Mh. Rais kajibu vizuri sana swali la Pasco ile asijue sheria hawezi kufahamu kwamba swali limejibiwa. Mh Rais alianza kujibu swali kwa kuuliza swali, mfumo amvao hutumiwa na wanafalsa kuwafanya waliouliza maswali kupata majibu yao kwa kujibu swali walilouliza.
Mh Rais alimuuliza mbona hukuuliza kwa nini nilikwenda kuhutubia bungeni??
Kama yuko smarti bila shaka atapata jibu kupitia ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ambapo inasomeka hivi[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Ibara ya 62.
Ibara ndogo ya (1),
Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge.
Ibara ndogo ya (2),
Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge.
Ibara ndogo ya (3),
Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.
Katiba ya Tanzania - Android Apps on Google Play
Ngoja nimtete kidogo. Kwenye utangulizi kasema waandishi binafsi wahusishwe kwenye ziara za nje na wanaweza kujigharamia wenyewe. Mbembeleza Udc au U DED hawezi kuwa na courage hiyo maana hata kwenda Simiyu kwenye Mwenge anataka apate mshiko. Ameonyesha kuwa sio watu wote wana njaa kama Mtela Mwampamba au Makonda.Huyu huyu Pasco ninaemchukia kumbe wakati mwingine anaakili....Hongera Pasco ila ninaswali bado utapewa udc kweli au uded maana umempiga Mkuu Wa kaya chini ya belt
Mkuu tafadhali achana nalo hilo mafala bado mengi nchi hii.Mie naongelea alichojibu wewe unaniletea Katiba inavyosema, seriously? Haya uliyocopy hapa ndio alichojibu mheshimiwa?
Huyu mwana jf mwenzetu pascko mayala hajasomea tsj viwango vyake vimenitisha duhhh hakika mayala umetutoa kimasomaso jf tukuombee upige mzigo mbele huko hapa si saizi yako utachanganywa si unaona ulivyo changanywa na hukujibiwa ukachanganywa fasta na akina TD na RB pole
Dah aisee i have fallen in love with youDah aisee i have fallen inlove with Paskali mayalla!!!
pale siasa imetumika kulijibu lile swali eh! duhLile la Mayala la pili ambalo hakulijibu
Kama kawaida yenu, hamuishi kuropoka!Umesema ukweli!!
Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!
Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!
Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
hapo sasa!kupanda madaraja na nyongeza mbona umekiuka katiba?
hivi sijui kwanini asingemjibu KUBANA MATUMIZI!Ukiiangalia Nchi ilivyo haiitaji hata maswali labda labda ingekua kwa Rais mgeni alietoka Nje huyu tunae hapa kila siku Vumbi analiona angetoa maelezo tuu maana hata hayo maswali hajajibu wa TBC kaishia kuuliza unapendelea nini mkuu..
Laiti Kama Wewe Na Lema Mngekuwa Ndo mungu ? Sipati PichaMagufuli must go to hell and suffer the agonies therein...yan yeye anaamini kwa kuwa ana mamlaka ya kukusanya kodi basi hilo linamfanya kuwa juu ya katiba ya nchi na kuwa juu ya mihimili mingine ya dola, hii ni gharama kubwa sana kwa nchi kuwa na kiongozi wa namna hii, Mungu aturehemu!
Hivi kumbe aliwapa wahariri maswali walale nayo? Man, you're something else nakuambia!!Hiyo ni sababu moja inayofanya aogope kusafiri nchi za nje kwa kujua fika kule hakuna kupewa maswali ulale nayo na kuchagua waandishi awatakao ili kuulizwa maswali uchwara, pia lugha Mkuu inagomba sana.
Suala si ukubwa kila chombo kina madaraka yake na mipaka yake ndio msingi wa swaliBado huamini kwamba Rais anapokuwa mkuu wa dola ni mkubwa kuliko wengine? Nadhani tunahitaji elimu kujua tofauti ya Head of Government na Head of State. Kwa hiyo unataka kumlinganisha Rais na Jaji Mkuu? Hawalingani mzeee
Pasco kuwa Muungwana Mkuu kwa kuja na ku Acknowledge na kutoa Shukran kwetu wana JF
Ona sasa Mjadala Mzima kule wa Mkutano wa JPM ume Cease watu tuko Busy kwenye huu uzi kuona Jinsi ulivyoleta Faraja leo