Hongera sana Dr. Rose Muhando

Hongera sana Dr. Rose Muhando

Wanawak...wengi wanapenda Phd za bure!
Zile degree za chup... zipogo au zilikwishaga?
 
🤣.

1. Hicho chuo kipo sehemu gani Marekani?

2. Kukubali kupokea shahada ya heshima [au hata ya kusomea] kutoka vyuo visivyoeleweka, kunaelezea zaidi jinsi wewe ulivyo kuliko hata hiyo diploma mill inayotoa hiyo shahada.

3. Hii GIBU accreditation yake iko wapi?


Wacha kukompliketi mambo wee bwana harusi....😂😂😂😂

Marekani siku hizi kama tandale tuu

Hata Mwijaku na mwenzie Baba Levo wamefika hivyo vyuo vimeanzishwa na wamatumbi waliohamia USA baby...😂😂😂😂😂


View: https://www.instagram.com/reel/DBY4hNHIzuH/?igsh=MWpiNDlxM3Y0Znp2NA==

Jionee hapo birudani ya kwenda Marekani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
View attachment 3134428

Comment ziwe fupi fupi! 😃
Wasomi wa TZ PHD holders na Professors ni mataahira hawana faida wala hawana faida yoyote bora hata Rose Muhando gospels zake zimegusa, zimeliwaza na kuburudisha wengi.
Anastahili hiyo honorary PHD zaidi ya viongozi wa TZ waliojaa dhulma za kuteka,kutesa na kuua watu.
 
Kuimba kote kule anacheza hadi kubinuka, nyimbo zake zilikuwa na vibe sana. Kala sahani moja na shetani muda sana acha atunukiwe.
Mbona wengine wanapewa hatujui hata wamefanya nini?
 
Kuimba kote kule anacheza hadi kubinuka, nyimbo zake zilikuwa na vibe sana. Kala sahani moja na shetani muda sana acha atunukiwe.
Mbona wengine wanapewa hatujui hata wamefanya nini?
 
Mbeeengooooooo Zeeemooofooongoookaaaaaa.......😁😁😁.

Kama JF ni chuo cha maarifa, nimeelimika vya kutosha, Baba Maxence Melo naomba nitunukiwe udakitari wa mjini chuo Kikuu JF tafadhali 😊😋.
Mbeeengooooooo Zeeemooofooongoookaaaaaa.......😁😁😁.
 
Kuimba kote kule anacheza hadi kubinuka, nyimbo zake zilikuwa na vibe sana. Kala sahani moja na shetani muda sana acha atunukiwe.
Mbona wengine wanapewa hatujui hata wamefanya nini?
Ni kweli kabsa 😊
 
Elimu ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine kama aliyepata hiyo elimu anashindwa kujikomboa na kubaki kulialia eti hakuna ajira.

Elimu ni kwa ajili ya ajira pekee? Hujui kabisa maana ya Elimu, You are such a very weak minded human being, hujui hata def ya Elimu
 
Back
Top Bottom