π€£.
1. Hicho chuo kipo sehemu gani Marekani?
2. Kukubali kupokea shahada ya heshima [au hata ya kusomea] kutoka vyuo visivyoeleweka, kunaelezea zaidi jinsi wewe ulivyo kuliko hata hiyo diploma mill inayotoa hiyo shahada.
3. Hii GIBU accreditation yake iko wapi?
Wasomi wa TZ PHD holders na Professors ni mataahira hawana faida wala hawana faida yoyote bora hata Rose Muhando gospels zake zimegusa, zimeliwaza na kuburudisha wengi.
Elimu ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine kama aliyepata hiyo elimu anashindwa kujikomboa na kubaki kulialia eti hakuna ajira.Heshima ya Elimu inashushwa sana
University of Mbagala πWacha kukompliketi mambo wee bwana harusi....ππππ
Marekani siku hizi kama tandale tuu
Hata Mwijaku na mwenzie Baba Levo wamefika hivyo vyuo vimeanzishwa na wamatumbi waliohamia USA baby...πππππ
View: https://www.instagram.com/reel/DBY4hNHIzuH/?igsh=MWpiNDlxM3Y0Znp2NA==
Jionee hapo birudani ya kwenda Marekani π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Mbeeengooooooo Zeeemooofooongoookaaaaaa.......πππ.Mbeeengooooooo Zeeemooofooongoookaaaaaa.......πππ.
Kama JF ni chuo cha maarifa, nimeelimika vya kutosha, Baba Maxence Melo naomba nitunukiwe udakitari wa mjini chuo Kikuu JF tafadhali ππ.
Elimu ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine kama aliyepata hiyo elimu anashindwa kujikomboa na kubaki kulialia eti hakuna ajira.
Wivu tu βΊοΈππ