Hongera Waziri Dotto Biteko kwa kuanza kuimarisha upatikanaji wa umeme

Hongera Waziri Dotto Biteko kwa kuanza kuimarisha upatikanaji wa umeme

Biteko tumemtuma alete nyama mchanganyiko(stake+utumbo) yeye kaleta maini so lazima asifiwe, makamba na maharage tuliwatuma maini wakaleta utumbo na makongoro ndomana tunawapopoa.
Kama unadhani haya ndio maini all I can say umezoea mediocrity....
 
Tangu aingie huyo jamaa huku mbeya kila siku ni kukatika. Hivi naongea, wamekata umeme
 
Tuache uvivu wakufikiri leo kla uzi kla mada ni umeme mbona tunaishi kwa matukio sana
Kwa uvivu huu wakuwaza na fikra eti na sisi tunajipa moyo tutakuja iondoa CCM ni mwenda wazimu tu ndo anaweza zani Ccm itatoka madarakan

Watanzania tubadiliki tuache kuishi kwa matukio
 
Back
Top Bottom