Basi jitokeze kuungana na viongozi kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani Hadi pale Kweli na HAKI vitakaposimama na kuishinda RUSHWA na udhalimu.Serekali zinazoingia madarakani kwa kupora chaguzi huwa haziogopi mahakama za ndani ya nchi. Kwenda mahakamani ni njia sahihi isiyo na matokeo sahihi.
Kiongozi ambaye hatukumpigia kura, anaiweka Nchi rehani,Hakika tumeshindaโ
Kama hao wawekezaji japo wana haya wangeghairi tu maana umma utakapoamua kuwatosa hao vibaraka wao watapata hasara kwani wananchi watarejesha kilicho chao.
Mkataba una makosa lakini yanahitaji marekebisho.......Jaji Siyjayaon Mbeya.Baada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.
Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:
1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.
2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.
3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA๐ณ๐ณ na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.
Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA ๐ณ๐ณ tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.
Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.
Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.
Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!
Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.
Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.
Aamen.
Na Kwakuwa Bunge liliridhia mkataba Ukiwa na UBATILI,Mkataba una makosa lakini yanahitaji marekebisho.......Jaji Siyjayaon Mbeya.
Na wakizuia HAKI mahakamani,binafsi naona maamuzi ya mwabukusi na team yake kuishitaki sirikali ni Jambo jema , na hata Kama huko rufaa hawatapewa haki wanayoitaka Basi angalau itakuwa imesaidia kuwa alert govt ya kuwa watanganyika bado wapo na wameamuka usingizini na wako macho kulinda Mali za Tanganyika yao.
Wazalendo wa kuuza Mali asili za nchi?!, rubbish.Ni dhahiri Team WAZALENDO imeshinda,
Tusubiri rufaa, maana Nuru imeonekana.
Ni dhambi kubwa askari kurudi nyuma akiwa uwanja wa Mapambano!!
Soma vizuri utaelewa, team wazalendo ni ya wananchi ikiongozwa na mwambukusi๐๐Wazalendo wa kuuza Mali asili za nchi?!, rubbish.
SahihiNa Kwakuwa Bunge liliridhia mkataba Ukiwa na UBATILI,
Bunge linakosa uhalali wa kujisahihisha maana lilikosea.
Kurekebisha makosa hayo ni kuongeza VIRAKA kwenye Katiba iliyopo.
iitishwe kura ya MAONI Nchi nzima,
Tupige kura ya WAZI mabarabarani na Viwanjani kama tilivyofanya katika ukusanyaji wa maoni ya Katiba mpya chini ya Warioba.
Tuamue ikiwa tunakubali bandari zetu kuuzwa au la!!!
Kamwe tusiruhusu Katiba yetu kuchezewa bila ridhaa yetu.
Amen
Wanaojiita wazalendo huku wakiunga mkono DPW ni sawa na Kenge kwenye mamba.Soma vizuri utaelewa, team wazalendo ni ya wananchi ikiongozwa na mwambukusi๐๐
Naona unanitrace kujua nilipo Haina shda, hatujambo,Jaji ndunguru sio ndumbara
Hawajambo newyork hapo
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
akili za kijinga kama hiz bandar itaacha kuuzwa milele.WAPO BINADAMU WENYE HAIBA YA KUTUMIA NGUVU ZAO BURE,KUPOTEZA MUDA BURE,KUJICHOSHA TU ALMRADI MAHANGAIKO!,KALIMENI VIAZI MSTAWISHE FAMILIA ZENU,MSIKATE RUFAA NI KUJICHOSHA BURE,HARAKATI ZA PIMBI.
Ningelikuwa mpanga kesi,wakikata tu rufaa,kesi ningezipanga mahakama mbali mbali kwa tarehe za karibu karibu, sumbawanga,arusha, tabora,ngara ikisikilizwa ngara inamalizikia mtwara.๐๐๐
kuwadi la dpworldMnajisumbua tu
Ova
๐ถBaada ya kusoma HUKUMU ya Leo, nimegundua kuwa team ya Wazalendo imeshinda ushindi wa Awali ingawa referee ameonekana kuonyesha kuwa Hana uwezo wa Kutoa ushindi.
Hoja zifuatazo ndizo zimenipa kuona ushindi wa team wazalendo:
1. Judge Ndumbari, Amekiri kuwepo dosari katika ushirikishwaji wa wananchi.
2. Judge Ndumbari , Amekiri IGA imevunja SHERIA za ulinzi wa raslimali za Nchi Kwa kupeleka migogoro nje ya nchi.
3. Judge Ndumbari, ANASHANGAA๐ณ๐ณ na kusema IGA itaongozwa na SHERIA za Nchi, na mikataba ya miradi itaongozwa na SHERIA za ndani lakini migogoro itatatuliwa nje ya nchi.
Ndugu Mwananchi mwenzangu, kama Judge ANASHANGAA ๐ณ๐ณ tunatakiwa kustuka, maana wasiwasi ndiyo AKILI.
Judge ameonyesha mapungufu hayo makubwa ya msingi na Bado amesita Kutoa HUKUMU Kwa team wazalendo, hii inaonyesha wazi kuwa ameona BUSARA mahakama ya juu zaidi itoe HUKUMU ya HAKI.
Kwangu Mimi na wazalendo wenzangu, ni wazi kuwa tumeshinda ila Bado kutangazwa washindi.
Tusubiri ushindi wetu kutangazwa mahakama ya rufaa kuwa mkataba Ule ni BATILI na FAKE!!
Wakati tukiendelea kusubiri HUKUMU, tuendelee kupiga KURA YA WAZI mabarabarani na Viwanjani, Ili ikihitajika kuthibitisha ushindi wa nguvu ya Umma iwe Rahisi.
Mwanakondoo ameshinda, tumfuate.
Aamen.
Tupia neno,๐ถ
Uchaguzi wa 2020 hata dhalimu hakupita kihalali.Kiongozi ambaye hatukumpigia kura, anaiweka Nchi rehani,
Hatutakubali!!!
I agree, ingawa pia vijana wengi walipuuza uchaguzi, hawakujitokeza kupiga kura.Uchaguzi wa 2020 hata dhalimu hakupita kihalali.
ukisikia akili za kiqumamayo,ndo hizi sasaWAPO BINADAMU WENYE HAIBA YA KUTUMIA NGUVU ZAO BURE,KUPOTEZA MUDA BURE,KUJICHOSHA TU ALMRADI MAHANGAIKO!,KALIMENI VIAZI MSTAWISHE FAMILIA ZENU,MSIKATE RUFAA NI KUJICHOSHA BURE,HARAKATI ZA PIMBI.
Ningelikuwa mpanga kesi,wakikata tu rufaa,kesi ningezipanga mahakama mbali mbali kwa tarehe za karibu karibu, sumbawanga,arusha, tabora,ngara ikisikilizwa ngara inamalizikia mtwara.[emoji16][emoji16][emoji16]