Hongereni kwa Kumfunga Rivers United FC, ila na hili la Bernard Morisson liwekeni wazi msifiche

Mori mori[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yule jamaa ni hamnazo asee sema si walitaka wenyewe
 
Asubuh hii kikosi kikiwa kinarudi Morison yumo na ameonekana na timu. Morison kutocheza na fitness tu hope hizi mechi za ligi ataanza kuanzishwa sambamba na denis Nkane ili warudishe fitness. Acheni propaganda sizizokua na maana
Kwenye mbao ndefu ulimuona??
 
Sio kila taarifa unayopewa unapost nyingine ni mtego.
 
Sio kila taarifa unayopewa unapost nyingine ni mtego.
Pumbavu nisingeiposti hapa kama nilivyofanya tungepata kujua Ukweli kamili kama tulioupata?

Kiuandishi kuna Mbinu ya kupata Ukweli wa Taarifa ya Kiutetesi ( Kihisia ) ya Kuiibua kama nilivyofanya ili Taasisi / Mamlaka husika iweze Kuibuka na Kujibu.

Ndiyo maana hata katika Paragraph yangu ya Kwanza nilitangulia kusema neno Inasemekana na kwenda mbali kusema hata Mimi bado Najiridhisha nayo ( nikimaanisha sijaiamini kwa 100% ) nikiwa na Lengo la kutaka wenye Uhakika nayo waje kusema Ukweli Kamili na kweli Ukweli tena mpaka wa Picha yake umetolewa hivyo kusaidia kunijibu kuwa Taarifa ya Awali haikuwa sahihi.

Tatizo lenu Wengi Wenu hapa mmewekeza muda Wenu mwingi wenye Upumbavu Kedekede katika Kunichukia na Kukurupuka Kunijibu ila huwa hamtaki Kunielewa AKILI KUBWA GENTAMYCINE Mimi.

Hakikisha Ufafanuzi wangu huu Kuntu Kwako unawafowadia na Wapumbavu Wenzako na Waambie wasiache / msiache Kunichukia hapa JamiiForums kwani Kunichukia Kwenu Kutwa hapa JamiiForums ndiyo kumefanya / kunafanya 24/7 nizidi kuwa Maarufu huku idadi ya Followers wangu ikiongezeka tu Kutwa na sasa kufikia 152 na nikiwa sina kama Wapumbavu kama nyie ( ukiwemo ) mna hata Follower Mmoja ( 1 ) tu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Kwa hiyo huu nao ni uzi tayari GENTAMYCINE hebu tumia vizuri hilo duara lako juu ya shingo ,Mwenyewe unaita kichwa
 
MINOCYCLINE atapotea kwa muda,mpaka pale GENTAMYCIN atakapopigwa ban ndio ataibuka tena
 
Wewe kiazi kweli nani ana huo muda wa kukuchukia.

I barely care if you even exist.

Ni ujinga tu umeujaza kwenye kichwa chako unakusumbua.
 
Ushazoea kukandwa basi unazani kila mtu anakandwa, ntakukanda hadi urudi kwenu Kigali unachechemea
Nimeshastaafu Kuwapakuwa Watu Unyabengani Kwao hivyo tafuta tu Wapakuwaji wapya wa hilo Nyabe lako linalokunyamvuka nyamvuka mpaka Kutwa ( 24/7 ) Unanishobokea sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…