Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,424
- 2,333
utopwox kabebwa, jumatano akigongwa na wasauzi atapanda mpaka nafasi ya 4Tupe rank zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utopwox kabebwa, jumatano akigongwa na wasauzi atapanda mpaka nafasi ya 4Tupe rank zako
Mamelodi hawezi kuwa wa Kwanza mbele ya Al Ahly na Wydad ambao wameshiriki hadi club word cup, ndomana Ahly anashika nafasi ya 5 duniani sababu ya club word cup..watu wengi wanashangaa Ahly anakuwaje juu ya team kama psg, Arsenal, Chelsea sababu ndo hiyoNilitaka labda Mamelodi
Kwa sababu wewe uligongwa unajua kila mtu ana gogwautopwox kabebwa, jumatano akigongwa na wasauzi atapanda mpaka nafasi ya 4
Amepongezwa Simba, cha ajabu Mshabiki wa Simba unaumia.yanga kafikaje hapo mbona kichekesho
kwan wewe hujawah kugongwa? tena wew umegongwa na wahuni wa sudan ambao hata robo fainal ya kombe la mabingwa hawakufika.Kwa sababu wewe uligongwa unajua kila mtu ana gogwa
weweeee! wameishusha nini? rank za mchongo hizo, halafu storage iko full delete some contents to free space[emoji16]
Ila mkuu una makusudi wewe! Yaani unampongeza Simba ambaye kwa mujibu wa hao hao IFFHS miezi michache nyuma alikuwa nafasi ya 9 na sasa ameshuka nafasi 1 na unamwachia kumpongeza Yanga ambaye alikuwa nafasi ya 75 Africa! Sijaelewa makusudio yako!Kwa mujibu wa mtandao wa IFFHS, ambayo imetoa orodha ya vilabu bora kwa bara la Afrika imeonyesha simba ikishikilia nafasi ya 10 huku kinara akiendelea kuwa Al ahly ya nchini Egypt.
Hongera kwa kilabu cha Simba na benchi zima la ufundi.
Mmbea huyo tushapokea taarifa sisi wana ThiiiiiiiiiiiimbaaaaIla mkuu una makusudi wewe! Yaani unampongeza Simba ambaye kwa mujibu wa hao hao IFFHS miezi michache nyuma alikuwa nafasi ya 9 na sasa ameshuka nafasi 1 na unamwachia kumpongeza Yanga ambaye alikuwa nafasi ya 75 Africa! Sijaelewa makusudio yako!
Hawa jamaa ni wa kuwahurumia tu sasa hiviWakiweka Yanga inakuwa kichekesho ila miezi kadhaa nyuma wakati yanga hayupo hapo simba yupo hizi ranking hazikuwa kichekesho au sio
Kwahiyo waandae takwimu za kukuridhisha wewe..!! Kama unataka kuridhishwa, si uandae zako na ututumie basi..!!Nilitaka labda Mamelodi
Daahh Simba watakoma mwaka huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa mujibu wa mtandao wa IFFHS, ambayo imetoa orodha ya vilabu bora kwa bara la Afrika imeonyesha simba ikishikilia nafasi ya 10 huku kinara akiendelea kuwa Al ahly ya nchini Egypt.
Hongera kwa kilabu cha Simba na benchi zima la ufundi.
Waambie kwamba huu uzi hauusiani na Yanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani kwasababu imetwaa Ubingwa Ligi kuu na Nusu fainali CAF
Kwahiyo hata kama team itashuka daraja msimu huu lkn ilifanya vizuri misimu mitano iliyopita itaendelea kuwa juu tuu...Utafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.
Hivi mafanikio aliyopata Yanga katumia wiki moja vileee...Kwa hiyo ndani ya wiki moja Yanga wamepindua meza? [emoji1787]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kweli dunia duara,Makolo mnahaha sana kutaka kutuonyosha mpo juu ya Yanga
Wakati wanatoa orodha iliyopo kwenye uzi huu hapa chini, walikurupuka?
IFFHS yatoa timu 10 bora za CAF, Simba ya 9
IFFHS imetoa orodha ya timu 10 bora za mwezi za CAF 1. Ahly - 220 points 2. Wydad - 170 points 3. Zamalek - 154 points 4. Pyramids- 140.5 points 5. Al Hilal - 132.75 points 6. Mamelodi- 127 points 7. CR Belouzidad - 117.75 points 8. Raja Casablanca - 117 points 9. Simba SC - 113 points 10. Petro...www.jamiiforums.com
Dunia TUFEKweli dunia duara,
Nakuambiaje subiri tarehe 17 ndiyo Simba watamjua ng'ombe mwenye matege....Kweli dunia duara,
Leo mnawakataa hao IFFSHUtafuti wao una Dosari nyingi.
Mamelodi HASTAHILI KUWA hapo.
WHYDAD HASTAHILI KUWA hapo.
Pyramid HASTAHILI KUWA hapo.
Yanga HASTAHILI KUWA hapo.
Point za CAF zinajumuisha Miaka mitano ya nyuma Hadi Leo.
Hawa IFFSH wanakurupuka sana.