Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
- #21
Wewe
Wewe nawe hujui hata uchumi unajipachikia tu vitu usivyovijui kukopa sana kinasababishwa na ukuaji wa uchumi na ulipaji mzuri wa madeni wa Mheshimiwaa Magufuli yaani kama unaona kukopa ni rahisi nenda hata jumatatu Bank ukakope hata billion moja kukopa tutakopa sana kwa sababu tunalipa sana pia na kwa sababu uchumi wetu unajua deni letu stahimilivuHii ni matokeo ya kuongea maneno ya kufikirika na kupikwa tu. Madeni ya Tanzania kwa miaka 10 iliyopita ni kama ifuatavyo hapa kwenye image hii; je na wewe unaamini kuwa kuanzia mwaka 2015 madeni ya Tanzania yamepanda sana kufikia hiyo namba hiyo ya uwongo? Ameitoa wapi?
View attachment 1531676