Hao ndo zao la mawazo ya MaguKama huwezi kuona JPM anaingiaje wewe ni KIPOFU. The more tuna watu kwenye influential positions internationally the more tunapata fursa za upendeleo in terms of miradi ya kimataifa, ajira za vijana wetu lakini vilevile ne diaspora remittances.
Kama ni la Saba B, huwezi kunielewa