Uchaguzi 2020 Hongera Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni Magufuli leo

Uchaguzi 2020 Hongera Tundu Lissu kwa kumpigia kampeni Magufuli leo

Hata Albert Einstein darasani hakufaulu vizuri, Bill gate hakumaliza chuo, Mendel baba wa genetics alifeli Mara 6, Newton alisoma wapi, Galilei Galileo naye alisoma wapi kwa hiyo watu wenye IQ kubwa huwa na Matokeo ya wastani maani huwa hawavumilii kukaririshwa akili zao ziko hyper kutengeneza mambo makubwa kwa ajili ya Maprofesa

Wee jamaa mbona unaongea pumba wewe.. Yaani unaongelea nini? Nani kakwambia Bill Gates alishawahi kufeli? Bill Gates alipiga zote SAT exam. Nani alikwambia Einstein alifeli shule? Unajua Einstein alipata PhD akiwa ameandika Thesis 1905 ya Ground breaking research akiwa kijana wa miaka 26?
 
A
Tunachojua mgombea wetu alipigwa risasi 16 mwilini akapona kwa uwezo wa Mungu aliyemponya atamshindia
Kwa hiyo bora awe mchungaji sasa akamtukuze Mungu wake maana mtu kapigwa golori mnasema risasi hamjui hata momentum ya risasi na rate of impacts maana kwa formula ya E =mc2 risasi 1_tu inatoboa mguu kabisa mbili inafumua maana hata movie ya Terminator yale mavyuma yalikuwa yanafumuliwa na risasi chache tu
 
Basi hukuwa imesioma vizuzri, nimeongezea kwenye hiyo post uliyokwoti kuwa katika miaka kumi iliyopita (2010 -2020) trend ni ile ile. Hiyo niliyokuwa nimeleta mara ya kwanza ni ya BOT
Mbona mgumu kuelewa wewe? Nimekwambia JK alilipa kwanza deni na kusaka misamaha ndio akaanza kukopa tena.. Hebu kasome uelewe.. Kumbuka Mkapa alimpa madeni ambayo ni 50% ya GDP
 
Wee jamaa mbona unaongea pumba wewe.. Yaani unaongelea nini? Nani kakwambia Bill Gates alishawahi kufeli? Bill Gates alipiga zote SAT exam. Nani alikwambia Einstein alifeli shule? Unajua Einstein alipata PhD akiwa ameandika Thesis 1905 ya Ground breaking research akiwa kijana wa miaka 26?
Sijakuambia alifeli alikuwa average aliyefeli kupresent ideas za pea plants kwenye Genetics ni Mendel mpaka amekufa data zake zimekuja kuibuliwa upya miaka ya 60, kwani Bill gate alimaliza chuo?!
 
Mbona mgumu kuelewa wewe? Nimekwambia JK alilipa kwanza deni na kusaka misamaha ndio akaanza kukopa tena.. Hebu kasome uelewe
Unataka kusema JK alilipa zaidi ya Mkapa? Watu walikuwa wanalia UKAPA kwa sababu hiyo halafu kumbe hujui hilo? Mkapa alijitahidi sana kurudisha nchi kwenye track, na sehemu kubwa ya madeni ambayo tulisamehewa chini ya Kikwete ni kwa sababu ya Mkapa. Kusamehewa kwa madeni hayo ndiko kulikopunguza uzito wa deni la taifa kwa kipindi fulani cha Kikwete.
 
Wee jamaa mbona unaongea pumba wewe.. Yaani unaongelea nini? Nani kakwambia Bill Gates alishawahi kufeli? Bill Gates alipiga zote SAT exam. Nani alikwambia Einstein alifeli shule? Unajua Einstein alipata PhD akiwa ameandika Thesis 1905 ya Ground breaking research akiwa kijana wa miaka 26?
Kasome vizuri Historia ya Einstein
 
Sijakuambia alifeli alikuwa average aliyefeli kupresent ideas za pea plants kwenye Genetics ni Mendel mpaka amekufa data zake zimekuja kuibuliwa upya miaka ya 60, kwani Bill gate alimaliza chuo?!
Kudrop out sio kufeli wewe? Kuwa na akili timu.. Bill Gates hajawahi kufeli na SAT alipiga zote akapata admission Harvard
 
Unataka kusema JK alilipa zaidi ya Mkapa? Watu walikuwa wanalia UKAPA kwa sababu hiyo. Mkapa alijitahidi sana kurudisha nchi kwenye track, na sehemu kubwa ya madeni ambayo tulisamhewa chini ya Kikwete ni kwa sababu ya Mkapa. Kusamehewa kwa medeni hayo ndioko kulikopunguza uzito wa deni la taifa kwa kipindi fulani cha Kikwete.
Huyu jamaa hajui anakuhangaisha buree mm nimemdharau hoja zake amezikosea Mwanzo wa mjadala
 
A

Kwa hiyo bora awe mchungaji sasa akamtukuze Mungu wake maana mtu kapigwa golori mnasema risasi hamjui hata momentum ya risasi na rate of impacts maana kwa formula ya E =mc2 risasi 1_tu inatoboa mguu kabisa mbili inafumua maana hata movie ya Terminator yale mavyuma yalikuwa yanafumuliwa na risasi chache tu
Lisu ana ekti mkuu hajapigwa risasi haya nenepa Sasa.
 
