Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Lakini Rais si mfalme na wala si Waziri Mkuu ambae ndie kiongozi wa serikali kikatiba
 
Jambo lingine kalisema katika utangulizi kuonyesha hajikombi wala hana njaa (kama jina lake lilivyotafsiriwa, ingawa majina hayatafsiriwi kwani yeye la kati tukimwita Wanzuki au kangara atafurahi?) Ni pale aliposema waandishi binafsi wapate mialiko ya ziara za nje na wanaweza kujilipia.
Hiyo ni kuonyesha hana njaa na hategemei fadhila.
Hata msosi wao wakimnyima waweza kuta msukuma huyu kwenye mkoba wake kajibebea viazi vyake vya kuchemsha yaani manumbu (joke)
 
Nampongeza sana sana pascal mayala ndiye pekee aliyejua kilochompeleka pale
Wengine naona hawakuwa wamejiandaa kwa chochote.
 
mayala kauliza swali lenye akili sana...
kuna pambaff mmoja aliuliza eti mheshimiwa wakati unapokuwa nje ya ofisi unapendelea nini..?
akajibiwa ulitaka nikupende wewe.., ha ha..
 
Pasco, yule wa BBC, Tido na Bakari wa Mwananchi waliuliza maswali bila uoga.

Ryoba mpaka aibu. Sijui kwa vile anafanya kazi TBC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…