Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hiyo ni sababu moja inayofanya aogope kusafiri nchi za nje kwa kujua fika kule hakuna kupewa maswali ulale nayo na kuchagua waandishi awatakao ili kuulizwa maswali uchwara, pia lugha Mkuu inagomba sana.

Hivi mkuu BAK, kama DU kashindwa kujibu maswali ya mtu kama Paskal anayeuliza kwa nidhamu na ka woga kidogo ataweza kweli kukabiliana na waandishi makini kama wa CNN au BBC ambao huwa hawana woga wala unafiki kama alivyokuwa anajibishana nao Ben? Naanza kujisikia aibu kabla hajaenda
 
[HASHTAG]#pasco[/HASHTAG]
Naona umeamua kuinyea kambi. My brother, sahau uteuzi...

Ila hongora
 
..inaelekea jpm haelewi dhana ya separation of powers ya hii mihimili mitatu.

..yes, serikali ndiyo yenye vyanzo vya fedha. Lakini serikali haiwezi kutumia fedha hizo bila bajeti kupitishwa na BUNGE.

..Vilevile bunge linatunga sheria. Lakini mhimili wa MAHAKAMA ndiyo unaotafsiri sheria hizo na kutoa haki kwa wananchi.

..matatizo mengine yanatokea kwa kutokuelewa taratibu za kikatiba na kisheria. Kwa hili tunapaswa kumuombea.

Cc Pasco, Nguruvi3
Ni ccm wote hawajui hilo, hata maprofesa wenye kadi za kijani hawajui kitu.
 
Kwa kweli Pascal Mayalla kauliza swali zuri
Nampongeza
Ndio umuhimu wa shule
Tatizo waandishi wetu wengi
Hawana shule
 
Big up bro nimeridhika sana na swali lako lakini mh ametuanghusha sana akutoa jibu
 
Nisipo mpongeza pasco nitakuwa na roho mbaya.
Big up sana pasco, umeuliza swali zuri sana
 
Pongezi za dhati kwa Paschal Mayala kauliza swali zuri sana ingawa la pili halijajibiwa inavyotakiwa.
 
Magufuli alitoa majibu mazuri kwa pasco!
 
Pongezi za dhati kwa Paschal Mayala kauliza swali zuri sana ingawa la pili halijajibiwa inavyotakiwa.
Swali la Pili la Pascal Mayalla halikujibiwa kabisa. Na swali la kwanza lilijibiwa kihuni huni hivi.
 
Umesema ukweli!!

Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!

Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!

Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Ndiyo maana Luna msemo wa kama hujui bora unyamaze, huyu jamaa kabla hajawahi kuhojiwa na waandishi wengi tuliamini atakuwa vizuri upstairs ila mpaka hapa tumeishapata jibu kuwa ni mweupe. Halafu hawa wasiyojielewa waona kaweza.
Kwa waandishi wa Kimataifa hawezi kabisa, ukizingatia hata lugha yenyewe Kiswahili nacho kina Walakini. Sijui lugha gani yupo vizuri sasa, labda kisukuma.
Umesema ukweli!!

Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!

Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!

Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Kabisa mkuu. Pamoja na Waandishi wengi wao walikuwa wakiuliza maswali yasiyo na tija na yasiyohitaji kufikiri bado kachemka vibaya. Kwa Upstairs kaprove failure kabisa. Sasa tumejua uwezo wake wa kujibu hoja. Internationally anaweza chemka vibaya, ukiangalia asivyojua lugha yoyote kiufasaha ndiyo shida maana inapunguza kujiamini.
 
Hongera kaka mayala kwa kuuliza swalu muhimu na la msingi kuliko waandishi wote waliokuwa kwenye press ya Leo

Japo swali lako limemshinda kulijibu ila ujumbe umefika. Waandishi wengine ondoeni uoga na unafiki uliza maswali ya Msingi.
 
..inaelekea jpm haelewi dhana ya separation of powers ya hii mihimili mitatu.

..yes, serikali ndiyo yenye vyanzo vya fedha. Lakini serikali haiwezi kutumia fedha hizo bila bajeti kupitishwa na BUNGE.

..Vilevile bunge linatunga sheria. Lakini mhimili wa MAHAKAMA ndiyo unaotafsiri sheria hizo na kutoa haki kwa wananchi.

..matatizo mengine yanatokea kwa kutokuelewa taratibu za kikatiba na kisheria. Kwa hili tunapaswa kumuombea.

Cc Pasco, Nguruvi3
Mkuu kumuombea haitasaidia kitu ni sawa na kumuombea mwanao afaulu mtihani wakati unajua ni mtoro wa shule.
Tusisitize kuwa mkuu apewe Semina elekezi hata kwa muda wa miezi mitatu ili ajue nini wajibu wake, mipaka na ukomo wa madaraka yake na ile katiba hakuiapa kama kasuku bali kuitekekeza pia ajue yapo mamlaka ya kumuondoa kama haiheshimu.
Inavyoonyesha yeye anajua kuwa kwa cheo kile pale ndio mwisho, hakuna wa kumgusa ingawa hiyo inasababishwa na waliomzunguka kutetemeka wamuonapo.
Lazima ajue wanatetemeka kwa vile wengi ni wachafu
 
Back
Top Bottom