Hongereni sana CCM kwa kuliangamiza Taifa letu!

Hongereni sana CCM kwa kuliangamiza Taifa letu!

Ushahidi mwingine utauona kwenye vyombo vya habari hasa vya kielektroniki. Wakisema vipindi vya vijana automatically unapata picha ya maudhui ya namna gani? Wanajustify kwa kusema ndio soko linataka. Hata bila utafiti, unajiuliza kijana wa hata hapo Pwani tu hitaji lake kuu ni habari za Kendrick na Drake?

Mbaya zaidi, hamna unafuu wowote kwenye hivyo vipindi vinayoitwa vya watu wazima.
 
Ushahidi mwingine utauona kwenye vyombo vya habari hasa vya kielektroniki. Wakisema vipindi vya vijana automatically unapata picha ya maudhui ya namna gani? Wanajustify kwa kusema ndio soko linataka. Hata bila utafiti, unajiuliza kijana wa hata hapo Pwani tu hitaji lake kuu ni habari za Kendrick na Drake?

Mbaya zaidi, hamna unafuu wowote kwenye hivyo vipindi vinayoitwa vya watu wazima.
Ukiondoa mapenzi, ngono, maisha ya wasanii, vijana wa Tanzania upuuzi mwingine wanaoweza kuujadili ni Mpira hasa Simba na Yanga.

CCM ni laana
 
Ukitaka kujua future ya Taifa lolote angalia vijana wake! Fikra zao na priorities zao! Yaani wana maarifa sahihi?

Leo nimejaribu tu kufanya kautafiti kadogo kuhusu tofauti iliyopo baina ya vijana wa Tanzania na wa Rwanda ili niweze tu kubashiri Taifa gani lina vijana hodari wanaolifanya liwe juu ya Taifa lingine.

Kwenye utafiti wangu niliofanya kwenye mtandao wa X haya ndo mawazo na fikra za vijana wa Tanzania na watu wake,

View attachment 3256294
View attachment 3256296
View attachment 3256297
View attachment 3256298
View attachment 3256300
View attachment 3256301
View attachment 3256302

Alafu jionee mwenyewe mawazo na fikra za vijana wa Rwanda!

View attachment 3256304
View attachment 3256305
View attachment 3256306
View attachment 3256307

Conclusion niliyofikia ni kuwapongeza CCM kwa kutuangamizia Taifa letu kwa kutengeneza utamaduni uliowafanya vijana wasiwe na tamaduni ya kutafuta maarifa ya kuifanya nchi yao kuwa bora na ya mfano kwa maendeleo na kila kitu.
Acha kuhusianisha matukio tofauti....

Upande mmoja umechukua vijana ambao wako katika "forum" ya FIKRA....na upande mwingine umechukua forum ya UDAKU.....double standard hii ...kila nchi ina vijana wa maeneo yote hayo.....
 
Acha kuhusianisha matukio tofauti....

Upande mmoja umechukua vijana ambao wako katika "forum" ya FIKRA....na upande mwingine umechukua forum ya UDAKU.....double standard hii ...kila nchi ina vijana wa maeneo yote hayo.....
Kuna kipi cha maana umekiona kutoka kwa vijana wa Kitanzania?

Uchawa kama wako au?
 
Kuna kipi cha maana umekiona kutoka kwa vijana wa Kitanzania?

Uchawa kama wako au?
Double standards na tuhuma zisizo mshiko ndio hulka yako....

Vijana wa kitanzania ni sawa na vijana wengine popote tu pale....wako pia wazushi na wanaoichukia serikali yao bila sababu kama uichukiavyo wewe.....
 
Double standards na tuhuma zisizo mshiko ndio hulka yako....

Vijana wa kitanzania ni sawa na vijana wengine popote tu pale....wako pia wazushi na wanaoichukia serikali yao bila sababu kama uichukiavyo wewe.....
Tuhuma zisizo na mshiko wakati umepewa ushahidi hapo.
 
Kuna wakati huwa nawaza namna ya kuitoa madarakani ccm kidemokrasia najua haiwezekani, yameshika hatamu...basi Mungu atusaidie ikitokea kwenye ule mkutano wao mkuu (sindio wanakutana humo wote hadi wastaafu) itokee gharika kama radi au tetemeko la ardhi tumalize huu ugomvi uliodumu kwa zaidi ya miaka 60...au mnasemaje wazalendo?!.
 
Mimi naunga mkono hoja ya kuwa Kuna Tatizo la future ya vijana nchini TZ. Na ukitaka pia kujua angalia vyombo vya habari vya TZ na nchi zingine huwa vinaripoti kitu gani? Contents zao huwa ni nini hasa? Utakuta TZ Uchawa ni mwingi na upuuzi mwingine. TZ as far as you pay the media wataripoti hata ujinga ujunga wataupaka losheni na kupulizia pafyumu ili uonekane ni ujinga wenye akili na elimu.
 
Unaweza ukawa una hoja ila ulivyowasilisha na mifano uliotumia inaonyesha jinsi gani wewe ni delusional. Kwan hamna vijana wa Tz wanaopost vitu vya maana? Yaan compare nchi kwa tweets kadhaa tena za watu wachache out of millions people. Research ya wapi hio? sampling technique ipi hio? Kama CCM wamedhalisha wajinga basi na ww ni kiongoz wa wajinga kwa the way ulivyojenga hoja yako na mifano yako.
Post hivyo vya maana wanavyopost watanzania kama sio mipira, mapenzi
 
Kuna wakati huwa nawaza namna ya kuitoa madarakani ccm kidemokrasia najua haiwezekani, yameshika hatamu...basi Mungu atusaidie ikitokea kwenye ule mkutano wao mkuu (sindio wanakutana humo wote hadi wastaafu) itokee gharika kama radi au tetemeko la ardhi tumalize huu ugomvi uliodumu kwa zaidi ya miaka 60...au mnasemaje wazalendo?!.
Mapinduzi ni njia murua sana ya kudeal na Watawala wajinga.

Mie hakuna broadcast ninazozipenda kama zile za Wanajeshi wanapotangazaga kukomesha utawala wa kiraia kwa muda ili kunyoosha mambo.

Kwa kiburi hiki cha CCM tusahau kama watakuja kutoka kwa njia za kawaida za kidemokrasia.
 
Tumekuwa taifa la hovyo la wakata mauno uchawa kuendekeza upuz upuz tu
Wajing wajing ndy wanapewa kipaumbele

Ova
 
Tumekuwa taifa la hovyo la wakata mauno uchawa kuendekeza upuz upuz tu
Wajing wajing ndy wanapewa kipaumbele

Ova
Tuzidishe maombi tu wenye uwezo wafanye maamuzi. Nchi hii ni upuuzi tu left, right and centre.
 
Unataka watu waishi vip?.Kama wewe hufurahii aya maisha kwasababu ya shida zako usifikiri na wengine wana shida kama zako.Wacha watu wajiachie kwasababu hiyo ndio hali halisi ya dunia ya leo na mitandao yakijamiii itategemea unataka nini.Misimamo yako yakikoloni jifanyie mwenyewe.
 
Back
Top Bottom