Zanzibar 2020 Hongera ZEC kwa maamuzi ya akili. NEC ni tatizo katika Uchaguzi wa Bara

Zanzibar 2020 Hongera ZEC kwa maamuzi ya akili. NEC ni tatizo katika Uchaguzi wa Bara

NEC ya Tz wanakula na kupiliza... walielekezwa wakate jina la Lissu wakaona upepo utawavumia vibaya wakashtuka.

Sasa wanarudisha wagombea kwa mafungu..... NEC ya bara kuna kitu inatakifuta !! Wana kulifindi ....
 
Maalim hakukosea kujaza fomu walicho kifanya zec fomu ya maalim waliificha original na kutoa fomu iliyoprintiwa na kukopywa na ccm na kuiba muhuri wa mahakam na kufonyi saini ya jaji mkuu wa Zanzibar sasa wakaona zec hiyo itakua nikesi ya uhaini nawao itakua hawatoki sasa kilicho fuata pale wanasheri wa Act wazalendo walipo enda tume kudai fomu zao zote tatu zec wakawajibu hapa zipo mbili moja haipo walipo on a washa banwa sana ilibidi zec wajue kama walifanya makosa ilibidi waseme pingamizi limetupiliwa mbali kumbe ilikua zec na yy kashaingizwa ktk mtego wa kosa la jinai kwa kufoji nyaraka za serekali sasa jiulize kwanini tume hii ya zec mpaka sasa imewazuiya wawakilishi wa act tuu wasigombanie katika majimbo yao wakati Kuna vyama kama 16 wote wameachiwa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
NEC ni tool ya CCM . NEC sio guru . hao ni puppet wa CCM. Haiwezekani eti inchi inzima hakuna hata diwani wa CCM aliye enguliwa. Ati ni wapinzani tu
 
]Kimsingi NEC na ZEC ni vyombo vya kusimamia na kuratibu chaguzi lakini kila moja inafanya kazi zake kwa mujibu wa Sheria, kanuni na taratibu sasa nakushangaa wewe unaejiita zygot kuleta hoja ya hovyo kabisa kuhusu mapingamizi ya kisheria wewe unaleta humu Kama story za vijiweni kwanza mlitakiwa mjitathimini kwanza kwamba kwanini wagombea wa upinzani wanashindwa kujaza forms? Je ni uelewa mdogo au uwezo mdogo wa kiungozi?

Kwa kuwa NEC inaendeshwa kisheria tuambie ni Sheria ipi TUME imevunja?. Imagine unaenda kumkabidhi kata,jimbo au nchi ambaye hata fomu tu ya kawaida sana Tena kwa maslahi yake inakuaje mbona uwezo wa hawa watu unatia shaka?. Mpaka muda huu NEC imewarudisha wagombea wengi kwenye nafasi zao mbona hizo husemi?
"Je ni uelewa mdogo au uwezo mdogo wa kiungozi?"

Kilichopo NEC ni mkakati maalum wakuibeba ccm, hilo liko wazi sana.
Naomba nikuulize, hivi kuandika neno "kiungozi" badala ya kiongozi/kiuongozi ni uelewa mdogo, uwezo mdogo au ni kosa la kiuandishi?
 
Nilisikiliza maamuzi ya ZEC juu ya pingamizi la mgombea wa ACT, Maalim Seif. ZEC iliona makosa ya ujazaji fomu lakini haikuona kama makosa hayo ni sababu ya kuharibu Uchaguzi. Kwa maana kwamba, kosa la ujazaji halikuwa na lengo la kunufaisha mgombea au kuufanya Uchaguzi usiwe wa haki n.k.

Tatizo liko kwa NEC, NEC imeonesha ubwege wa aina fulani na kuufanya mchakato mzima kuwa kama zoezi la watoto wadogo.

Ni aibu kwa chombo kama NEC kubariki mapingamizi yanayotokana na mgombea kutoweka nukta katika majina yake, kusahau kuweka sahihi, au kuweka sahihi kabla ya kuwasilisha fomu, nk. Mapingamizi mengi yaliyowekwa kuwazuia wagombea udiwani na ubunge kwa vyama vya upinzani yameonesha udhaifu mkubwa wa Tume.

