Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Pasco kanifuraisha kwa swali lake la msingi na muhimu kwa siku ya Leo. Waandishi wengine wameuliza maswali mepesi mepesi tu, pia kuipasha JF wengi hupita JF na kuitokui acknowledge.
Sasa naweza nikaamini ule uzi wa jana kwamba kuna waandishi walipewa maswali ya kuuliza. Haiwezekani waandishi wote wale swali la msingi na lenye akili litoke kwa Pasco Mayalla peke yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…