Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu Nyerere alikuwa na utani sana lakini alikuwa anaingizi utani baada ya kutoa hoja iliyoshiba,huyu anaanza na utani ili kuchekesha hadhira utafikiri braza k wa futuhi.Safiiiiihhh!!! SafiiiiiHHH sanaaaHHHHH!!!!
Maana ya Mayala ni "njaa" kwa kisukuma,amesema Magufuli
Acha wivu wa kike.Baniani mbaya lakini apewe upatu wake.Mna exaggerate....
Mwili ulishajifia ganzi na siasa za Tanzania sina tena mwamko kama niliokuwa nao awali wa kuangalia na kufuatilia sijui kwa nini.laking Raisi kalikwepa kujibu swala la uhuru wa vyama vya siasa.. sijui ni kwa makusudi!!!!
Mungu anakuonaMayala alianza hotuba,kujifagilia na kutangaza kampuni yake na kujipigia debe la kutafuta fursa ikulu .Sehemu kubwa ya aliyonngea yalikuwa hasa ya kujinadi mnadani yeye binafsi.Kwangu naona kama aligeuza Ikulu na ile press conference kama gulio la kujinadi zaidi kuliko kuuliza swali.
Moderator kazenguwa aiseeeKauliza vema ila swali la pili halijajibiwa.Moderator ameingilia!!!
Kweli jamaa kauliza swali moto mnoo afu raisi majibu yake teh siri yangu sijaridhishwa nayo