Hongera sana Jeshi letu imara sana la Polisi

Hongera sana Jeshi letu imara sana la Polisi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.

teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...

ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...

kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..

kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
 
hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.

teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...

ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...

kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..

kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Bila shaka wewe ndo jeshi lenyewe
una nguvu sana, ila weledi hapana
Kutrack simu iliyoibiwa bilabila, mkiikamata mnaimiliki
 
hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.

teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...

ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...

kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..

kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Watawala wanaogopa wananchi wasiamshwe usingizini.
 
hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.

teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...

ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...

kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..

kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Ukipata nafasi na hasa kama lugha ya Kiingereza inapanda Google 'Plato's allegory of the cave' na utakuwa 'enlightened'.
 
Umesahau kumshukuru Mama Samia na kuweka namba yako ya simu.
actually,
ni muhimu kumshukuru pia kwa uwekezaji mkubwa aloyafanya katika jeshi la polisi na kwamba limekua imara zaidi na la kisasa zaidi...

hongera sana Rais na kipenzi cha a waTanzania wote, comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, Amer Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwekezaji mkubwa sana uloufanya kwenye Amani na utulivu wa mama Tanzania kupitia majeshi yetu imara sana Africa na duniani kote 🐒
 
Bila shaka wewe ndo jeshi lenyewe
una nguvu sana, ila weledi hapana
Kutrack simu iliyoibiwa bilabila, mkiikamata mnaimiliki
report uhalifu wa aina yoyote ile wa kimtamdao au vinginevyo, within 24hrs Jeshi imara na la kisasa Tanzania, litakua limeditect, lime track na kutrace na hatimae kubaini location iliko simu yako na muhalifu atakamatwa kama kuku alie nyeshewa mvua mara moja 🐒

ni Muhimu zaidi kutoa ushirikiano wa kutosha 🐒
 
hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.

teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...

ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...

kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..

kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Mbona hujabubujikwa na machozi kama lucas?
 
Back
Top Bottom