Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganya mkuu.. akiwemo ndo linaitwa national assembly au legislature,asipokuwepo ndo linaitwa parliament..Na wakati huo huo ni mjumbe wa Bunge - Rais akiingia bungeni linaitwa parliament, akiwa hayumo linaitwa national assembly!
Mkuu, muuliza swali siyo Pasco, aliyeuliza swali na ambaye anasifiwa hapa ni Pascal Mayalla, na siyo Pasco. Pascal na Pasco ni watu wawili tofauti, japo wote wapo JFYaaap Bro Pasco nakupa hongera! Waandishi wote nilitegeamea wangemuuliza maswali ya msingi,hofu yangu kutokana na maswali yako mapesi unaeza usipewe mwaliko kaka! Usikate tamaa komaa tu
Moderator alivamiàlaking Raisi kalikwepa kujibu swala la uhuru wa vyama vya siasa.. sijui ni kwa makusudi!!!!
Siyo Pasco, ni Pascal MayallaHuyu huyu Pasco ninaemchukia kumbe wakati mwingine anaakili....Hongera Pasco ila ninaswali bado utapewa udc kweli au uded maana umempiga Mkuu Wa kaya chini ya belt
Daaah typing error mayala kibokoMalaya kiboko
ahahaaaMalaya kiboko