Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo,

ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10

Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba la kati linatoboka

Jamaa akiwa uwanjani anafukia fukia mashimo yote pale kati... Akitoka tu hesabu maumivu

Na ndio kilichotokea leo kwenye game ya Tanzania vs Zambia
Feisal kumbe na wewe upo humu JF
 
Na kuna muda huwezi ona mchango wake hadi atoke, na kama hujaona mchango wake leo basi jua wewe unashabikia majina ya wachezaji kwenye timu na sio timu

Kajituma sana, sema kuna wabaguzi hawatakuelewa
 
Back
Top Bottom