Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
lile swali lilikuwa very clever na mkubwa wa kazi akaishia kutoa spins tu kwa majibu aliyoandikiwa kutoka lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaambiwa sio wa jf, huyu wetu ni nguchiro tu, hana uwezo wa kuuliza yale maswali, yeye ni mropokaji tu humu anaeitumikia lumumbahongera pasco hakika hujatuangusha wanafamilia ya jf
haaaaaHao wote wakina lumumba fc buku 7 njaa kali huwezi kuwaona ktk UZI huu.....
OVA
1.Kuwa head of state maana yake ni kuingilia mihimili mingine? 2. Unakubaliana na kinachofanyika kwa kuwa kinafanywa na head of state?Nimemsikia Pasco Mayalla akiuliza swali kwamba Rais amepata wapi mamlaka ya kuwaambia Wabunge (legislature) na Mahakama (Judiciary) waombe ruhusa kwake watakapo kusafiri?
Hoja ya Pasco ni kwamba kuna separation of powers yaani Executive, Judiciary na Legislature ambazo zinatakiwa zifanye kazi bila kuingiliana. Hilo ni sawa ila Pasco kweli hafahamu kwamba Rais wa Jamhuri ni mkuu wa dola na chini ya dola ndio unapata executive arm, judiciary arm na legisleture?
Hajui kwamba Rais wa Jamhuri ni Head of Government na wakati huohuo ni Head of the State?
We ndo hujui tulia na kua mpole.au Mgeni hapa Jf??Siyo Pasco, ni Pascal Mayalla
[emoji3] [emoji3] [emoji85]Kamuuliza kuwa kapata wapi mamlaka ya kuzuia safari za watumishi nje wakati kuna mihimili mitatu na yote inajiongoza yenyewe?
Pia kwanini mikusanyiko ya kisiasa inatambulika na katiba lakini yeye kaizuia wakati aliapa kutumikia nchi kwa mujibu wa katiba?
Kama wangekuwepo hata watano tuu wenye mwelekeo wa Pasco hakika angependa hayo masaa mawili yaishe aondoke, [COLOR=blue/]akini kwa vile waliokuwepo wengi ni makanjanja basi kawaambia waulize mpaka wachoke wenyewe[/COLOR].
Wale nge.ke wote wa humu buku7 fc kimyaaaa hawajapewa mwaliko wa kwenda ikulu wao wataishia kupiga domo tuhaaaaa
daaa nikajua ndio yule aaaaarrrrghMkuu unaambiwa sio wa jf, huyu wetu ni nguchiro tu, hana uwezo wa kuuliza yale maswali, yeye ni mropokaji tu humu anaeitumikia lumumba
And wastage of money kama vibahasha vya kaki vilikuwepoile press conference cjaona maana yake yani waandishi asilimia 99% wameuliza maswal mepesi na maswal magum yaliyoulizwa kama yale ya jamaa wa BBC na Pasco yamejibiwa kiujanjaujanja tu, mtu anatoa majibu ambayo yako out of the question, that conference was meaningless and a wastage of time.