Sasa Lowasa vile vile alivyokuwa watu walipiga deki lami.Acha kufananisha lissu na vitu vya kijinga.Yaani lissu alingane na lowasa, lowasa alikuwa bubu yule.ruhusu mdahalo Wa lissu na jpm uone wewe
Nyie watu mlioishi kwa kufanya ufisadi ndo mnajiita Watanzania mlioumizwa ?Huyu anayemuoza mzazi wake kwa jogoo watu walikuwa wanamlia timing tu. Sasa ameshaingia kwenye 18.
Mwambie aanze kufungasha na kisha kuhama kabisa pale Chamwino. Ni bora akalime viazi vikuu kule Chato. Ametuumiza sana watanzania.
NDIO!Tundu Antipas Lissu ni chaguo sahihi la wananchi wa watanzania.
Usipoteze kura yako kizembe kuwapigia kura watu wa mboga mboga.
Lowassa alishindaMagufuli ni namba nyingine sio wakushindanishwa na huyu dogo. Kama mbabe Lowasa alikaa itakuwa huyu shoga !!
Uchaguzi mwepesi sana huu 2020, CCM haijawahi kushinda kirahisi kama mwaka huu, amini nakwambia.
1.5 TNyie watu mlioishi kwa kufanya ufisadi ndo mnajiita Watanzania mlioumizwa ?
Bado sasa jamaa sio wa kutoka leo wala kesho.
Naenda kumpigia kura Tundu LissuLeo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.
Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.
Hongera sana.
Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Aamin. Kura Yangu Kwake.Leo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.
Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.
Hongera sana.
Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Acha kufananisha lissu na vitu vya kijinga.Yaani lissu alingane na lowasa, lowasa alikuwa bubu yule.ruhusu mdahalo Wa lissu na jpm uone wewe
Usiandikie mate na wino ungalipo...cha msingi haki itendekeSasa Lowasa vile vile alivyokuwa watu walipiga deki lami.
Huyu hata wakumpungia mkono tu itabidi chama kiwaandae watu.
Lowasa alitisha kabla ya uchaguzi na wakati wa uchaguzi. Inaweza isitokee hiyo hali tena, upinzani kupata mtu wa kuitikisa CCM.
Another comedyLeo nina furaha sana, Nina furaha kwa Lissu kuteuliwa na Chama chake.
Ninaamini sasa tutakuwa na uchaguzi. Watanzania wengi wamefurahi wamepata mtu wa kuwafuta machozi kutokana na kifungo, minyororo, na mateso ya miaka mitano.
Hongera sana.
Nimemuona Lissu halisi. Mungu akulinde na akupe ujasiri. Ni muda sasa wa kupimana nguvu na uwezo wa uongozi.
Mafisiem wakiona hii picha wanatamani kumuakwilina huyo dada.
πKwanza ni handsome hana sura ya kijambazi km jamaa
Watanzania kama wewe.....!!!Watanzania gani mkuu.
Magufuli ni namba nyingine sio wakushindanishwa na huyu dogo. Kama mbabe Lowasa alikaa itakuwa huyu shoga !!
Uchaguzi mwepesi sana huu 2020, CCM haijawahi kushinda kirahisi kama mwaka huu, amini nakwambia.
Usitufokee![emoji1][emoji1][emoji1]Kwanza ni handsome hana sura ya kijambazi km jamaa