Hivi mkuu BAK, kama DU kashindwa kujibu maswali ya mtu kama Paskal anayeuliza kwa nidhamu na ka woga kidogo ataweza kweli kukabiliana na waandishi makini kama wa CNN au BBC ambao huwa hawana woga wala unafiki kama alivyokuwa anajibishana nao Ben? Naanza kujisikia aibu kabla hajaenda
Ni ccm wote hawajui hilo, hata maprofesa wenye kadi za kijani hawajui kitu...inaelekea jpm haelewi dhana ya separation of powers ya hii mihimili mitatu.
..yes, serikali ndiyo yenye vyanzo vya fedha. Lakini serikali haiwezi kutumia fedha hizo bila bajeti kupitishwa na BUNGE.
..Vilevile bunge linatunga sheria. Lakini mhimili wa MAHAKAMA ndiyo unaotafsiri sheria hizo na kutoa haki kwa wananchi.
..matatizo mengine yanatokea kwa kutokuelewa taratibu za kikatiba na kisheria. Kwa hili tunapaswa kumuombea.
Cc Pasco, Nguruvi3
Swali la Pili la Pascal Mayalla halikujibiwa kabisa. Na swali la kwanza lilijibiwa kihuni huni hivi.Pongezi za dhati kwa Paschal Mayala kauliza swali zuri sana ingawa la pili halijajibiwa inavyotakiwa.
Ndiyo maana Luna msemo wa kama hujui bora unyamaze, huyu jamaa kabla hajawahi kuhojiwa na waandishi wengi tuliamini atakuwa vizuri upstairs ila mpaka hapa tumeishapata jibu kuwa ni mweupe. Halafu hawa wasiyojielewa waona kaweza.Umesema ukweli!!
Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!
Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!
Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Kabisa mkuu. Pamoja na Waandishi wengi wao walikuwa wakiuliza maswali yasiyo na tija na yasiyohitaji kufikiri bado kachemka vibaya. Kwa Upstairs kaprove failure kabisa. Sasa tumejua uwezo wake wa kujibu hoja. Internationally anaweza chemka vibaya, ukiangalia asivyojua lugha yoyote kiufasaha ndiyo shida maana inapunguza kujiamini.Umesema ukweli!!
Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!
Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!
Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Unajua hawa waandishi wa siku nyingi wanakuwa wajanja sana .....hawapendi kuonyesha rangi zao halisi........Mbona huwa anakuwa kilumumba zaidi awapo humu?
Mkuu kumuombea haitasaidia kitu ni sawa na kumuombea mwanao afaulu mtihani wakati unajua ni mtoro wa shule...inaelekea jpm haelewi dhana ya separation of powers ya hii mihimili mitatu.
..yes, serikali ndiyo yenye vyanzo vya fedha. Lakini serikali haiwezi kutumia fedha hizo bila bajeti kupitishwa na BUNGE.
..Vilevile bunge linatunga sheria. Lakini mhimili wa MAHAKAMA ndiyo unaotafsiri sheria hizo na kutoa haki kwa wananchi.
..matatizo mengine yanatokea kwa kutokuelewa taratibu za kikatiba na kisheria. Kwa hili tunapaswa kumuombea.
Cc Pasco, Nguruvi3