Hongera sana homeboy kwa kumleta Flora (Mbasha) Henry nyumbani

Status
Not open for further replies.
Za kanisani huvunjwa kwa Uzinzi.
 
Safi sana kaka. Umesema lililo moyoni mwangu. Kijana namfahamu sana na katulia
Anaoa mke wa mtu lakin,
Mme wake ameteseka sana na huyu mwanamke, na isitoshe alikaribia kupotezwa kwa sbb ya huyu huyu mwanamke.
Kuzaa na mke wa mtu ni issue ambayo sio nyepesi, ki imani ni tatizo litakalosumbua katika familia yako kizazi mpaka kizazi.


Mmeshindwa kumshauri kuwa huyo mwanamke hawezi kudumu naye, kuwa anajitafutia laana.

Mungu atupe uzima ili tuweze kujifunza kupitia ndoa hii. Hii ndoa ikifanikiwa, litakuwa funzo kubwa kwa imani zetu, na ikifeli pia Itakuwa shule tosha kwetu sote.
 
USIHUKUMU NA WE USIJE HUKUMIWA HUO MOTO HAUKUHUSU HIYO NI KAZI YA MUNGU MWENYEWE NGO ANAJUA
 
OK kumbe wote wanao omba michago hawana hela? Tuambie ni mwanasiasa yupi unaowafahamu wako vizuri financially hawakuchagiwa. Yes kijana ni mtu wa kijijini kwetu na ni mtu bright kiakili. Pesa inatafutwa na maisha hayana formula

Mwenye Pesa haombi mchango mkuu. Nani kakwambia wabunge wana hela?? Au sio hawa wakipigwa chini wanafulia mbaya?? Mkuu usione mtu anaendesha range ukadhani anahela, aaah wapi, wana hela ya kubadili mboga tu, ila Hawana PESA. Mkuu muonekano wa mtu usikudatishe.
 
Leta maandiko wacha upoyoyo. Nyie watu wa kolomije mna shida sana
Kolomije ndio wanaongoza nchi bado miaka 9 mbele, nimekujibu hivyo japo si muumini wa ukabila na ukanda lkn kwa watu wapuuzi kama wewe muda mwingine ukionyesha ustaarabu unaonekana dhaifu.
 
kama ndoa za mashoga mnaozesha mtashindwa hzo?
 
Hawa Watumishi wakati mwingine shetani anawatumia vibaya sana
Ulitaka aishi single tu brother kwa vile ni mtumishi. Binadamu tumeumbwa kwa aina tofauti, wewe unaweza kuvumilia mwingine asiweze.
 
Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Kwani hapo nani amemuacha mke wake akaoa mwingine?
 
Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Ktk dini ya kikristo haiwezekani mpaka kifo kitakapo watenganisha. Pia kama hapakuwepo (hapakufanyika) na tendo la ndoa kati ya wana ndoa hao.
 
Ktk dini ya kikristo haiwezekani mpaka kifo kitakapo watenganisha. Pia kama hapakuwepo (hapakufanyika) na tendo la ndoa kati ya wana ndoa hao.
hivi mnavoshabikia hizo sheria za kanisa kwani zilitoka mbinguni? Mungu mwenyewe alivompa Musa sheria aliweka ya kuachana hata Yesu mwenyewe aliruhusu kuachana kwa uzinzi. hizo sheria za kanisa hazina mashiko zimewekwa na watu tu.
 
hivi mnavoshabikia hizo sheria za kanisa kwani zilitoka mbinguni? Mungu mwenyewe alivompa Musa sheria aliweka ya kuachana hata Yesu mwenyewe aliruhusu kuachana kwa uzinzi. hizo sheria za kanisa hazina mashiko zimewekwa na watu tu.
Soma biblia vizuri na uielewe.Mnapooana mnakuwa mwili mmoja na watu wawili. Sasa mwili mmoja unatengana vipi?! kilichofungwa hapa duniani na mbinguni kimefungwa pia.
 
Huwa sielewi katika wanawake wooote hawa waliojaa na wanatafuta waume wa kuwaowa hivi mtu hajaona mwanamke wa kuishi naye mpaka uchukuwe mke wa mtu?

Karma is really.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…