Hongera Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kwa kutetea soko la wakulima, wanaokupinga ni wanafiki

Hongera Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kwa kutetea soko la wakulima, wanaokupinga ni wanafiki

Mkuu 'Gift', kwa kawaida sina muda wa kupoteza kusoma magazeti kama haya unayoweka hapa. Hizi nadharia ni nadharia tu na common sense au intuition basi.
Mkuu kalamu unawezaje kuchangia mada bila kuisoma na kuelewa
Huoni hutendei haki elimu Yako kama unayo ?
Tabia ya msomi ni kupenda kusoma au kusikiliza hata kama ndefu kiasi Gani na kuelewa kwanza ndipo ajibu,
So unapojibu bila kusoma majibu Yako direct yanakuwa invalid?
Anyway nikuache tu ila nilitaka nikiweke nikuweke kwenye kundi la watu au wasomi wa hovyo sana
 
Unachokosea ni kufikiri kilimo kimeajiri watanzania wengi kwa sababu kina faida.
Kilimo kimeajiri watanzania wengi kwa sababu hakuna jinsi.
Matokeo yake watu inabidi tu walime Ili wajikimu. Unakuwa na agrarian economy.

Hakuna nchi tajiri duniani ambayo ina wakulima 60% hata ikiwa na wakulima 10% hiyo nchi lazima itakuwa masikini.

Tunataka kila mwaka tuambiwe ni jinsi gani productions costs za kilimo zimepungua.
Pia tujue mashamba makubwa mangapi yameanzishwa. Mashamba at least size ya ASAS.

Ukishusha gharama za uzalishaji utavutia wawekezaji wakubwa, kuwekeza kwenye mashamba makubwa. Hii itashusha Bei au itaongeza kipato cha mwananchi kwa sababu kilimo kutakuwa kama sehemu ya viwanda.

Mashamba makubwa ni viwanda.
Haya Mambo ya kuacha biashara ya kilimo iwe holela haitatufikisha popote.
Kilimo Ili kiimarike inabidi kifanywe na watu wachache. Siyo umvute kila mtu aanze kujilimia mihogo.

Watu wanahitaji nyama, samaki, maziwa, legumes etc... Vitu hivi Bei yake ni holela siku zote na vikipanda Bei zaidi tutazidi kudumaa, maana hata wakulima wengi hununua vitu hivi. Ndiyo maana tupo 10% ya nchi zinazoongoza kwa kudumaa duniani. People can't afford better nutrition kwa sababu ni Bei ghali.
Nashukuru mkuu kwa mchango wako
Kwanza hiyo kulima kwa sababu hakna jinsi bila faida
Ndo ambayo hii sera inaenda kutatua kwa kukupa uhakika la soko lenye faida kwenye kilimo

Pia kupungua au kuongeza Kwa production cost za kilimo kunachangiwa na factor nyingi internal na external
Kubwa ni hali ya hewa
Pia hizo costs ndo zinaamua kupanda au kushuka Kwa price ya agric products
 
Kwanza hiyo kulima kwa sababu hakna jinsi bila faida
Ndo ambayo hii sera inaenda kutatua kwa kukupa uhakika la soko lenye faida kwenye kilimo
Hapana, kulima kwa sababu hakuna jinsi maana yake ni peasantry.
Yaani hulimi kibiashara, excess money ndio unanunua nguo na other services. Providers of other services are your consumers as you are their consumer.
Ukitoza hela nyingi kwenye chakula, utatozwa hela nyingi kwenye bidhaa nyingine. Ukiacha kutumia bidhaa nyngine maana yake standard ya maisha inakuwa duni.
Na consumers wako watakula ili washibe, siyo wale ili wawe na afya bora.
Basically, high food prices kwenye nchi ni kitu kibaya sana. It's a lose - lose situation.
 
Kama tusipokuwa na sera za kisasa za kilimo tutaendelea kufanya wakulima ambao ndio kubwa kuwa maskini
Na hatimaye kuendelea kuwa taifa maskini. Naamini kama taifa tukiweza kuwekeza kwenye kilimo kwa kuongeza uzalishaji kwenye killmo tunaweza kutoka kabisa kwenye umaskini.
Hata mnaomuunga mkono huyu msomali nanyi ni wanafiki na vibaraka wake au majuha wasiojua kitu
 
Hapana, kulima kwa sababu hakuna jinsi maana yake ni peasantry.
Yaani hulimi kibiashara, excess money ndio unanunua nguo na other services. Providers of other services are your consumers as you are their consumer.
Ukitoza hela nyingi kwenye chakula, utatozwa hela nyingi kwenye bidhaa nyingine. Ukiacha kutumia bidhaa nyngine maana yake standard ya maisha inakuwa duni.
Na consumers wako watakula ili washibe, siyo wale ili wawe na afya bora.
Basically, high food prices kwenye nchi ni kitu kibaya sana. It's a lose - lose situation.
Kwa hiyo unadhani nini kifanyike mkuu ili kupata suluhu ya kudumu ?
 
MODERATOR WA JF
Naomba mrudishe kichwa Cha mada kilivyokuwa mmeharibu nilichokuwa namanisha

Niliandika
Anayepinga ni mjinga AU mnafiki

Nikiwa namanisha Kuna MAkundi mawili ambao hawajui (wajinga) na wale wanaojua lakini wanapinga kwa maslahi Yao (wanafiki)
Kabla ya kurekebisha ni vizuri mkawasiliana na member itakuwa jambo jema
 
Nilijua una mawazo ya kuchangia kumbe unawaza upambavu tu,
Kama yako ambayo from the beginning yameonyesha upendeleo na upogo. Swali la kipumbavu hujibiwa kipumbavu elewa hilo mwanangu. Huna haja ya kuhemka vinginevyo imekuiingia uzuri
 
Back
Top Bottom