Hao ndo zao la mawazo ya MaguKama huwezi kuona JPM anaingiaje wewe ni KIPOFU. The more tuna watu kwenye influential positions internationally the more tunapata fursa za upendeleo in terms of miradi ya kimataifa, ajira za vijana wetu lakini vilevile ne diaspora remittances.
Kama ni la Saba B, huwezi kunielewa
Ushamba wa kuona vitu vya international ndio vya muhimu hicho ndicho kinachowasumbua,hayo maendeleo mbona hatuyaoni?hizo ajira za vijana ziko wapi?Kama huwezi kuona JPM anaingiaje wewe ni KIPOFU. The more tuna watu kwenye influential positions internationally the more tunapata fursa za upendeleo in terms of miradi ya kimataifa, ajira za vijana wetu lakini vilevile ne diaspora remittances.
Kama ni la Saba B, huwezi kunielewa
ALIKUKOMESHAYaani lile shetani lenu la Chato kamwe hatutolisahau kwa uovu wako.
Tudipolinanga sasa hamchelewi kutuletea shetani jingine
View attachment 3081119 Magufuli alizuia Benard Membe (RIP) asiende kazi ya AU, akamzuia pia na Sirvacus Likwelile (RIP) na Liberata Mulamula kwa kazi za Ukamishna walizopata AU.
Rais Samia siyo tu ame mu-endorse Dr Faustine Ndugulile bali pia amemfanyia Kampeni kushinda nafasi ya Director- WHO Africa.
Magufuli alikuwa na roho mbaya ambayo hata shetani alikuwa anamshangaa
Sawa sawa, wabongo kubebana ngumu sijui kwannWala hakuna la maana angekuwa Mkenya wakenya wangejaa WHO
Wagalatia Watupu 😀😀🌹🌹Pongezi kwa Mtanzania Dr Ndugulile kwa kushinda kwa kishindo na kuwa Mkurugenzi wa WHO Afrika.
Anaungana na Dr Tulia, Rais wa Mabunge Duniani, kuipeperusha bendera ya nchi Kimataifa.
Ndungulile ni medical doctor (md) wewe ni nani ? Umesoma mpaka wapiRIP shujaa Magufuli yatasemwa mengi but atabakia kuwa the best of all.
Hongera sana Dr ndugulile
Watu washaibia Nchi vya kutosha unawapeleka huko kufanya nini ?
Ni kama Kenya kwa Raila sasa hivi AU , mtu hana uadilifu wowote just kujulikana unampeleka huko akafanye nini ?
Mambo ya kubebana kwenye hamna kwa JPM hayakuwa na Nafasi .
Ubinafsi, nakwambia atatoka bila cha maana chochoteSawa sawa, wabongo kubebana ngumu sijui kwann
Ha walikuwa wahunii tuuu na kabla ya hapo walijitengenezea mirija na mfumoView attachment 3081119 Magufuli alizuia Benard Membe (RIP) asiende kazi ya AU, akamzuia pia na Sirvacus Likwelile (RIP) na Liberata Mulamula kwa kazi za Ukamishna walizopata AU.
Rais Samia siyo tu ame mu-endorse Dr Faustine Ndugulile bali pia amemfanyia Kampeni kushinda nafasi ya Director- WHO Africa.
Magufuli alikuwa na roho mbaya ambayo hata shetani alikuwa anamshangaa
Magu alibeba majambazi, ndugu zake na wasukuma.Mambo ya kubebana kwenye hamna kwa JPM hayakuwa na Nafasi .
Sijazuia au sitetei. Vijana lazima ujue kurudia rudia hakujengi ila kunaonesha ulivyo na mihemko. Hakuna mtu ambaye alipendwa na wote au kuchukiwa na wote. Aidha hakuna binadamu ambaye hafanyi makosa, makosa ndiyo ubinadamu. Ila kurudia rudia ni ukosefu wa hoja mujarabUsizuie. Wewe wajibu wako ni kulitetea tu jitu lenu
Ni kweli kabisaUbinafsi, nakwambia atatoka bila cha maana chochote
Ataishia kusifiwa na chawa wenzakeNi kweli kabisa
Hizo nafasi watu wa West na wakenya huwa wanazitumia vzr sana kuongeza connection na network kwa watu waoAtaishia kusifiwa na chawa wenzake
Sisi kama vile CCM imetuloga hakuna la maana tunafanyaHizo nafasi watu wa West na wakenya huwa wanazitumia vzr sana kuongeza connection na network kwa watu wao
Ubinafsi ndio tatizo la bongo kutaka awe yeye pekee yake. Hatuwezi kuwafikia Wakenya, wenzetu wamewekaUbinafsi, nakwambia atatoka bila cha maana chochote
Punguza kujua usiyo yajua.View attachment 3081119 Magufuli alizuia Benard Membe (RIP) asiende kazi ya AU, akamzuia pia na Sirvacus Likwelile (RIP) na Liberata Mulamula kwa kazi za Ukamishna walizopata AU.
Rais Samia siyo tu ame mu-endorse Dr Faustine Ndugulile bali pia amemfanyia Kampeni kushinda nafasi ya Director- WHO Africa.
Magufuli alikuwa na roho mbaya ambayo hata shetani alikuwa anamshangaa