Ni Tume isiyo na umahiri wa kisheria au inayofany kazi kujipendekeza na kupewa heko kwa idadi ya kuwazuia wagombea wa vyama vya upinzani.
Form za wana CCM umezikagua mkuu? ni balaa tupu
 
Nilisikiliza maamuzi ya ZEC juu ya pingamizi la mgombea wa ACT, Maalim Seif. ZEC iliona makosa ya ujazaji fomu lakini haikuona kama makosa hayo ni sababu ya kuharibu Uchaguzi. Kwa maana kwamba, kosa la ujazaji halikuwa na lengo la kunufaisha mgombea au kuufanya Uchaguzi usiwe wa haki n.k.

Tatizo liko kwa NEC, NEC imeonesha ubwege wa aina fulani na kuufanya mchakato mzima kuwa kama zoezi la watoto wadogo.

Ni aibu kwa chombo kama NEC kubariki mapingamizi yanayotokana na mgombea kutoweka nukta katika majina yake, kusahau kuweka sahihi, au kuweka sahihi kabla ya kuwasilisha fomu, nk. Mapingamizi mengi yaliyowekwa kuwazuia wagombea udiwani na ubunge kwa vyama vya upinzani yameonesha udhaifu mkubwa wa Tume.

Ni Tume isiyo na umahiri wa kisheria au inayofany kazi kujipendekeza na kupewa heko kwa idadi ya kuwazuia wagombea wa vyama vya upinzani.

Hii NEC ya Bara tusiendelee kuwabembeleza. Mnawapa vichwa bure. Kazi inayotakiwa kuanza sasa hivi ni kujua wanapoishi, wake zao, watoto wao, na mali zao zote.

Halafu tutulie tusubiri baada ya 28/9/2020. Watatuelewa tu.
 
ZEC na NEC ni vyombo huru kabisa na vinamfanya kazi kwa mujibu wa katiba.

Ndio maana unaona wametupilia mbali pingamizi lisilo na tija alilowekewa Maalim Self kama walivyotupilia mbali lile alilowekewa Lipumba na Magufuli.
Maalim Self anagombea wapi Mkuu?
 
Hizi ni Tume Mbili tofauti na kila TUME ina sheria, Kanuni na Miongozo yake! Kwahiyo Usitake NEC ifanye kazi kwa kufuata Taratibu za ZEC.

Kina Prof. Lipumba walipowekewa PINGAMIZI. NEC ilijibu kwa utaratibu huu ambao ZEC imetumia, Hilo hujaliona yani!

Tambua Kuna Mambo ya Muungano na yasiyo ya MUUNGANO!

Tusiwasikie Mkilalamika ZEC itakapoanza kushughulikia Rufaa, maana mmekuwa Vigeugeu kama bata mdondo!
Booga wewe
 
Maamuzi ya kuzuiliwa wagombea wa upinzani yaliyopitishwa na NEC, yalinifanya nitafute video za maafisa wa NEC ili nione nyusoi zao zikoje. Wengine ukiwaangalia usoni unasoma ishara za udhaifu wa akili.

Yaani eti mgombea anazuiliwa kwa kuwa tu kuna sehemu aliweka sahihi kabla hajaruhusiwa na msimamizi. Bahati mbaya sana kwa madiwani na wabunge waamuzi ni wakurugenzi wa halmashauri; tuliowashuhudia ktk video wakiharibu fomu za wagombea kwa makusudi. NEC nao wakakaa kimya!
Ila kweli maana nami nikimuangalia jamaa mmoja wa NEC, ni kama kuna nukta haifanyikazi kichwani. Yaani hata mpangilio wa maneno yake!
 
Sawa uko sahihi. Kimantiki ZEC wana akili zaidi ya NEC. Wanatumia busara zaidi na wanatoa hoja za msingi kabisa.
Uongozi wa NEC ni dhaifu na hauna weledi.Unafanya maamuzi kishabiki.Hawa NEC woote ni wa kusukumia ndani.
 
Back
Top Bottom