Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Tukio la Ally Kamwe kuzimia limekuwa tukio la kusisimua sana kutokana na mkasa wenyewe kuwa mzito na kuepushwa matokeo ambayo yangekuwa ya huzuni.
Ally Kamwe alibeba vitu vizito siku ile. Kabla ya match alikuwa akihangaika sana na wazee ambao tunashukuru Ally Kamwe aliamua kujitoa mhanga tofauti na yule dogo Privadinho ambaye aliendekeza ubitozi sana.
Alipoelemewa na kuzimia haraka alikimbizwa hospitali, Mzee "Matata" alikuwa mmoja ya waliomsindikiza Hospital. Walipomchukua kumpeleka chumba cha wagonjwa wa haraka wa dharura. Mzee alisema "Msimchome sindano mwacheni apumzike" akawataka wauguzi watoke.
Ndipo akamtoa mizigo aliyokuwa amebebeshwa na hapo akarudiwa na fahamu na nguvu. Akawa mzima kabisa.
Hii ni pongezi kwake kwa kujitoa mhanga kipindi ambacho pengine wengi wangeingiwa woga. Wanayanga tunapaswa kumheshimu sana Ally Kamwe.
Ally Kamwe alibeba vitu vizito siku ile. Kabla ya match alikuwa akihangaika sana na wazee ambao tunashukuru Ally Kamwe aliamua kujitoa mhanga tofauti na yule dogo Privadinho ambaye aliendekeza ubitozi sana.
Alipoelemewa na kuzimia haraka alikimbizwa hospitali, Mzee "Matata" alikuwa mmoja ya waliomsindikiza Hospital. Walipomchukua kumpeleka chumba cha wagonjwa wa haraka wa dharura. Mzee alisema "Msimchome sindano mwacheni apumzike" akawataka wauguzi watoke.
Ndipo akamtoa mizigo aliyokuwa amebebeshwa na hapo akarudiwa na fahamu na nguvu. Akawa mzima kabisa.
Hii ni pongezi kwake kwa kujitoa mhanga kipindi ambacho pengine wengi wangeingiwa woga. Wanayanga tunapaswa kumheshimu sana Ally Kamwe.