Hongera Sana TCU kwa Kuanzisha mfumo wa Paper writing

Hongera Sana TCU kwa Kuanzisha mfumo wa Paper writing

Sidhani kama wametafakari vya kutosha, vyuo vina option ya ku-award postgraduate degree based on dissertation/thesis submitted, kuna baadhi ya vyuo ambavyo vinataka uambatanishe publications zako ndani ya thesis, lakini bado vinakubali unpublished thesis.

Swala la publication ni motivation ya mtu husika, huwezi kulazimisha kila mtu a publish maana wakati mwingine kuna gharama zinatakiwa na ni swala linalohitaji muda.

Ni uonevu kumkwamisha mtu kuwa awarded wakati ameshakamilisha thesis.......awe awarded publication libaki kuwa swala lake binafsi kuamua ndani ya ratiba zake mwenyewe.​
Right
 
Sidhani kama wametafakari vya kutosha, vyuo vina option ya ku-award postgraduate degree based on dissertation/thesis submitted, kuna baadhi ya vyuo ambavyo vinataka uambatanishe publications zako ndani ya thesis, lakini bado vinakubali unpublished thesis.

Swala la publication ni motivation ya mtu husika, huwezi kulazimisha kila mtu a publish maana wakati mwingine kuna gharama zinatakiwa na ni swala linalohitaji muda.

Ni uonevu kumkwamisha mtu kuwa awarded wakati ameshakamilisha thesis.......awe awarded publication libaki kuwa swala lake binafsi kuamua ndani ya ratiba zake mwenyewe.​
Watanzania hawajawahi kuwa serious hata mara moja mkuu.

Hii kitu Ina ugumu na inaogofya sana kama ingekuwa inafanywa kwa umakini unaotakiwa.

Lkn hapa kwetu kutaandikwa kituko na wanafunzi watakopoana Kisha wote watapewa vyeti.
 
Hu
Sidhani kama wametafakari vya kutosha, vyuo vina option ya ku-award postgraduate degree based on dissertation/thesis submitted, kuna baadhi ya vyuo ambavyo vinataka uambatanishe publications zako ndani ya thesis, lakini bado vinakubali unpublished thesis.

Swala la publication ni motivation ya mtu husika, huwezi kulazimisha kila mtu a publish maana wakati mwingine kuna gharama zinatakiwa na ni swala linalohitaji muda.

Ni uonevu kumkwamisha mtu kuwa awarded wakati ameshakamilisha thesis.......awe awarded publication libaki kuwa swala lake binafsi kuamua ndani ya ratiba zake mwenyewe.​
Huo ndio muongozo mpya wa TCU unaosumbua vichwa vya young academicians. Ni kimbunga. Na publication ifanyike kwenye reputable journals.
 
mfumo wa elimu umeoza kutokea chini, hilo halina msaada, Elimu inapaswa kuwekwa sawa toka darasa la kwanza na automatically tu mtu akifika Chuo hivyo vitu vidogo anaweza kuvifanya.
 
mfumo wa elimu umeoza kutokea chini, hilo halina msaada, Elimu inapaswa kuwekwa sawa toka darasa la kwanza na automatically tu mtu akifika Chuo hivyo vitu vidogo anaweza kuvifanya.
Hakikisha wanao huwapeleki shule,🚮 ss tunao amini mfumo wa Elimu hauja oza tutawapeleka watoto shule
 
Sidhani kama wametafakari vya kutosha, vyuo vina option ya ku-award postgraduate degree based on dissertation/thesis submitted, kuna baadhi ya vyuo ambavyo vinataka uambatanishe publications zako ndani ya thesis, lakini bado vinakubali unpublished thesis.

Swala la publication ni motivation ya mtu husika, huwezi kulazimisha kila mtu a publish maana wakati mwingine kuna gharama zinatakiwa na ni swala linalohitaji muda.

Ni uonevu kumkwamisha mtu kuwa awarded wakati ameshakamilisha thesis.......awe awarded publication libaki kuwa swala lake binafsi kuamua ndani ya ratiba zake mwenyewe.​
Exactly [emoji817]
 
Sema tulichelewa. Kenya hiyo Policy ipo toka 2015. Master Degree , paper 1 ktk International Journal. PhD papers 2 international Journal. Ila paper za Masters wa Tz, walizo Publish uki ziona hadi aibu!! Poor in quality and contents. Data Analysis, ni poor.
Pia Kenya, ni marufuku PhD by Thesis. Lazima ufanye Coursework Semester 3. Tanzania, watu wanachukua PhD in 3 years kwa kufanyiwa Research...akati ni weupe vichwani.
TCU waende mbele wakague PhD za China. Graduate wengi wa China ni wabovu.
 
Back
Top Bottom