Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Magufuli must go to hell and suffer the agonies therein...yan yeye anaamini kwa kuwa ana mamlaka ya kukusanya kodi basi hilo linamfanya kuwa juu ya katiba ya nchi na kuwa juu ya mihimili mingine ya dola, hii ni gharama kubwa sana kwa nchi kuwa na kiongozi wa namna hii, Mungu aturehemu!
 
Huyu mwana jf mwenzetu pascko mayala hajasomea tsj viwango vyake vimenitisha duhhh hakika mayala umetutoa kimasomaso jf tukuombee upige mzigo mbele huko hapa si saizi yako utachanganywa si unaona ulivyo changanywa na hukujibiwa ukachanganywa fasta na akina TD na RB pole
 
Mh. Rais kajibu vizuri sana swali la Pasco ile asijue sheria hawezi kufahamu kwamba swali limejibiwa. Mh Rais alianza kujibu swali kwa kuuliza swali, mfumo amvao hutumiwa na wanafalsa kuwafanya waliouliza maswali kupata majibu yao kwa kujibu swali walilouliza.
Mh Rais alimuuliza mbona hukuuliza kwa nini nilikwenda kuhutubia bungeni??
Kama yuko smarti bila shaka atapata jibu kupitia ibara ya 62 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ambapo inasomeka hivi[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

Ibara ya 62.

Ibara ndogo ya (1),
Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano ambalo litakuwa na sehemu mbili, yaani Rais na Wabunge.

Ibara ndogo ya (2),
Bunge litakuwa na wajumbe wa aina zote zilizotajwa katika ibara ya 66 ya Katiba hii ambao wote wataitwa Wabunge.

Ibara ndogo ya (3),
Iwapo jambo lolote lahitaji kuamuliwa au kutekelezwa na sehemu zote mbili za Bunge kwa mujibu wa masharti ya Katika hii au masharti ya sheria nyingine yoyote, basi jambo hilo halitahesabiwa kuwa limeamuliwa au limetekelezwa ipasavyo ila mpaka liwe limeamuliwa au limetekelezwa na Wabunge na vile vile na Rais, kwa mujibu wa madaraka yao kuhusu jambo hilo.

Katiba ya Tanzania - Android Apps on Google Play

Mie naongelea alichojibu wewe unaniletea Katiba inavyosema, seriously? Haya uliyocopy hapa ndio alichojibu mheshimiwa?
 
Tunamshukuru Gwiji La Siasa Mbowe Kwa Kutengeneza Nyumbu Waaminifu
 
Hyu ndie mwanaume niliemwona mle ndani Kati ya washiriki woooote... Big up Pascal you played yo part well.
 
Huyu huyu Pasco ninaemchukia kumbe wakati mwingine anaakili....Hongera Pasco ila ninaswali bado utapewa udc kweli au uded maana umempiga Mkuu Wa kaya chini ya belt
Ngoja nimtete kidogo. Kwenye utangulizi kasema waandishi binafsi wahusishwe kwenye ziara za nje na wanaweza kujigharamia wenyewe. Mbembeleza Udc au U DED hawezi kuwa na courage hiyo maana hata kwenda Simiyu kwenye Mwenge anataka apate mshiko. Ameonyesha kuwa sio watu wote wana njaa kama Mtela Mwampamba au Makonda.
 
Maswali na majibu leo kwa magufuli


Mayalla amemuuliza Rais amepata wapi mamlaka ya kuingilia mhimili wa bunge wakati kuna separation of power kati ya mihimili mitatu ya dola? Pia akauliza Rais amepata wapi mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa wakati Katiba inaruhusu mikutano hiyo? Je Rais haoni kama anavunja katiba aliyoapa mwenyewe kuitetea?

Bahati mbaya maswali hayo hayakupata majibu stahiki. Rais ameanza kueleza habari za upatikanaji wa fedha katika mihimili ya dola. Kwa kifupi Rais ameacha maswali aliyoulizwa akajitungia maswali yake mengine na kujijibu.

Hapa kazi tu....
 
Huyu mwana jf mwenzetu pascko mayala hajasomea tsj viwango vyake vimenitisha duhhh hakika mayala umetutoa kimasomaso jf tukuombee upige mzigo mbele huko hapa si saizi yako utachanganywa si unaona ulivyo changanywa na hukujibiwa ukachanganywa fasta na akina TD na RB pole

Pascal Mayala pia ni mwanasheria. Amefanya degree ya LLB pale UDSM
 
swali la mayalla ni gumu mnoo. kama alilowahi kuuliza kibonde kwa jakaya
 
Kuna kusoma hupate kazi na kunakusoma ufanye kaI pasco. Anafanya kazi sio apate kazi kwa maana hiyo ni mtaalam wa Habari

Nipo hapa. Toronto mitaa ya west mitaa ya jane and finch watu wanampongeza Pasco
 
Umesema ukweli!!

Hivi kweli kwa majibu hayo anaweza kumudu vyombo vya habari vya kimataifa? Naimagine Magufuli against Christine Amanpour ... hata kama atajibu kwa Kiswahili bado kijasho chembamba kitamtoka!!

Kwa ukweli maswali hayajajibiwa sawsawa zaidi ya mipasho, kejeri na vichekesho!!

Anyway, anatamba uwanja wa nyumbani ..... ajaribu ugenini tuone!! Hivi Kenya, waandishi walipewa muda kumuuliza maswali!!?
Kama kawaida yenu, hamuishi kuropoka!
 
Ukiiangalia Nchi ilivyo haiitaji hata maswali labda labda ingekua kwa Rais mgeni alietoka Nje huyu tunae hapa kila siku Vumbi analiona angetoa maelezo tuu maana hata hayo maswali hajajibu wa TBC kaishia kuuliza unapendelea nini mkuu..
hivi sijui kwanini asingemjibu KUBANA MATUMIZI!
 
Magufuli must go to hell and suffer the agonies therein...yan yeye anaamini kwa kuwa ana mamlaka ya kukusanya kodi basi hilo linamfanya kuwa juu ya katiba ya nchi na kuwa juu ya mihimili mingine ya dola, hii ni gharama kubwa sana kwa nchi kuwa na kiongozi wa namna hii, Mungu aturehemu!
Laiti Kama Wewe Na Lema Mngekuwa Ndo mungu ? Sipati Picha
 
Hiyo ni sababu moja inayofanya aogope kusafiri nchi za nje kwa kujua fika kule hakuna kupewa maswali ulale nayo na kuchagua waandishi awatakao ili kuulizwa maswali uchwara, pia lugha Mkuu inagomba sana.
Hivi kumbe aliwapa wahariri maswali walale nayo? Man, you're something else nakuambia!!
 
Bado huamini kwamba Rais anapokuwa mkuu wa dola ni mkubwa kuliko wengine? Nadhani tunahitaji elimu kujua tofauti ya Head of Government na Head of State. Kwa hiyo unataka kumlinganisha Rais na Jaji Mkuu? Hawalingani mzeee
Suala si ukubwa kila chombo kina madaraka yake na mipaka yake ndio msingi wa swali
 
Pasco kuwa Muungwana Mkuu kwa kuja na ku Acknowledge na kutoa Shukran kwetu wana JF
Ona sasa Mjadala Mzima kule wa Mkutano wa JPM ume Cease watu tuko Busy kwenye huu uzi kuona Jinsi ulivyoleta Faraja leo
 
Back
Top Bottom