Ujinga ni kutokujua jambo katika eneo Fulani ,
Nilitegemea baada ya kuelezea hapo juu mfumo WA supply unavyogusa maeneo mengi ungesoma na kulewa hivyo kupunguza ujinga lakini umeamua TU kujibu bila kuelewa mada
Kwenye suala la uchumi sera na aina mrengo wa kiuchumi wa serikali ndo inayoamua nafasi na majukumu ya serikali
Kwenye sera soko huria serikali haipaswi kuingilia soko kwa njia ya kidikteta Bali huacha soko liamue lenyewe , yenyewe hukusanya Kodi na ushuru TU,
Kwenye sera hii serikali Ina njia Moja TU ya kuingilia kwa kununua bidhaa kwa Bei ya soko na kuziuza kwa Bei inayotaka
Unaonyesha kweli una mawazo ya miaka ya sabini ndo maana unaita kwa hasira wafanyabiashara wa kati walanguzi
Suala la middle man kwenye biashara yoyote nimelezea halikwepeki , maana hakuna mkulima anaweza kusimamia gharama na michakato yote kutoka shambani mpaka kwa mlaji peke yake , Endapo atafanya hivyo utaingia kwenye risk kubwa zaidi maana Kila mchakato unahitaji mtaji na maarifa zaidi ya kuusimamia na serikali inahitaji vibali vyake
Hivyo soko lenye bei nzuri ndilo linaamua kiwango Cha faida kwanzia muuzaji wa reja reja jumla na mkulima,
Unapoharibu soko anayeumia zaidi ni mkulima ambaye ni mzalishaji
Mfano Lini serikali ilitangaza bei elekezi kwenye viwanda vya bahresa
Achana na fikra za kizamani za kijinga na za kijamaa zilizokandamiz uchumi wa wakulima na kuua uchumi wa nchi yetu,
Kama unaona wakulima wanafaidi kuchukue hiyo fursa sio kulalamikia serikali iwapangie wakulima bei ya mazao waliyolima wenyewe kwa gharama zao Tena Kwa mitaji ya kuungaunga