Za kanisani huvunjwa kwa Uzinzi.Hii itakuwa ndoa ambayo itafungishwa na mkuu wa wilaya/mkoa au ni yake kimila, ndoa ya kanisani ni mara moja tu ktk maisha ya mkristo. Kwa uelewa wangu,sijui km mke/mme akifariki sheria za dini ya kikristo huwa zinasemaje.
Ngoja wataalamu waje watudadavulie... Anyway, hongereni kwa hatua nzuri mliyofikia maharusi watarajiwa.
Anaoa mke wa mtu lakin,Safi sana kaka. Umesema lililo moyoni mwangu. Kijana namfahamu sana na katulia
USIHUKUMU NA WE USIJE HUKUMIWA HUO MOTO HAUKUHUSU HIYO NI KAZI YA MUNGU MWENYEWE NGO ANAJUAHuna sababu ya kuwapongeza, wape pole maana moto hakika na wao. Hawawezi kuuepuka. Kuwa mkristo siyo jambo la kisipoti sipoti aisee.
Na kama Mbasha Emanuel anahamasisha ndoa badala ya kukemea jambo hili, naye moto ni halali yake.
Anyway, walete ushahidi wa maandiko.
Someni hapa kuhusu ndoa
Malizia na injili, maana wengine huwa hawaamini agano la kale
OK kumbe wote wanao omba michago hawana hela? Tuambie ni mwanasiasa yupi unaowafahamu wako vizuri financially hawakuchagiwa. Yes kijana ni mtu wa kijijini kwetu na ni mtu bright kiakili. Pesa inatafutwa na maisha hayana formula
Kolomije ndio wanaongoza nchi bado miaka 9 mbele, nimekujibu hivyo japo si muumini wa ukabila na ukanda lkn kwa watu wapuuzi kama wewe muda mwingine ukionyesha ustaarabu unaonekana dhaifu.Leta maandiko wacha upoyoyo. Nyie watu wa kolomije mna shida sana
KWA KOSA LA UZINZI TU NA ANAYEMUOA MZINZI AZINIKwa wenye hela inawezekana.
kama ndoa za mashoga mnaozesha mtashindwa hzo?Hii itakuwa ndoa ambayo itafungishwa na mkuu wa wilaya/mkoa au ni yake kimila, ndoa ya kanisani ni mara moja tu ktk maisha ya mkristo. Kwa uelewa wangu,sijui km mke/mme akifariki sheria za dini ya kikristo huwa zinasemaje.
Ngoja wataalamu waje watudadavulie... Anyway, hongereni kwa hatua nzuri mliyofikia maharusi watarajiwa.
KUNA UBAYA GANI?Hawa Watumishi wakati mwingine shetani anawatumia vibaya sana
Ulitaka aishi single tu brother kwa vile ni mtumishi. Binadamu tumeumbwa kwa aina tofauti, wewe unaweza kuvumilia mwingine asiweze.Hawa Watumishi wakati mwingine shetani anawatumia vibaya sana
Maandiko yanasemaje???? Ila yuko sahihi....Ulitaka aishi single tu brother kwa vile ni mtumishi. Binadamu tumeumbwa kwa aina tofauti, wewe unaweza kuvumilia mwingine asiweze.
Kwani hapo nani amemuacha mke wake akaoa mwingine?Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Ktk dini ya kikristo haiwezekani mpaka kifo kitakapo watenganisha. Pia kama hapakuwepo (hapakufanyika) na tendo la ndoa kati ya wana ndoa hao.Hivi taratibu za dini ya kikristo zikoje juu ya hili???..Unaweza kumuacha mke wako wa ndoa na kuoa mwanamke mwingine?
Hakuna kabisa ila hua napata shida tu kuwaelewa, ni hilo tuKUNA UBAYA GANI?
hivi mnavoshabikia hizo sheria za kanisa kwani zilitoka mbinguni? Mungu mwenyewe alivompa Musa sheria aliweka ya kuachana hata Yesu mwenyewe aliruhusu kuachana kwa uzinzi. hizo sheria za kanisa hazina mashiko zimewekwa na watu tu.Ktk dini ya kikristo haiwezekani mpaka kifo kitakapo watenganisha. Pia kama hapakuwepo (hapakufanyika) na tendo la ndoa kati ya wana ndoa hao.
Soma biblia vizuri na uielewe.Mnapooana mnakuwa mwili mmoja na watu wawili. Sasa mwili mmoja unatengana vipi?! kilichofungwa hapa duniani na mbinguni kimefungwa pia.hivi mnavoshabikia hizo sheria za kanisa kwani zilitoka mbinguni? Mungu mwenyewe alivompa Musa sheria aliweka ya kuachana hata Yesu mwenyewe aliruhusu kuachana kwa uzinzi. hizo sheria za kanisa hazina mashiko zimewekwa na watu tu.
Na anachukia sana uzinzi pia.unaweza ila kwa kosa mmoja tu nalo ni uzinzi kama umemkuta mwenzako ila kiukweli Mungu anachukia sana kuachana kwa wanandoa