hii kasumba ya kutenga wamaasai ni potovu. Maasai wameishi hivyo kwa karne nyingi, isitoshe utalii wa tamaduni (cultural tourism) is more popular than wildlife.

PM ana maslahi na baadhi ya gvnnt officials, hili lipo blinded na watu kama nyie.

Mtastuka kumekucha.!
Hii Imani yenu ni potifu kwani mikumi Kuna wamasai? Ruaha national Park Kuna wamasai? Sio lazima mkae huko .

Anyway tunajua Kuna NGO zinapata hela kupitia wamasai wa ngorongoro tunazijua ikiwemo ya akina Ole Ngurumwa wanapokea more than 6 billion kwa mwaka wanajifanya wanasaidia wamasai kumbe pesa wanatia mifukoni mwao.

Sasa labda Kama wewe sio mmoja wao basi ndio mjue na mkae mkijua Kuna wamasai wenzenu wamewageuza nyie Kama nguruwe pori na mmekubali kukaa porini muwe vivutio wakati wenzenu haohao wa jamii yenu wanakula Bata mjini.
 
Kusema ukweli Huyu mama sio wa kawaida!

Nimeona nyumba za kudumu na kisasa wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro wanaohamishiwa Mkoani Tanga maeneo ya Handeni na Kilindi.

Ni nyumba za kisasa zinazoakisi akili ya Serikali yako katika kupanga na kutekeleza mipango thabiti kwa maslahi ya Tanzania

Mtu ambaye amehamisha hakuwa hata na makazi wala hati ya eneo Leo hii anajengewa nyumba ya kisasa na kupewa hati kabisa!

Kwangu Mimi so far Naona Serikali ya Awamu ya 6 ndo serikali Bora zaidi katika kufanyia kazi mawazo chanya wanayotoa wananchi.

Tulitoa mawazo humu kuwa hela zinazotumika kuwanunulia chakula Wakazi wa Ngorongoro takribani Bil 4-6 kwa mwaka zipelekwe kuwajengea makazi ya kisasa na kudumu wakazi hawa eneo lingine, na Naona leo wazo hili limefanyiwa Kazi na Serikali ya Awamu ya sita.

Hongera sana Rais Samia. Tutazidi kuleta mawazo zaidi kwako kupitia jukwaa hili.
Kama ndivyo, Hongera nyingi kwa mhe. Rais na serikali yake kwa ukumla. Si kwa kuwajengea nyimba tu, bali mchakato mzima wa kuwahamisha wananchi hawa ulikuwa ni wa muhimu sana kwa mustabali wa hifadhi ya Ngorongoro.
 
Huna akili kabisa? Una uthibitisho wowote wa hayo unayosema? Ukiombwa utupe ushahidi wa mwarabu kuuziwa Ngorongoro utautoa?

Au roho mbaya na chuki zako zinakuendesha?
Unataka mimi nikuthibitishie, hiyo ni kazi yangu? hopeless kabisa......
 
Hata akiwajengea mahekalu akawapa na sheli na kuwapeleka Ulaya (kwa wachuuzi) wake bado haitoshi yeye kuvuka 2025 akiwa raisi wa kuchaguliwa wa JMT.
 
Kusema ukweli Huyu mama sio wa kawaida!

Nimeona nyumba za kudumu na kisasa wanazojengewa wakazi wa Ngorongoro wanaohamishiwa Mkoani Tanga maeneo ya Handeni na Kilindi.

Ni nyumba za kisasa zinazoakisi akili ya Serikali yako katika kupanga na kutekeleza mipango thabiti kwa maslahi ya Tanzania

Mtu ambaye amehamisha hakuwa hata na makazi wala hati ya eneo Leo hii anajengewa nyumba ya kisasa na kupewa hati kabisa!

Kwangu Mimi so far Naona Serikali ya Awamu ya 6 ndo serikali Bora zaidi katika kufanyia kazi mawazo chanya wanayotoa wananchi.

Tulitoa mawazo humu kuwa hela zinazotumika kuwanunulia chakula Wakazi wa Ngorongoro takribani Bil 4-6 kwa mwaka zipelekwe kuwajengea makazi ya kisasa na kudumu wakazi hawa eneo lingine, na Naona leo wazo hili limefanyiwa Kazi na Serikali ya Awamu ya sita.

Hongera sana Rais Samia. Tutazidi kuleta mawazo zaidi kwako kupitia jukwaa hili.


Tatizo la Ngorongoro sio watu pekee ni Ng'ombe wengi. Sasa cha kujiuliza tunataka sehemu ya Handeni iwekwe ng'ombe 1M ? Bila kuwa na utaratibu na mpangilio mazingira yataharibiwa sana. Serikali isifanye makosa kuhamisha watu bila utaratibu mzuri wa mifugo
 
Back
Top Bottom