Uchaguzi 2020 Hongera Tundu Lissu. Watanzania wamepata wa kuwafuta machozi

Uchaguzi 2020 Hongera Tundu Lissu. Watanzania wamepata wa kuwafuta machozi

Acha kufananisha lissu na vitu vya kijinga.Yaani lissu alingane na lowasa, lowasa alikuwa bubu yule.ruhusu mdahalo Wa lissu na jpm uone wewe
Sasa Lowasa vile vile alivyokuwa watu walipiga deki lami.
Huyu hata wakumpungia mkono tu itabidi chama kiwaandae watu.
Lowasa alitisha kabla ya uchaguzi na wakati wa uchaguzi. Inaweza isitokee hiyo hali tena, upinzani kupata mtu wa kuitikisa CCM.
 
Huyu anayemuoza mzazi wake kwa jogoo watu walikuwa wanamlia timing tu. Sasa ameshaingia kwenye 18.

Mwambie aanze kufungasha na kisha kuhama kabisa pale Chamwino. Ni bora akalime viazi vikuu kule Chato. Ametuumiza sana watanzania.
 
Huyu anayemuoza mzazi wake kwa jogoo watu walikuwa wanamlia timing tu. Sasa ameshaingia kwenye 18.

Mwambie aanze kufungasha na kisha kuhama kabisa pale Chamwino. Ni bora akalime viazi vikuu kule Chato. Ametuumiza sana watanzania.
Nyie watu mlioishi kwa kufanya ufisadi ndo mnajiita Watanzania mlioumizwa ?
Bado sasa jamaa sio wa kutoka leo wala kesho.
 
Jamanj Magufuli ni namba nyingine aisee!!
Unajua huyo si Tanzania tu, hata akienda kugombea nchi hizi zinazotuzunguka anashinda bila tatizo.
Vile anavyokubalika na wanaojitambua.
Halafu mnakaa mnachagua kwa siku mbili mnaleta huyu mgonjwa apambane na tingatinga!!
 
Tundu Antipas Lissu ni chaguo sahihi la wananchi wa watanzania.
Usipoteze kura yako kizembe kuwapigia kura watu wa mboga mboga.
NDIO!
malisa_gj-___CDcWL6qh12f___-.jpg
 
Magufuli ni namba nyingine sio wakushindanishwa na huyu dogo. Kama mbabe Lowasa alikaa itakuwa huyu shoga !!
Uchaguzi mwepesi sana huu 2020, CCM haijawahi kushinda kirahisi kama mwaka huu, amini nakwambia.
Lowassa alishinda
 
Leo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.

Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.

Hongera sana.

Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Naenda kumpigia kura Tundu Lissu
 
Leo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.

Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.

Hongera sana.

Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Aamin. Kura Yangu Kwake.
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽

Acha kufananisha lissu na vitu vya kijinga.Yaani lissu alingane na lowasa, lowasa alikuwa bubu yule.ruhusu mdahalo Wa lissu na jpm uone wewe
 
Sasa Lowasa vile vile alivyokuwa watu walipiga deki lami.
Huyu hata wakumpungia mkono tu itabidi chama kiwaandae watu.
Lowasa alitisha kabla ya uchaguzi na wakati wa uchaguzi. Inaweza isitokee hiyo hali tena, upinzani kupata mtu wa kuitikisa CCM.
Usiandikie mate na wino ungalipo...cha msingi haki itendeke
 
Leo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.

Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.

Hongera sana.

Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Another comedy
Loh....
 
Magufuli ni namba nyingine sio wakushindanishwa na huyu dogo. Kama mbabe Lowasa alikaa itakuwa huyu shoga !!
Uchaguzi mwepesi sana huu 2020, CCM haijawahi kushinda kirahisi kama mwaka huu, amini nakwambia.

Una hakika na unachosema?
Nikuhakikishie kwamba kama ni kweli UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI basi CHAGUO LA WATZ ATAKUWA TUNDU ANTIPAS LISSU🔥.

Magufuli bila TUME BUBU YA UCHAGUZI YA CCM ni mwepesi kama TOILET TISSUE🤣

Kwa taarifa yako tu Uchaguzi Mkuu wa 2015 Mhe. Edward Ngoyayi Lowassa ndiye aliyekuwa Mshindi lakini AKANYANG'ANYWA NA TUME BUBU YA CCM....!!!🧟
 
Hongera sanaa lissu rais wetu mpendwa ujae 28 mapema nch unaichukuwa
 
Back
Top Bottom