Tetesi: Hongera Zitto Kabwe kwa ujanja, ilipangwa Upotezwe

kwa jinsi ZZK alivopata machale ya kuwakwepa polisi,nimejikuta namkumbuka kibaka na mkabaji mmoja maarufu mitaa ya tandika magorofani mwishoni mwa miaka ya 90.alikuwa anaitwa "mchapanya".
 

kwahiyo wewe ndo unaijua serikali ya URT vizuri, hongera

cc FaizaFoxy
 
Issue ya Zitto sio ya Kisiasa ni issue ya kumiliki gari isiyo na nyaraka toshelezi za Umiliki , sio kila Jambo ligeuzwe la Kisiasa
 

Ikiwa hizo ndiyo tafakuri za mnazi wa upinzani chini ya mnazi, sina budi kusema, upinzani hakuna Tanzania hii.

Mtu badala ya kuja na mambo mbadala, yeye anakuja kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Punguani wahed.
 
Hivi unatumia dola kutawala badala ya katiba!! Unatisha kila mtu unaogopa nini?? Unataka ubakie wewe na kabila lako tu!! Umeleta ukanda na ukabila ambao tunaupinga vita tangu asil ya nchi!! Mungu anaesikia vilio vya watanzania na ukandamizai huu atajibu maombi!
 
Wapinzani wanamchango mkubwa sana katika nchi yeyote, unaweza ukawapuuza tu kama hujielewi, lakini mpaka sasa bidii unayo ona ikifanywa na serikali iliyopo ni jitihada muhimu inayofanywa na serikali ili isije ikakosolewa, ukumbuke ambaye hakosolewi ni Mungu tu, mwanadamu mwenye dhati na nia njema hukubali kukosolewa kwa nia ya kujenga, hiyo ndiyo kazi ya hao unaoita wapinzani
 
Mpinzani niwewe tu wa kitimoto Tz............insan.e

Si kweli, mpinzani mkubwa wa kitimoto ni huyu bibilia, bishana naye:

7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.


 
Kila jambo mnaona bangi sio
 

Hivi, ni kweli mmeruhusiwa kula nguruwe mkiwa na njaa?
 
Wananchi wapi? Wananchi wa gani walitoa hukumu? Yaani uchakachuaji uliogubikwa na ubabe wa polisi pamoja na Rushwa unaita ni ni hukumu ya wananchi? Yaani wananchi wameshiriki kuiba kura?
Hahaha
wezi wa kura haalf wanasema wananchi wameamua hahahaah
 
Nina amini kwamba mtu akisapoti ccm akili zinaoza. Hakuna mtu anaye jitambua aweza kuichagua ccm , bali wajinga pekee.Ujinga ni utumwa. Mtu aliye zoea utumwa,hata uumpe uhuru hawezi kubali. Atataka kuendelea kuwa mtumwa.
 

Vingapi najisi unakula wewe bi mkubwa? Inapokuja suala la imani semea imani yako tu, za wengine wachie wenyewe.
 
Hivi, ni kweli mmeruhusiwa kula nguruwe mkiwa na njaa?

Safi sanaa mwanangu umeulizi kibusara kwasababu kuna mjomba jana hapa kitaa alikua anatafuna nguruwe kumuuliza vip akasema hana budi njaa imemuchalaza akaendela nakufafanua Kolani ipo kimya kipindi cha njaa......tafuna vyovyote.
 
Vingapi najisi unakula wewe bi mkubwa? Inapokuja suala la imani semea imani yako tu, za wengine wachie wenyewe.

Mungu mmoja tu, amma unamfata yeye amma unamfata shetani.

Aliyelianzisha kwa kuni beep hukumuona?

Ukinibeep nnakupigia, kumbuka hilo.
 
Haaaaahaaaaa eti wakiamua wanammaliza??? We unajua wamejaribu kumuua marangapi?? Dont exaggerate nguvu za usalama wa taifa...it was back then 1980s siku hizi wamejaa mtaani huku na wanatuambia misiri yote.... hao usalama wa taifa huwa wanatumika mpaka na wapinzani kutoa taarifa za siri za serikali ndo useme WAKIAMUA WANAWEZA???? by then wakiamua atakuwa ashavujishiwa siri na hao hao wanausalama... nyie wekezeni kukamata wauza unga sijui mnawaogopa nni ila kazi yenu kuwinda wapinzani mxeeuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…