min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Saitaa garma😁😁😁aaha kumbe, isije ikawa ni dr slaa
mimi ni wa Baghdad,
Capital City of Iraq gentleman 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saitaa garma😁😁😁aaha kumbe, isije ikawa ni dr slaa
mimi ni wa Baghdad,
Capital City of Iraq gentleman 🐒
Kwanza kuwa 'enlightened' na utakayoyasema nayo yatakuwa 'enlightened'.ntajitahid nikipata wasaa,
hata hivyo mipango na magenge ya kihalifu ni Lazima yadhibitiwe mapema kabla ya kuleta athari mbalimbali ikiwa ni pamoja na uvunjifu wa amani na utulivu, uharibifu, majeraha au maafaa 🐒
Hapo chali aseeeee😁😁ma maana aina ya rajulun nabilun?![]()
Sema nyie mnajua siasa asee😄ma maana aina ya rajulun nabilun?
sory,
i mean what do you mean gentleman...
nikiwa nyumbani uarabuni naitwa Assad, yaani Simba kwa kuswahili,Sema nyie mnajua siasa asee😄

Vipi wale wabakaji waliotumwa na afande wameshapatikana wote?hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.
teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...
ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...
kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..
kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Atakuwa ameshakunywa gongo na amepokea buku Saba za Lumumba.NImusahihishe tu amani yetu ni tabia yetu watanzania tumezidi upole na hatupendi vurugu,unataka kuniambia askari wetu ni welevu kuliko wa south africa au New york kwenye high ranks of crime
ni vizuri kujiepusha na mijadala ya mambo yaliyo kwenye hatua mabilmbali za kisheria na kiuchunguzi,Vipi wale wabakaji waliotumwa na afande wameshapatikana wote?
Au hapo jeshi bado linafanya upelelezi?

Asiruhusiwe mtu yeyote kuharibu amani ya Nchi Kwa Kisingizio Cha Demokrasia.hongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.
teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...
ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...
kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..
kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kwaio DC UMEKUJA UJIPONGEZE MWENYEWE BAADA YA KUZALAULIWA KWA ULICHO KIFANYA ANY WAY POLITICISATION OF ARMY INAFANYIKA IPASAVYOhongera sana Jeshi letu imara sana la polisi. mmefanya kazi nzuri sana iliyotukuka kwa niaba ya wananchi, na waTanzania wote kwa ujumla.
teknologia, intelijensia na weledi mliotumia kuyabaini, kuyashughulikia na kuyadhibiti magenge ya kihalifu yanayo panga na kukusudia kuvuruga amani na utulivu wa waTanzania ni wa kiwango cha juu sana cha kimataifa...
ama kwa hakika, Jeshi letu ni la kisasa sana, katika kazi na majukumu yao ya kulinda amani katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika jiji la mbeya ambako wahalifu walikusudia kujikusanya na kuleta fujo huko...
kazi nzuri na ya mfano mliyoifanya kwa weledi na uadilifu mkubwa sana, inaonekana na kwakweli inafaa kuungwa mkono na kupongezwa na waTanzania wote..
kwa niaba ya waTanzania wote, niseme tu, hongera sana Jeshi letu la polisi. waTanzania wana Imani kubwa nanyi katika jukumu muhimu la kulinda amani na utulivu wa mama Tanzania. Asanteni sana.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
stori na porojo si muhimu sana kwenye suala la ulinzi na usalama wa watu na malazi yao....Kwaio DC UMEKUJA UJIPONGEZE MWENYEWE BAADA YA KUZALAULIWA KWA ULICHO KIFANYA ANY WAY POLITICISATION OF ARMY INAFANYIKA IPASAVYO

magenge ya kihalifu yaliivamia mbeya,
na sasa jeshi imara na la kisasa la polisi nchini, limefanikiwa kuyadhibiti kwa kiasi kikubwa sana na hali ya ulinzi na usalama imeimarishwa mbeya![]()
Leo nyuma ya keyboards, kesho mbele mitaani. Kamwe usipuuze nguvu za social media. Muulize RutoTz wanazaliwa waoga tu kutwa kucha kubweka bweka nyuma ya keyboard tu 🐒
Ruto alifanywa nini, na nani, lini hentleman?Leo nyuma ya keyboards, kesho mbele mitaani. Kamwe usipuuze nguvu za social media. Muulize Ruto