Unataka kusema JK alilipa zaidi ya Mkapa? Watu walikuwa wanalia UKAPA kwa sababu hiyo. Mkapa alijitahidi sana kurudisha nchi kwenye track, na sehemu kubwa ya madeni ambayo tulisamhewa chini ya Kikwete ni kwa sababu ya Mkapa. Kusamehewa kwa medeni hayo ndioko kulikopunguza uzito wa deni la taifa kwa kipindi fulani cha Kikwete.
Mkapa alikopa mpaka deni likafika 50%.. JK anajua diplomasia zaidi na ndio kitu cha kwanza kufanya 2005 mpaka 2009..
 
Mkapa alikopa mpaka deni likafika 50%.. JK anajua diplomasia zaidi na ndio kitu cha kwanza kufanya 2005 mpaka 2009..
Basi wewe hukuwepo wakati watu tunalia UKAPA ndugu yangu; Mkapa hakukopa sana bali alitumia raslimali nyingi sana kulipa madeni wakati huo kwani aliingia madarakani wakati nchi ina mgogor na world baknk kutokana na ukusanyaji wa kodi na amtumizi ya fedha za misaada na mikopo.

Mgogoro huo ndio ulioletelea kuanziswa kwa TRA na nchi ikatakiwa kuanza kuhudumia deni lake. Mwishoni mwa utawala wa Mkapa tukaanza kupata mismaha ya madeni mengine, ambao uliendelea hadi wakati wa utawala wa kwanza wa Kikwete.

Hupo ndio ukweli, ila tunaweza kubishana kwa mambo mengine ndani ya ukweli huo
 
Sijakuambia alifeli alikuwa average aliyefeli kupresent ideas za pea plants kwenye Genetics ni Mendel mpaka amekufa data zake zimekuja kuibuliwa upya miaka ya 60, kwani Bill gate alimaliza chuo?!

Wewe hebu elewa mkuu.. Mendel alifeli Oral exam sio written exam lakini hiyo haikumkwamisha kuwa Professor. Alikuwa Melancholic na sio muongeaji kama wanasiasa.. Pia alikuwa na Einstein Syndrome kwa kuwa alikuwa Late Talker.
 
Basi wewe hukuwepo wakati watu tunalia UKAPA ndugu yangu; Mkapa hakukopa sana bali alitumia raslimali nyingi sana kulipa madeni wakati huo kwani aliingia madarakani wakati nchi ina mgogor na world baknk kutokana na ukusanyaji wa kodi na amtumizi ya fedha za misaada na mikopo. Mgogoro huo ndio ulioletelea kuanziswa kwa TRA na nchi ikatakiwa kuanza kuhudumia deni lake. Mwishoni mwa utawala wa Mkapa tukaanza kupata mismaha ya madeni mengine, ambao uliendelea hadi wakati wa utawala wa kwanza wa Kikwete.

Hupo ndio ukweli, ila tunaweza kubishana kwa mambo mengine ndani ya ukweli huo
Achana na porojo hizo wewe. Hebu kasome online huko, ila aanzia walau hapa kwanza Economy of Tanzania - Wikipedia
 
achana na porojo hizo wewe.. hebu kasome online huko.. ila aanzia walau hapa kwanza Economy of Tanzania - Wikipedia

Inawezekana kuwa hukuielewa hiyo Wikipedia uliyokwoti kwani haisapoti kabisa msimamo wako.

Vile vile inaonekena huna taarifa kuwa Mkapa aliuza mashirika ya umma ili kulipa madeni hayo. Upungufu wa madeni Tanzania kati ya mwaka 2006 na 2009 haukusababishwa na nchi kulipa madeni hayo bali kwa madeni kufutwa; huo ndio ukweli, sijui kwa nini hupendi kutambua hilo. Labda tuanzishie thread ya kujadili madeni ya nchi yaliyofutwa. Maongezi ya kuomba nchi maskini kufutiwa madeni yaliaza wakati wa Mkapa.

Nashangaa kuwa unasema Kikwete alikuwa na diplomatic skills kuliko Mkapa! really??
 
Lisssu kiboko, eti mabeberu wanatunyonya, kauliza kwani hayo madini yanachimbwa na nani? CCM hoja wamekwama.
 
Back
Top Bottom