Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Mori mori[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yule jamaa ni hamnazo asee sema si walitaka wenyewe
 
Asubuh hii kikosi kikiwa kinarudi Morison yumo na ameonekana na timu. Morison kutocheza na fitness tu hope hizi mechi za ligi ataanza kuanzishwa sambamba na denis Nkane ili warudishe fitness. Acheni propaganda sizizokua na maana
Kwenye mbao ndefu ulimuona??
 
Sio kila taarifa unayopewa unapost nyingine ni mtego.
 
Sio kila taarifa unayopewa unapost nyingine ni mtego.
Pumbavu nisingeiposti hapa kama nilivyofanya tungepata kujua Ukweli kamili kama tulioupata?

Kiuandishi kuna Mbinu ya kupata Ukweli wa Taarifa ya Kiutetesi ( Kihisia ) ya Kuiibua kama nilivyofanya ili Taasisi / Mamlaka husika iweze Kuibuka na Kujibu.

Ndiyo maana hata katika Paragraph yangu ya Kwanza nilitangulia kusema neno Inasemekana na kwenda mbali kusema hata Mimi bado Najiridhisha nayo ( nikimaanisha sijaiamini kwa 100% ) nikiwa na Lengo la kutaka wenye Uhakika nayo waje kusema Ukweli Kamili na kweli Ukweli tena mpaka wa Picha yake umetolewa hivyo kusaidia kunijibu kuwa Taarifa ya Awali haikuwa sahihi.

Tatizo lenu Wengi Wenu hapa mmewekeza muda Wenu mwingi wenye Upumbavu Kedekede katika Kunichukia na Kukurupuka Kunijibu ila huwa hamtaki Kunielewa AKILI KUBWA GENTAMYCINE Mimi.

Hakikisha Ufafanuzi wangu huu Kuntu Kwako unawafowadia na Wapumbavu Wenzako na Waambie wasiache / msiache Kunichukia hapa JamiiForums kwani Kunichukia Kwenu Kutwa hapa JamiiForums ndiyo kumefanya / kunafanya 24/7 nizidi kuwa Maarufu huku idadi ya Followers wangu ikiongezeka tu Kutwa na sasa kufikia 152 na nikiwa sina kama Wapumbavu kama nyie ( ukiwemo ) mna hata Follower Mmoja ( 1 ) tu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Inasemekana ( bado nathibitisha ) kwa Chanzo changu Aminika kilichopo Kikosini nchini Nigeria kuwa Mchezaji wa Yanga SC Bernard Morisson alifukuzwa Kambini na kurejeshwa Dar es Salaam Tanzania baada ya Kugundulika akiwa anawasiliana kwa Simu na Wachezaji Wawili Raia wa Kwao Ghana na huku akiwa Amebeti na Kuiua mazima Yanga SC yake inayomuweka Mjini.

Nyie Mchezaji ameshindikana katika Klabu ya Wasomi na Matajiri ya Simba SC iliyokuwa ikimpa kila Kitu nyie Wafuga Vyura na Njaa Njaa FC ndiyo mtamuweza?

Wenye Akili tulijua tu kuwa hamtowezana nae ila mkajitutumua Kumsajili ili kutukomoa Simba SC haya leo kipo wapi?

Na tunajua kuwa Bernard Morisson hakuwa Chaguo la Kocha Nabi na ndiyo maana hampi Nafasi na kila Siku tu Wanagombana huko Kambini Kwenu Avic Town ila mnajifanya Kuficha wakati Wafukunyuku wa Mambo ( Masuala Mtambuka) akina GENTAMYCINE tunajua kila Kitu ila huwa tunaamua Kuwapuuzeni tu.
Kwa hiyo huu nao ni uzi tayari GENTAMYCINE hebu tumia vizuri hilo duara lako juu ya shingo ,Mwenyewe unaita kichwa
 
MINOCYCLINE atapotea kwa muda,mpaka pale GENTAMYCIN atakapopigwa ban ndio ataibuka tena
 
Pumbavu nisingeiposti hapa kama nilivyofanya tungepata kujua Ukweli kamili kama tulioupata?

Kiuandishi kuna Mbinu ya kupata Ukweli wa Taarifa ya Kiutetesi ( Kihisia ) ya Kuiibua kama nilivyofanya ili Taasisi / Mamlaka husika iweze Kuibuka na Kujibu.

Ndiyo maana hata katika Paragraph yangu ya Kwanza nilitangulia kusema neno Inasemekana na kwenda mbali kusema hata Mimi bado Najiridhisha nayo ( nikimaanisha sijaiamini kwa 100% ) nikiwa na Lengo la kutaka wenye Uhakika nayo waje kusema Ukweli Kamili na kweli Ukweli tena mpaka wa Picha yake umetolewa hivyo kusaidia kunijibu kuwa Taarifa ya Awali haikuwa sahihi.

Tatizo lenu Wengi Wenu hapa mmewekeza muda Wenu mwingi wenye Upumbavu Kedekede katika Kunichukia na Kukurupuka Kunijibu ila huwa hamtaki Kunielewa AKILI KUBWA GENTAMYCINE Mimi.

Hakikisha Ufafanuzi wangu huu Kuntu Kwako unawafowadia na Wapumbavu Wenzako na Waambie wasiache / msiache Kunichukia hapa JamiiForums kwani Kunichukia Kwenu Kutwa hapa JamiiForums njadiyo za kumefanya / kunafanya 24/7 nizidi kuwa Maarufu huku idadi ya Followers wangu ikiongezeka tu Kutwa na sasa kufikia 152 na nikiwa sina kama Wapumbavu kama nyie ( ukiwemo ) mna hata Follower Mmoja ( 1 ) tu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Wewe kiazi kweli nani ana huo muda wa kukuchukia.

I barely care if you even exist.

Ni ujinga tu umeujaza kwenye kichwa chako unakusumbua.
 
Ushazoea kukandwa basi unazani kila mtu anakandwa, ntakukanda hadi urudi kwenu Kigali unachechemea
Nimeshastaafu Kuwapakuwa Watu Unyabengani Kwao hivyo tafuta tu Wapakuwaji wapya wa hilo Nyabe lako linalokunyamvuka nyamvuka mpaka Kutwa ( 24/7 ) Unanishobokea sawa?
 
Back
Top Bottom