John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Wakiweka Yanga inakuwa kichekesho ila miezi kadhaa nyuma wakati yanga hayupo hapo simba yupo hizi ranking hazikuwa kichekesho au sioyanga kafikaje hapo mbona kichekesho
Nadhani kwasababu imetwaa Ubingwa Ligi kuu na Nusu fainali CAFyanga kafikaje hapo mbona kichekesho
Imetwaa ubingwa Ligi ya ndani ambayo no moja ya ligi bora barani Afrika na inacheza Nusu fainali huko ulimwenguni! Hauwezi kulinganisha na timu zingine ndogo ndogo kama Simba 😄Wakiweka Yanga inakuwa kichekesho ila miezi kadhaa nyuma wakati yanga hayupo hapo simba yupo hizi ranking hazikuwa kichekesho au sio
Ukishiriki fainali lazima upate point nyingi.yanga kafikaje hapo mbona kichekesho
Labda anafikiri ili club ifike hapo ni lazima iwe na CEO ambaye ni raia wa kigeniNadhani kwasababu imetwaa Ubingwa Ligi kuu na Nusu fainali CAF
We mchokozi!!!!Kwa mujibu wa mtandao wa IFFHS, ambayo imetoa orodha ya vilabu bora kwa bara la Afrika imeonyesha simba ikishikilia nafasi ya 10 huku kinara akiendelea kuwa Al ahly ya nchini Egypt.
Hongera kwa kilabu cha Simba na benchi zima la ufundi.
Takwimu ambazo wiki 2 zilizopita walikuwa wanazipost kila baada ya nusu saaHuu ni mtego mkubwa kwa makolo🤣🤣🤣
Makolo hawana furaha na hizi takwimu zilizotolewa na IFFHS🤣🤣
Tupe rank zakoUtafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.
Ulitaka Simba iwe no 1 ndo uridhike?Utafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.
Sasa kama unaicheka Yanga ambayo ipo nafasi ya 9, Simba iliyoko chini ya Yanga utamfanya nini?yanga kafikaje hapo mbona kichekesho
Makolo mnahaha sana kutaka kutuonyosha mpo juu ya YangaUtafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.
Kichekeshooo!! Au ni kilio kwa upande wenu!yanga kafikaje hapo mbona kichekesho
Weka takwimu zako acha kisokolokwiyoUtafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.
Kwa hiyo ndani ya wiki moja Yanga wamepindua meza? [emoji1787]Makolo mnahaha sana kutaka kutuonyosha mpo juu ya Yanga
Wakati wanatoa rorodha iliyopo kwenye uzi huu hapa chini, walikurupuka?
IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF 1. Ahly - 220 points 2. Wydad - 170 points 3. Zamalek - 154 points 4. Pyramids- 140.5 points 5. Al Hilal - 132.75 points 6. Mamelodi- 127 points 7. CR Belouzidad - 117.75 points 8. Raja Casablanca - 117 points 9. Simba SC - 113 points 10. Petro...www.jamiiforums.com
Ulitaka Simba iwe no 1 ndo uridhike?