Kulikuwa na carnival jumamosi. Mambo fulani ya bata na maonesho ya biashara kimtindo. Itakuwa inafanyika mara kwa mara. Ile lami sio ya nchi hii, sasa kuna ile ya aga khan kule balaa!Sema coco nimeenda jana panajengwa vibanda flani amazing hadi nimependa yani! Lami iko so smooth yani gari inashift gears tu kama iko hewani😅
Ahaa aisee vile vibanda iwe standard tu ya kule beach vimekaa kiusafi sana😋! Ile ya Aga Khan nayo kiboko yani Sea View ni mterezo tu mpaka inakoungia kwenda BOT ndio inaanza mbovu!Kulikuwa na carnival jumamosi. Mambo fulani ya bata na maonesho ya biashara kimtindo. Itakuwa inafanyika mara kwa mara. Ile lami sio ya nchi hii, sasa kuna ile ya aga khan kule balaa!
Bado, subiri Tanzanite bridge lifunguliwe...chuma aheshimiwe!Ahaa aisee vile vibanda iwe standard tu ya kule beach vimekaa kiusafi sana😋! Ile ya Aga Khan nayo kiboko yani Sea View ni mterezo tu mpaka inakoungia kwenda BOT ndio inaanza mbovu!
Yule mzee mtu anaemuongelea utumbo najiskia kutapika yani😅!!! Jamaa amefanya vitu vinavyoonekana sikazi ingalikuwa kiongozi wa Calibre ya JK miradi ingechukua miaka hata 30 kukamilikaBado, subiri Tanzanite bridge lifunguliwe...chuma aheshimiwe!
kudadadeki zenu wewe RRONDO Mimi mambo yakikaa Sawa nitaenda piga Kambi pale na kibanda changu amaizing nataka niweke Koktal & Moktal bar flani amaizing halafu na snacks Amaizing yaani noma Sana!Kulikuwa na carnival jumamosi. Mambo fulani ya bata na maonesho ya biashara kimtindo. Itakuwa inafanyika mara kwa mara. Ile lami sio ya nchi hii, sasa kuna ile ya aga khan kule balaa!
Serikali ikiamua kitu hakuna anayeweza bishaMbona mlisema wamachinga hawawezi kuguswa?
Mharifu atauawa.Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
Wanadhani hiyo ni justification ya kufanya uhalifuMharifu atauawa.
Lazima miji iwe na utaratibu
Duh, raia wamefika hadi kule!!!Hawa watu hawana woga, kuna barabara mpya kule coco beach washaanza kuweka vibanda kwenye njia za watembea kwa miguu!
😀😀😀😀 hivi ni ulyankulu au Bulyankulu, mkuu umenichekesha sana!
unashangaa kufika huko mkuu dady ilikuwa bado kufika geti la magogo tuDuh, raia wamefika hadi kule!!!
jamani ila kwakweli wamekosea kidogo hao machinga kuwapeleka nje ya jiji nani atafika huko?
Kisha watu wawahisi ni wachawi kwa wekundu wa macho!Moshi unaingia mpaka lecture mkitoka tu macho mekundu kama mnatumia mmea wa Jamaica[emoji1787]
Acha tu, huwa natumia ile njia kwa jogging, washaanza!Duh, raia wamefika hadi kule!!!
hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwii ila mm sijafurahishwa na kitendo cha kuwaondoa machinga hao kwakweli yaani ilikuwa vzr unatoka ofisini unapata kitu mlangoniTutafika sisi tunaotaka kununua vitu bei chee...
Mbona huwa tunatoka Bunju kufuata vitu K'koo au Posta!
Katika hatua yoyote ya maendeleo hapakosekani kundi litakaloumia. Tupo tunaoshangilia njia sita kimara-Kibaha wakati wapo wanaolia kuvunjiwa nyumba na biashara zao.Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
Katika hatua yoyote ya maendeleo hapakosekani kundi litakaloumia. Tupo tunaoshangilia njia sita kimara-Kibaha wakati wapo wanaolia kuvunjiwa nyumba na biashara zao.