Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.

View attachment 429403

Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.

Mkuu Chakaza, kwanza asante kwa kunianzishia uzi, kwa vile sasa tunakwenda kwenye utangamano wa nchi za Afrika Mashariki, mwanzo zilikuwa 3, Tanzania Kenya na Uganda, baadaye zikaongezeka mbili, Rwanda na Burundi, zikawa 5!, baadaye Sudani ya Kusini ikaingia, zikawa 6!. Juzi kati, DRC imeingizwa!. Ethiopia, Somalia na Eritrea zimeomba!. Hivyo sasa kunahitajika watu wenye maswali crical ya kihivi kwenda kuitetea nchi yetu na sio kuendelea kupeleke mabubu mule!. Bunge lile sio Bunge la kisiasa la kupiga blah blah, ni Bunge linalohitaji watu makini wa sample za maswali haya!.
Nina jambo langu, wale wenye mapenzi mema na nchi yangu, naomba mniunge mkono!.
P.
 
Mkuu Chakaza, kwanza asante kwa kunianzishia uzi, kwa vile sasa tunakwenda kwenye utangamano wa nchi za Afrika Mashariki, mwanzo zilikuwa 3, Tanzania Kenya na Uganda, baadaye zikaongezeka mbili, Rwanda na Burundi, zikawa 5!, baadaye Sudani ya Kusini ikaingia, zikawa 6!. Juzi kati, DRC imeingizwa!. Ethiopia, Somalia na Eritrea zimeomba!. Hivyo sasa kunahitajika watu wenye maswali crical ya kihivi kwenda kuitetea nchi yetu na sio kuendelea kupeleke mabubu mule!. Bunge lile sio Bunge la kisiasa la kupiga blah blah, ni Bunge linalohitaji watu makini wa sample za maswali haya!.
Nina jambo langu, wale wenye mapenzi mema na nchi yangu, naomba mniunge mkono!.
P.
Asante na umenikumbusha mbali sana wakati ule JF nayo ikiwa tishio na imesheheni vichwa kiasi kwamba viongozi wakuu wa serikali kuanzia mawaziri (kama sio top mwenyewe) na kushuka chini muda wa usiku walikuwa wanautumia kusoma JF ili kujifunza mapya na hata kuelewa nini kinaendelea nchini na duniani pote.
Ni tofauti sana na JF ya sasa iliyoingiliwa baada ya Nape kuanzisha kitengo cha BUKU7.
Kuhusu adhma yako, uwezo unao kabisa ila hapa kati Kawe mission ilikuharibu kabisa na kukutoa kwenye reli. Ila waweza kurudi na kuwa Pasco tena kama utaamua
 
Asante na umenikumbusha mbali sana wakati ule JF nayo ikiwa tishio na imesheheni vichwa
Asante for appreciation, kwani hivyo vichwa vilivyosheheni wakati huo sasa havipo?. Kama jf ilikuwa tishio sasa sio tishio?. What happened to jf now and then?.
kiasi kwamba viongozi wakuu wa serikali kuanzia mawaziri (kama sio top mwenyewe) na kushuka chini muda wa usiku walikuwa wanautumia kusoma JF ili kujifunza mapya na hata kuelewa nini kinaendelea nchini na duniani pote.
Kwani sasa hili halifanyiki?
Ni tofauti sana na JF ya sasa iliyoingiliwa baada ya Nape kuanzisha kitengo cha BUKU7.
I don't believe in this!.
Kuhusu adhma yako, uwezo unao kabisa
Mkuu Chakaza, asante sana kwa taarifa hii. Hili ndio kubwa kuliko yote!. Kwa sasa nimetangaza tuu nia, bila kutaja hilo jambo langu. Nawaomba mniunge mkono katika hatua hii ya kutangaza nia ni hatua ya kwanza. Hili likikamilika nitatangaza dhima with a mission nataka kwenda kufanya nini.
ila hapa kati Kawe mission ilikuharibu kabisa na kukutoa kwenye reli.
Naomba hili tusilizungumzie ila that was my stepping stone kutumbukiza mguu kupima kina cha maji, baada ya kukijua sasa ndio naingia mazima. Naomba mniunge mkono just by positivism ili kwa kuitumia a collective bargaining power of jf, niwezeshwe niweze!.
Ila waweza kurudi na kuwa Pasco tena kama utaamua
Thanks for this, nimeamua!.
P
 
Asante for appreciation, kwani hivyo vichwa vilivyosheheni wakati huo sasa havipo?. Kama jf ilikuwa tishio sasa sio tishio?. What happened to jf now and then?.

