Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
- Thread starter
-
- #81
Mkuu kalamu unawezaje kuchangia mada bila kuisoma na kuelewaMkuu 'Gift', kwa kawaida sina muda wa kupoteza kusoma magazeti kama haya unayoweka hapa. Hizi nadharia ni nadharia tu na common sense au intuition basi.
Kweli Kuna changamoto ingawa ni nje ya mada yetu mkuuKwenye mbolea ya ruzuku kuna shida kubwa
Nashukuru mkuu kwa mchango wakoUnachokosea ni kufikiri kilimo kimeajiri watanzania wengi kwa sababu kina faida.
Kilimo kimeajiri watanzania wengi kwa sababu hakuna jinsi.
Matokeo yake watu inabidi tu walime Ili wajikimu. Unakuwa na agrarian economy.
Hakuna nchi tajiri duniani ambayo ina wakulima 60% hata ikiwa na wakulima 10% hiyo nchi lazima itakuwa masikini.
Tunataka kila mwaka tuambiwe ni jinsi gani productions costs za kilimo zimepungua.
Pia tujue mashamba makubwa mangapi yameanzishwa. Mashamba at least size ya ASAS.
Ukishusha gharama za uzalishaji utavutia wawekezaji wakubwa, kuwekeza kwenye mashamba makubwa. Hii itashusha Bei au itaongeza kipato cha mwananchi kwa sababu kilimo kutakuwa kama sehemu ya viwanda.
Mashamba makubwa ni viwanda.
Haya Mambo ya kuacha biashara ya kilimo iwe holela haitatufikisha popote.
Kilimo Ili kiimarike inabidi kifanywe na watu wachache. Siyo umvute kila mtu aanze kujilimia mihogo.
Watu wanahitaji nyama, samaki, maziwa, legumes etc... Vitu hivi Bei yake ni holela siku zote na vikipanda Bei zaidi tutazidi kudumaa, maana hata wakulima wengi hununua vitu hivi. Ndiyo maana tupo 10% ya nchi zinazoongoza kwa kudumaa duniani. People can't afford better nutrition kwa sababu ni Bei ghali.
Tupe suluhu yako mkuu ?Waziri wa media ila huko ground umaskini umekithiri kwa wakulima na wafugaji.
Hakuna jipya maneno maneno tu.
Huyo anayelipwa na kutembelea ma vx yupo hapo kuuza sura au??Tupe suluhu yako mkuu ?
Hapana, kulima kwa sababu hakuna jinsi maana yake ni peasantry.Kwanza hiyo kulima kwa sababu hakna jinsi bila faida
Ndo ambayo hii sera inaenda kutatua kwa kukupa uhakika la soko lenye faida kwenye kilimo
Duh, huyo binadamu pia anahitaji kushauriwa kwa memaHuyo anayelipwa na kutembelea ma vx yupo hapo kuuza sura au??
Hata mnaomuunga mkono huyu msomali nanyi ni wanafiki na vibaraka wake au majuha wasiojua kituKama tusipokuwa na sera za kisasa za kilimo tutaendelea kufanya wakulima ambao ndio kubwa kuwa maskini
Na hatimaye kuendelea kuwa taifa maskini. Naamini kama taifa tukiweza kuwekeza kwenye kilimo kwa kuongeza uzalishaji kwenye killmo tunaweza kutoka kabisa kwenye umaskini.
Kwa hiyo unadhani nini kifanyike mkuu ili kupata suluhu ya kudumu ?Hapana, kulima kwa sababu hakuna jinsi maana yake ni peasantry.
Yaani hulimi kibiashara, excess money ndio unanunua nguo na other services. Providers of other services are your consumers as you are their consumer.
Ukitoza hela nyingi kwenye chakula, utatozwa hela nyingi kwenye bidhaa nyingine. Ukiacha kutumia bidhaa nyngine maana yake standard ya maisha inakuwa duni.
Na consumers wako watakula ili washibe, siyo wale ili wawe na afya bora.
Basically, high food prices kwenye nchi ni kitu kibaya sana. It's a lose - lose situation.
Kwa hiyo unashauri Nini kifanyike mkuu ?Hata mnaomuunga mkono huyu msomali nanyi ni wanafiki na vibaraka wake au majuha wasiojua kitu
Angalia ukweli au uongo anaosema huyo Basha sorry Bashe wako.Kwa hiyo unashauri Nini kifanyike mkuu ?
Wewe ulilima mwaka gani isije kuwa ulikuwa mkulima miaka ya sabini harafu unataka kuleta story zako leoAnatetea wakulima au anatetea madalali?
Kama hujawahi kua mkulima huwezi elewa kwa upana haya mambo.
Nilijua una mawazo ya kuchangia kumbe unawaza upambavu tu,Angalia ukweli au uongo anaosema huyo Basha sorry Bashe wako.
Kama yako ambayo from the beginning yameonyesha upendeleo na upogo. Swali la kipumbavu hujibiwa kipumbavu elewa hilo mwanangu. Huna haja ya kuhemka vinginevyo imekuiingia uzuriNilijua una mawazo ya kuchangia kumbe unawaza upambavu tu,