Kwani sasa hili halifanyiki?

I don't believe in this!.

Mkuu Chakaza, asante sana kwa taarifa hii. Hili ndio kubwa kuliko yote!. Kwa sasa nimetangaza tuu nia, bila kutaja hilo jambo langu. Nawaomba mniunge mkono katika hatua hii ya kutangaza nia ni hatua ya kwanza. Hili likikamilika nitatangaza dhima with a mission nataka kwenda kufanya nini.

Naomba hili tusilizungumzie ila that was my stepping stone kutumbukiza mguu kupima kina cha maji, baada ya kukijua sasa ndio naingia mazima. Naomba mniunge mkono just by positivism ili kwa kuitumia a collective bargaining power of jf, niwezeshwe niweze!.

Thanks for this, nimeamua!.
P
Nimefurahishwa na style hii ya kujibu hoja. Na namna ulivyojibu baadhi kwa mfumo wa maswali. Sitakujibu kwa sasa hadi na wengine tuone wanasemaje maana mjadala huu ulifanyika wengi wakiwa wamelala au wakishughulika kutimiza wajibu wa kuijaza dunia.
Vichwa sio kwamba havipo, vipo bali wamegeuka kuwa wasomaji maana wanaogopa kuingia mijadala iliyojaa upuuzi wa makusudi
 
Nimerudia tena kusikiliza hiyo clip, Yes!.
Paschal, uliuliza swali zuri sana kwa kipindi kile, hataivyo majibu yalikuwa mazuri pia.
Kwenye swala la matumizi Magu alikuwa sahihi kuweka udhibiti.
 
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi
Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Mkuu Chakaza, kwanza asante kwa kunianzishia thread, tunataka maswali ya type hii, tuyapeleke Bunge la Africa Mashariki, hivyo nakuomba uungane na mimi katika jambo langu hili Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
Paskali
 
Asante na umenikumbusha mbali sana wakati ule JF nayo ikiwa tishio na imesheheni vichwa kiasi kwamba viongozi wakuu wa serikali kuanzia mawaziri (kama sio top mwenyewe) na kushuka chini muda wa usiku walikuwa wanautumia kusoma JF ili kujifunza mapya na hata kuelewa nini kinaendelea nchini na duniani pote.
Ni tofauti sana na JF ya sasa iliyoingiliwa baada ya Nape kuanzisha kitengo cha BUKU7.
Kuhusu adhma yako, uwezo unao kabisa ila hapa kati Kawe mission ilikuharibu kabisa na kukutoa kwenye reli. Ila waweza kurudi na kuwa Pasco tena kama utaamua
Kweli I miss kike kipindi, kilikuwa Cha dhahabu.
 
Ukiwa mbunge wa EA ni sahihi kabisa. Anayekunyima ajiite mjingq
Mkuu Chakaza, kwenye chama changu wamejitikeza wanachama 186 kuwania nafasi 6 za chama changu kwa viti hivyo, inawezekana kabisa kati ya hao, wakapatikana watu zaidi ya 30 wenye sifa na vigezo Bora kuliko mimi, hivyo nikakatwa, usiwatukane bure watakaoninyima kuwa ni wajinga!. Heshima kitu cha bure.
P
 
Mkuu Chakaza, kwenye chama changu wamejitikeza wanachama 186 kuwania nafasi 6 za chama changu kwa viti hivyo, inawezekana kabisa kati ya hao, wakapatikana watu zaidi ya 30 wenye sifa na vigezo Bora kuliko mimi, hivyo nikakatwa, usiwatukane bure watakaoninyima kuwa ni wajinga!. Heshima kitu cha bure.
P
Pasco kumuita mtu mjinga sio tusi (Nyerere alilitumia sana) bali ni hali ambayo mtu anakuwa nayo, na anaweza kuiacha akiamuq kujifunza.
Ngoja nije nipate majina yatakayo pitishwa nirudi nikudhibitishie kauli yangu.
Pascal Mayalla
 
Pasco kumuita mtu mjinga sio tusi (Nyerere alilitumia sana) bali ni hali ambayo mtu anakuwa nayo, na anaweza kuiacha akiamuq kujifunza.
Ngoja nije nipate majina yatakayo pitishwa nirudi nikudhibitishie kauli yangu.
Pascal Mayalla
Mkuu Chakaza, sijasema umemtusi, nimesema usitukane watu wajinga, kumuita mtu mjinga ni kumtukana ila sio tusi!. Tukiweza kuchangia bila kutukana tunajenga jf bora zaidi.

Ni kweli Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alitumia sana neno mjinga, wajinga, Mwinyi hakuwahi kutukana yeyote. Mkapa aliita watu Wapumbavu!. JK hakutukana, JPM ...
 
Mkuu Chakaza, sijasema umemtusi, nimesema usitukane watu wajinga, kumuita mtu mjinga ni kumtukana ila sio tusi!. Tukiweza kuchangia bila kutukana tunajenga jf bora zaidi.

Ni kweli Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alitumia sana neno mjinga, wajinga, Mwinyi hakuwahi kutukana yeyote. Mkapa aliita watu Wapumbavu!. JK hakutukana, JPM ...
Sawa mkuu Pasco sitaita tena wajinga hao watu wafanyao ujinga. Nitasema wanaupiga mwingi.
 
Sawa mkuu Pasco sitaita tena wajinga hao watu wafanyao ujinga. Nitasema wanaupiga mwingi.
Hata hapa bado umetukana, by kitu kinachoitwa innuendo!. Kuupiga mwingi, ni neno linalotumiwa kumuelezea mtu mmoja tuu, a very special person, hivyo kuupiga mwingi unamaanisha ni ujinga, then ni sawa na kumtukana anayeupiga mwingi kuwa ni...
P
 
Hata hapa bado umetukana, by kitu kinachoitwa innuendo!. Kuupiga mwingi, ni neno linalotumiwa kumuelezea mtu mmoja tuu, a very special person, hivyo kuupiga mwingi unamaanisha ni ujinga, then ni sawa na kumtukana anayeupiga mwingi kuwa ni...
P
Mkuu unataka kulamba Asali!
 
Hata hapa bado umetukana, by kitu kinachoitwa innuendo!. Kuupiga mwingi, ni neno linalotumiwa kumuelezea mtu mmoja tuu, a very special person, hivyo kuupiga mwingi unamaanisha ni ujinga, then ni sawa na kumtukana anayeupiga mwingi kuwa ni...
P
Alaaa kumbe! Kuupiga mwingi ni kwa special person na special reason? Hii nimeipenda 🤣🤣 itungiwe kanuni.
 
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi
Mkuu Chakaza, naomba mniunge mkono, watu wenye maswali ya type hii, ndio wapewe fursa kwenda kuwapigania Watanzania kwenye regional bodies na international arena, naomba endorsement yako kwenye jambo langu hili Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
P
 
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji.

Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.

Mayalla unaonekana kuwa na "connection" huko CCM lakini nashangaa kwanini bado hawakutambui, au ni lile swali lako kwa yule jamaa ndio lilitia doa lisilofutika? don't know!.
Mkuu denooJ, kwanza asante kukumbushia hili swali, kiukweli kabisa, zaidi ya uandishi wa habari, nimeongea face to face with Nyerere, Mkapa, JK, JPM na Samia, pia nawafahamu kwa karibu top brass wote wa CCM kuanzia M/Kiti, KM, N/KM, Mwiny, Mwenezi, wale viongozi wa UV CCM, UWT na Wazazi, kila nikiomba kugombea, nakatwa kwasababu kunakuwa na watu wengi zaidi, wazuri zaidi yangu, hivyo huwa nakatwa kihalali kabisa!.

Lakini kama hili swali kuna yoyote anayeliona ni doa!, huyo ni mtu goigoi!. Swali hili ni very valid!, viongozi wetu tunawachagua kwa mujibu wa katiba na kuwaapisha kuilinda katiba, haiwezekani mtu aliyeapa kuilinda katiba, halafu aje aikanyage katiba!. Nilichouliza ni alitumia mamlaka gani?.

Kwa vile hakuna anayefahamu ni kwa nini JPM alitwaliwa mapema, ikitokea hii ni moja ya hizo sababu, tuna wajibu wa kumsaidia Mama kwa kumuelimisha kitu kinachoitwa karma, kwa msisitiza afanye the right thing before it's too late!, aruhusu tuu mikutano ya vyama vya siasa ASAP, vinginevyo....

Kwanza mimi ni miongoni mwa watu wanaomuunga mkono Mama kwa 2025 Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila sasa kuna vitu akina sisi tumeisha anza kuelezwa kuhusu hiyo 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Hivyo japo sio vitu vya kuvitilia maanani, lakini sii vitu vya kuvipuuzia!.
P
 
Back
Top Bottom